Muongozo: Mapokezi ya Lissu

Muongozo: Mapokezi ya Lissu

Niko Ruvuma ila jumapili naingia Dar kwa ajili ya kumpokea Tundu Lissu hapo Dar es Salaam
Risasi 16 mwilini wasenge wakashindwa kumuua....Madaktari wake wanasema Lissu anaweza kuwa mwanadamu wa kwanza kwa records za ulimwenguni kuongezewa damu 3/4 ya damu yake..Haya ni maajabu ya dunia.

Waliotaka kumuua laana zitakuwa zimeanza kuwaandamana...wengine tayari wameanza kupata roho za kukataliwa!! Na bado!!

Mimi nipo tayari kwa mapokezi na kwa lolote lile kama itatoka... lakini tu nimpokea shujaa wangu!!
 
Risasi 16 mwilini wasenge wakashindwa kumuua....wanasema Lissu anaweza kuwa mwanadamu wa kwanza kwa records kuongezewa damu 3/4. Haya ni maajabu ya dunia.

Walitaka kumuua laana zitakuwa zimeanza kuwaandamana...wengine tayari wameanza kupata roho za kukataliwa!! Na bado!!
Mimi nipo tayari kwa lolote lakini tu nimpokea shujaa wangu!!
Na bado yuko fit mentally tena pengine zaidi ya awali.....
Mungu hadhihakiwi maana huyu ndo mzalendo wa kweli wa taifa..... Wkt maccm yakiwa mawakala ya mabeberu kwa kuwapa raslimari za nchi kwa kura za ndiooo yy alisimama kupinga mikataba mingi ya hovyo na kusaidia watz wanyonge kisheria wasio na uwezo....

Hakika yy alikua km ndo Mwanaaheria mkuu wa serikali maana nakumbuka hata chenge alikua anamuuliza LISSU kuhusu mambo mbalimbali ya sheria
 
USIMUHUSISHE MUNGU NA UHUNI WENU NA HUYO TUNDU LISU WENU MNAMCHOSHA SASA HUYO ANA NURU GANI BEBERU MKUBWA HUYO
Mkuu tanzania yetu sote hakuna haja ya kuwa na hasira vyama tu haviwezi kutuondelea utu
namanisha ;
maghufuli ni waketu
lissu ni wakwetu
hashim rungwe ni wa kwetu
zitto ni wakwetu
seif ni wa kwetu
mbowe ni wa kwetu
mbatia ni wa kwetu
nyarndu ni wakwetu
mackonda ni wakwetu
hata wewe ni wakwetu
tuache chuki mkuu zisizo na maana hakuna mwenye hati milki na nchi hii yoyote watanzania watakae mkubali kwamba anatosha sawa tu
 
Risasi 16 mwilini wasenge wakashindwa kumuua....Madaktari wake wanasema Lissu anaweza kuwa mwanadamu wa kwanza kwa records za ulimwenguni kuongezewa damu 3/4 ya damu yake..Haya ni maajabu ya dunia.

Waliotaka kumuua laana zitakuwa zimeanza kuwaandamana...wengine tayari wameanza kupata roho za kukataliwa!! Na bado!!

Mimi nipo tayari kwa mazoezi na lolote lile kama itatoka... lakini tu nimpokea shujaa wangu!!
Mie ninaamini Mungu kafanya ile miujiza ili tu huyu mtu aje kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Si rahisi mtu kupona assasination attempt tena ya risasi nyingi kiasi kile. Sishangai CCM kuweweseka na huyu jamaa. There is something very powerful inside Tundu Antipas Lissu
 
Na bado yuko fit mentally tena pengine zaidi ya awali.....
Mungu hadhihakiwi maana huyu ndo mzalendo wa kweli wa taifa..... Wkt maccm yakiwa mawakala ya mabeberu kwa kuwapa raslimari za nchi kwa kura za ndiooo yy alisimama kupinga mikataba mingi ya hovyo na kusaidia watz wanyonge kisheria wasio na uwezo....

