Muonekano wa stand ya mabasi Bukoba mjini mkoa wa Kagera

Bukoba wanatakiwa kujenga stand nzuri itakayo kidhi mahitaji yao na kuondoa kero kwa wasafiri wanaotumia stand hiyo.
Tembelea kyakailabwa inakojengwa mpya nako upige picha ulete waone siyo kuleta tupicha twa zamani kwa ajiri ya masrahi yako binafsi, hamuchoki kutwa kuchonga stori za maji taka?
 
Wewe bwana utakuwa na ajenda zile zile kama ilivyo kawaida. Naomba uniambie hapa Bukoba uko sehemu gani kama kweli uko Bukoba nije nikusalimie.

Yaani umekutana na kapicha ka mwaka 2016 ukaona ukaweke hapa ili utafute wa kukuunga mkono, hii picha ni ya miaka miwili iliyopita na kusema ukweli wala kwa jana na leo hauko hapa Bukoba.

Bukoba hsiko hivyo na hata hiyo barabara wala haiko hivyo. Nikuulize tu, mvua imenyesha lini wiki hii hadi kukawa na hayo mashimo?
Usijitete bwana rekebisheni hiyo stand ili iwe ya kisasa.....
 
Tembelea kyakailabwa inakojengwa mpya nako upige picha ulete waone siyo kuleta tupicha twa zamani kwa ajiri ya masrahi yako binafsi, hamuchoki kutwa kuchonga stori za maji taka?
Jibu mapigo kwa kupiga hiyo inayojengwa mpya utuletee hapa....tunakusubiri wala usije kunisalimu wewe nende kapige hiyo picha utuwekee hapa.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom