Hilo shati Mzee analipenda balaa![]()
Huyo mzee mwenye mvi mrefu na surubale la kujivu unaweza kukuta ni professor.
Mpigaji huyo, hamna kitu...sasa kama dunia yako inaishia kigogo sambusa,utaonea wapi
Tz kila mtu engineer/interior designer. Wewe unajua urefu wa hio meza ya kusomea mpaka useme watu wanne hawatoshi? Nikiangalia naona chumba kina urefu wa kutosha vitanda viwili vya futi 6 kwa hio urefu at least 12feet, sasa toa futi moja au mbili za locker pembeni. Zinabaki futi kumi. Futi kumi hazikai viti vinne?Kusema ukwel hapo wameharibu ,coz ni usumbufu mkubwa sana katika kutunza vitu kweny hayo malocker pia meza ya kusomea hawawez kukaa watu wanne hapo wakatosha zaidi ni kusumbuan tu wakat wa kusoma,,, wameharibu sana kiukwel bt nd vitu vya cheap cheap ivo watafanyj sas
Hii ndo ubaya wetu kuishi kwa mazoea .....badilika mkuu ....huduma zinabadilika kutokana na mazingira mkuu .....afu unasema duniani kote mfano Bangalore india wanatoa hyo serviceMmmh sijawahi ona mahali duniani kfc wana deliver. Na hiyo website [emoji848] wasiwasi mtupu
Napita
Ha ha ha ha ha.......sasa kama dunia yako inaishia kigogo sambusa,utaonea wapi
Kuna mwenzio humu kasema waende Udom wakaone hostel. Watu wengi wanasifia hostel za Udom kumbe ziko hovyo.Mkuu usibishie vitu usivovijua,, nenda udom college of health ,, iyo designing ya hizo hostel za udsm nd ipo ivo ivo na kule udom weny colej ya Afya,,, ni full usumbufu tuu,, kutunza vifaa ni hovyo, kusoma rum hovyo, inshort huyo designer nae ni hovyo tuu!!!
Nibadilike kitu gani kwa mfano?Hii ndo ubaya wetu kuishi kwa mazoea .....badilika mkuu ....huduma zinabadilika kutokana na mazingira mkuu .....afu unasema duniani kote mfano Bangalore india wanatoa hyo service
SUA zipoWarioba mpige sound akajenge zingine SUA.
Mchokozi huyu ana bahati leo easter nna upako sitaki kuuchafuaHa ha ha ha ha....
PyongyangChangamoto itakayojitokeza kwa sasa ni utunzani wa mabweni hasa kwa ndani.
Baada ya changamoto moja kumalizika, kwa sasa changamoto iliyoko mbele ni utunzani.
Penye nia pana njia na kupanga ni kuchagua.
Polepole tutafika tu!
![]()
![]()
![]()
Rais Magufuli na Mama Magufuli wakiangalia samani ndani ya mabweni.
![]()
![]()
Jaji Joseph Warioba na Rais Magufuli wakibadilisha mawazo baada ya kukagua mabweni mapya USDM.
![]()
Anabana matumiziHuyo Warioba na Mshati wake wa kauka Nikuvae wakati anakula 80% ya Mshahara wa Waziri Mkuu alieko MADARAKANI. Hii Mzee Mibahili sana cheki hata Msuruali aliovaa Kama umeshonwa VETA
Huku uswahilini tumeamua kfc ije nyumbani huko Kentucky ifuateni tu kwenye vibanda vyao.Nibadilike kitu gani kwa mfano?
Bangalore ndo ushuzi gani wkt niko Kentucky state yenyewe..
Haya basi nitabadilika labda kweli mnajaribubkwenda sawa na mwendokasi wa dunia..
[emoji23][emoji23][emoji23]Pyongyang
Najua unaangalia nani amenyoa panki[emoji23][emoji23][emoji23]
broo what were you thinking? Does the block looks like those in Pyongyang? Smh
Nimempenda Hutu jamaa wa mbele anayeangalia kwa makengeza![]()
Huyo mzee mwenye mvi mrefu na surubale la kujivu unaweza kukuta ni professor.