Hakika yy alikua km ndo Mwanaaheria mkuu wa serikali maana nakumbuka hata chenge alikua anamuuliza LISSU kuhusu mambo mbalimbali ya sheria
Hiki kichwa Kiache. Kikiwa Bungeni nakumbuka hadi Makinda alikuwa anaomba poo. Magu ndo akakishindwa kabisa akaamua ku pyu pyu
 
Mkuu tanzania yetu sote hakuna haja ya kuwa na hasira vyama tu haviwezi kutuondelea utu
namanisha ;
maghufuli ni waketu
lissu ni wakwetu
hashim rungwe ni wa kwetu
zitto ni wakwetu
seif ni wa kwetu
mbowe ni wa kwetu
mbatia ni wa kwetu
nyarndu ni wakwetu
mackonda ni wakwetu
hata wewe ni wakwetu
tuache chuki mkuu zisizo na maana hakuna mwenye hati milki na nchi hii yoyote watanzania watakae mkubali kwamba anatosha sawa tu
Waaambie hawa vilaza
 
Na bado yuko fit mentally tena pengine zaidi ya awali.....
Mungu hadhihakiwi maana huyu ndo mzalendo wa kweli wa taifa..... Wkt maccm yakiwa mawakala ya mabeberu kwa kuwapa raslimari za nchi kwa kura za ndiooo yy alisimama kupinga mikataba mingi ya hovyo na kusaidia watz wanyonge kisheria wasio na uwezo....

Hakika yy alikua km ndo Mwanaaheria mkuu wa serikali maana nakumbuka hata chenge alikua anamuuliza LISSU kuhusu mambo mbalimbali ya sheria
Mungu Fundi, Mkapa sasa akakutane na wapemba aliodhulumu haki zao za kuishi huko.
 
Kutokana na msiba mzito huu wa Kitaifa usitegemee kufanyika kwa mapokezi ya Tundu lisu tena kwa maandamano.
 
Nguo nyeupe zitaashiria alama ya Nuru kutokana na kuja kwa Tundu Lissu anayewakilisha Nuru kwa watanzania.

Nguo nyeusi zitaashiria kuomboleza kwetu kutokana na Kifo cha mzee wetu Benjamin William Mkapa.
Sina tatizo na mengine yote ndani ya mada yako isipokuwa hiyo mistari miwili tu basi.

Natumaini na wewe (ngozi yako) ni nyeusi!

Najua makundi haya tumezoeleshwa tu, lakini ni kuzoea kwa ujinga.
 
Sina tatizo na mengine yote ndani ya mada yako isipokuwa hiyo mistari miwili tu basi.

Natumaini na wewe (ngozi yako) ni nyeusi!

Najua makundi haya tumezoeleshwa tu, lakini ni kuzoea kwa ujinga.
Nguo nyeusi ni alama ya giza au majonzi. Hiyo jumatatu tutakapovaa nguo nyeusi hii itakuwa ni Alama kuwa hatujadharau msiba wa mzee huyu.
 
Uko sahihi kabisa , sasa hapo tatizo ni Lisu kukosa uwezo au ni kutokuwepo kwa tume huru ya uchaguzi? Kama umesema ashiriki baada ya hiyo miaka mitano, je hiyo tume huru itakuwepo?
Jibu lake ni kuwa Tume Huru haiombwi Bali inalazimishwa kuwa huru na nguvu ya umma. Malawi hawakuwa na Tume huru ila nguvu ya umma iliifanya tume yao kubadirika na kuwa huru.

Hata hapa Tanzania mwaka huu tunajua kuwa Tume si huru ila kwa pressure ya nguvu ya umma chini ya shujaa Tundu Antipas Lissu hii hii Tume itabadirika na kuwa huru.
 
Back
Top Bottom