mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 19,057
- 37,273
Mara ya kwanza kufika hapo abiria wote wameteremka kwenye bus nikajikuta nimebaki mwenyewe, konda kaniuliza nikamwambia mimi nateremkia bukoba mjini stand kuu( akasema ndio hapa ndugu) sikuamini hadi nilipomuuliza nshomire mmoja akanithibitishia. Niliona maajabu haya duuuuh!