Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,120
- 7,912
Mbona wamemwaga kokoa ya maziwa!
Mbona wamemwaga kokoa ya maziwa!
Kituo cha basi ni kwa ajili ya wafanyakazi wa ndani
Sisi huwa tugenda na flight
Tunafuata ilani za chama tawala. Bukoba Mjini imeshikwa na ukawa hivyo pesa yote inakwenda serikalini. Itarudishwa akishinda ccm.Bukoba wanatakiwa kujenga stand nzuri itakayo kidhi mahitaji yao na kuondoa kero kwa wasafiri wanaotumia stand hiyo.
Haifiki kwa msamvu hata kidogonimeona stand ya singida ile mpya aise ni ya kimataifa ile stand, nadhan itakua inaonngoza kwa hapa bongo
mh, msamvu nayoijua hii hakuna hata kidogo nadhani ile stand ya singida hujafika bado wala kuionaHaifiki kwa msamvu hata kidogo
Ngoja nimwambie Young Milionea Muzamil
Ikifuatiwa na stand ya Korogwemh, msamvu nayoijua hii hakuna hata kidogo nadhani ile stand ya singida hujafika bado wala kuiona
Ni kweli chonka oleke olwanju
nimeona stand ya singida ile mpya aise ni ya kimataifa ile stand, nadhan itakua inaonngoza kwa hapa bongo
hapo umenena mkuuKituo cha basi ni kwa ajili ya wafanyakazi wa ndani
Sisi huwa tugenda na flight
Kwahyo itakuwa mbwa wa Kangi kaenda uko kuelimikaHuko mpaka mbwa ana degree
mkuu hapa ilikua hatua za ujenziNenda uone ya Morogoro mkuu
hapa ilikua kwenye hatua za ujenzikuna mtu ashawahi niambia hii kitu, mkuu unaweza weka picha
hkuna mtu ashawahi niambia hii kitu, mkuu unaweza weka picha