Haya maswal hakunaga mwenye majibu sahihi maana hawa wote wanaokujibu wanalazimisha uamini bila kutumia akili.
Huyo Mungu kama alkuumba na akili bas alimaanisha uzitumie kufikir.
Biblia husema hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na ardhi, kumaanisha kuwa ardhi ni dunia na mbingu ni anga, lkn hakuna sehem biblia imeongelea uumbaji wa ufalme wake wa kiroho ambao unajumuisha Mbingu(heaven) yaan makao yake na malaika, pia hakuna sehem ktk biblia inaonesha ama kuongelea mwanzo wa viumbe wa kiroho kama shetan na malaika wengine, na hapa ndipo palitakiwa pawe sehem ya kufanyia judgement ya swali la mtoa post.
Hivyo basi biblia inakosa majibu sahihi ya kujibu kuwa Mungu alikuwa wapi kabla ya uumbaji wa mwanadamu na Mbingu maana mbingu iliyoongelewa ktk kitabu cha mwanzo haiimaanishi mbingu makazi ya roho bali Anga la juu ya dunia.
Kiufupi ni kuwa hizi dini na vitabu vyake tulipigwa pakubwa sana , kuna mengi washika dini hawayajui na kwa upumbavu wao wa ubishi watabak kuamn ujinga mpaka mwisho.
Ukiwa mtu wa kufuatilia mambo bila kuegemea upande wowote ule ktk mambo ya imani, utagundua kuwa Huyo wanaemuita Mungu ktk vitabu vya dini, hakuwai kuwepo kabla ya uumbaji bali nae amezikuta mbingu na dunia zikiwa tayari zmeumbwa na ndiomaana anauwezo wa kuingia ktk mbingu hizo na kutembelea makazi yaliyoumbwa na kusingizia ameyaumba yeye mwenyewe.
mfano utauona ktk vitabu vyenu pale Mungu wenu anaposhuka ktk vilindi vya maji kufanya uumbaji pia vitabu vyenu vyaonesha kuwa Mungu wenu anaish ktk Ulimwengu wa roho ambao kuna mahala panaitwa mbinguni, hivyo basi kama hizi zote ni sehemu kuna viumbe wanaishi je mjenzi wake anawezaje kuishi humo? Kabla ya ujenzi wa hizo sehemu aliishi wapi? na kwanini aondoke alipokuwa mwanzo na kuhamia ktk hizo sehemu?(mbingu)hamuoni kama mnapigwa hapa? Ama fikra zenu zipo tu kukubali kila kitu makanisan na misikitini kwa kuitikia aminaaaa


.
Ukweli ni kwamba Kuna Nguvu kubwa ambayo ni zaidi ya Umungu ambayo ndyo ilifanya haya yote yatokee kutoka ktk upeo usioonekana mpaka uhalisia na Nguvu hiyo ndyo chanzo cha uhai na ndyo chanzo cha kila kitu ukionacho na usichokiona na nguvu hizo ndizo hubalance misingi ya Limwengu zote ikiwepo ulimwengu huu tulionao pia dunia hii tulio nayo, na Nguvu hizo ndzo ziliabudiwa na watu kabla ya ujio wa mafundisho ya uongo Kuhusu Nguvu hizo, mafundisho hayo ndyo yaliyotungwa na watu weupe kwa kuleta nadharia ya Umungu baada ya upeo wao wa kufikiri kufika mwsho kwa kuamua Kushindwa kuelewa Jinsi Nguvu hizo zlvyokuwa zikifanya kazi, na ndipo wakazilimit ili ziendane na upeo wa akili zao, lkn kiuhalisia hakuna kwel ktk mafundisho yao ndiomaana yamejawa mikanganyiko na kujipinga kwakuwa ni sehemu ya nadharia zilizotungwa na wanadamu wenye upeo mdogo na kuforce watu weusi mziamini.
Mungu wa dini zote ni Huyo huyo mnaemuita shetan ktk majina ya vificho
View attachment 2230037