RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,759
- 107,941
Sisi tunatumia ndege hio ni kwa ajili ya wageni aka wakuja!Daah mabilionea wa kinshomile hapo ndo stand kwao?
Sisi tunatumia ndege hio ni kwa ajili ya wageni aka wakuja!Daah mabilionea wa kinshomile hapo ndo stand kwao?
yap ngebe zote za wahaya yan aibusiamini km ndio kijijini hivyo
Ndio listi ilivyo mkuu.hujataja moshi,ni makusudi au umesahau
hahah a ww mmakonde una utani na wahaya hAhahaSisi tunatumia ndege hio ni kwa ajili ya wageni aka wakuja!
Nadhani kulikuwa na thread inayopambanisha mkoa wa Kilimanjaro na kagera kama sikoseiile ya kyakairabwa,hawana Pesa ni mbwembwe tu kumbe ni maskini wakubwa
Hazina faida yeyote maana azijawakomboaHuko mpaka mbwa ana degree
Ata stand ya kange iko poa uwezi kufananisha na huo upuuzi wa bukobaIkifuatiwa na stand ya Korogwe
Nenda Ihungo na Nyakato secondary uone kilichofanyika !!!Zile pesa za rambirambi ya tetemeko chenji yake si ingetumika hata kumwaga kifusi hapo
tuweekeeni picha tafadhaliTrue hata moro haionI ndani pale singida.
Kabla ya msamvu, kigoma,singida moshi ilikua juuhujataja moshi,ni makusudi au umesahau
Kweli mkuu stendi ya kigoma masanga hapa ipo vizuri sana japokua haipo bize kama msamvu,korogwe,singida,moshi maana hapa mchana vi daladala vingi ni vya kasulu,uvinza na manyovu.Noo ushaiona stand ya kgoma??
Inaweza shika no 2 au 3 Tz
Hahahaaa iye mbe vishoia wazee wa majigambo tu luambo makiadihahah meku hawa bukoba ni kichekesho
Ni stand bora sana na hivyo ilivyoongezewa majengo. Iko poa sana nadhani nawe upo kigoma..Kweli mkuu stendi ya kigoma masanga hapa ipo vizuri sana japokua haipo bize kama msamvu,korogwe,singida,moshi maana hapa mchana vi daladala vingi ni vya kasulu,uvinza na manyovu.
Yap kwa sasa nipo bangwe beach na kula upepo naiona kibirizi na wavuvi Da'VinciNi stand bora sana na hivyo ilivyoongezewa majengo. Iko poa sana nadhani nawe upo kigoma..
Wewe bwana utakuwa na ajenda zile zile kama ilivyo kawaida. Naomba uniambie hapa Bukoba uko sehemu gani kama kweli uko Bukoba nije nikusalimie.
Wanatumia ndege so hapo hapawahusu.Daah mabilionea wa kinshomile hapo ndo stand kwao?