Mungu yuko wapi?

Mungu yuko wapi?

Salaam wanabodi,

Very simple. Swali linajieleza hapo juu. Je Mungu yuko wapi? Kabla ya Mungu kuumba ulimwengu/dunia na vitu vyoooote vilivyopo, yeye binafsi alikuwa wapi? Alikuwa kwenye nini? Aliketi au kusimama kwenye kitu gani? Je ni yeye aliyeumba sayari nyingine zaidi ya 9 zinazofahamika? Kwanini amemuweka mwanadamu kwenye sayari moja tu ya DUNIA?

Tusaidiane kujua majibu ya haya maswali muhimu kwenye historia ya ulimwengu.
Mungu yuko ndani ya kila mtu na kila kitu unachokiona.

Zaburi 82:6 imeandika "Mimi nmesema,ndinyi miungu,na wana wa aliye juu,nyote pia".

Wote tunatokea kwenye one atom to have different experiences.
 
Dunia ni sehemu ndogo tu ya uumbaji katika viumbe vyoote alivyoumba Mwenyezi Mungu katika sayari zingine. Si kwamba viumbe vipo duniani tu vipo vingi tu katika sayari zingine pia. Mfano UFO sio uongo ni viumbe halisi kwa mujibu wa wanazuoni wengine ikiwemo watu waliowahi fika kwenye sayari zingine kupitia nguvu za giza mfano Prof Uzoma huyu alikuwa na phd nyingi elimu ya uchawi na mambo ya giza. Pia sisi wanadamu bado tupo chini sana kimaendeleo ya technology na vyote vilivyomo, kulinganisha na viumbe vingine mfano UFO.
Mfano ulimwengu wa giza tu wao wapo mbele miaka elf 3 zaidi yetu. Vitu kama laptop, simu, flats screen, nuclear weapons, jet fighter wanavyo miaka elf 3 nyuma.
 
Majibu ya mungu ni nan yuko wap yapopande mbili kisayansi na kiroho,kisayansi mpaka leo Wana UNANSWERED QUESTION y juu ya mungu na uwepo wake ila mungu yupo na ndie anaesababisha ucku na mchana,kiangazi masika,kucontro moyo oxygen in na carbon out,hvyo ukitafakari saaaaaaaana juu ya mungu utaishia kukufuru ila jua MUNGU YUPO
Hakuna swali rahisi kama hili na majibu yanayoingia akilini na kwenye nafsi kama la MUNGU yupo wap na ni nan
 
Haya maswal hakunaga mwenye majibu sahihi maana hawa wote wanaokujibu wanalazimisha uamini bila kutumia akili.

Huyo Mungu kama alkuumba na akili bas alimaanisha uzitumie kufikir.

Biblia husema hapo mwanzo Mungu aliumba mbingu na ardhi, kumaanisha kuwa ardhi ni dunia na mbingu ni anga, lkn hakuna sehem biblia imeongelea uumbaji wa ufalme wake wa kiroho ambao unajumuisha Mbingu(heaven) yaan makao yake na malaika, pia hakuna sehem ktk biblia inaonesha ama kuongelea mwanzo wa viumbe wa kiroho kama shetan na malaika wengine, na hapa ndipo palitakiwa pawe sehem ya kufanyia judgement ya swali la mtoa post.

Hivyo basi biblia inakosa majibu sahihi ya kujibu kuwa Mungu alikuwa wapi kabla ya uumbaji wa mwanadamu na Mbingu maana mbingu iliyoongelewa ktk kitabu cha mwanzo haiimaanishi mbingu makazi ya roho bali Anga la juu ya dunia.

Kiufupi ni kuwa hizi dini na vitabu vyake tulipigwa pakubwa sana , kuna mengi washika dini hawayajui na kwa upumbavu wao wa ubishi watabak kuamn ujinga mpaka mwisho.

Ukiwa mtu wa kufuatilia mambo bila kuegemea upande wowote ule ktk mambo ya imani, utagundua kuwa Huyo wanaemuita Mungu ktk vitabu vya dini, hakuwai kuwepo kabla ya uumbaji bali nae amezikuta mbingu na dunia zikiwa tayari zmeumbwa na ndiomaana anauwezo wa kuingia ktk mbingu hizo na kutembelea makazi yaliyoumbwa na kusingizia ameyaumba yeye mwenyewe.

mfano utauona ktk vitabu vyenu pale Mungu wenu anaposhuka ktk vilindi vya maji kufanya uumbaji pia vitabu vyenu vyaonesha kuwa Mungu wenu anaish ktk Ulimwengu wa roho ambao kuna mahala panaitwa mbinguni, hivyo basi kama hizi zote ni sehemu kuna viumbe wanaishi je mjenzi wake anawezaje kuishi humo? Kabla ya ujenzi wa hizo sehemu aliishi wapi? na kwanini aondoke alipokuwa mwanzo na kuhamia ktk hizo sehemu?(mbingu)hamuoni kama mnapigwa hapa? Ama fikra zenu zipo tu kukubali kila kitu makanisan na misikitini kwa kuitikia aminaaaa.

Ukweli ni kwamba Kuna Nguvu kubwa ambayo ni zaidi ya Umungu ambayo ndyo ilifanya haya yote yatokee kutoka ktk upeo usioonekana mpaka uhalisia na Nguvu hiyo ndyo chanzo cha uhai na ndyo chanzo cha kila kitu ukionacho na usichokiona na nguvu hizo ndizo hubalance misingi ya Limwengu zote ikiwepo ulimwengu huu tulionao pia dunia hii tulio nayo, na Nguvu hizo ndzo ziliabudiwa na watu kabla ya ujio wa mafundisho ya uongo Kuhusu Nguvu hizo, mafundisho hayo ndyo yaliyotungwa na watu weupe kwa kuleta nadharia ya Umungu baada ya upeo wao wa kufikiri kufika mwsho kwa kuamua Kushindwa kuelewa Jinsi Nguvu hizo zlvyokuwa zikifanya kazi, na ndipo wakazilimit ili ziendane na upeo wa akili zao, lkn kiuhalisia hakuna kwel ktk mafundisho yao ndiomaana yamejawa mikanganyiko na kujipinga kwakuwa ni sehemu ya nadharia zilizotungwa na wanadamu wenye upeo mdogo na kuforce watu weusi mziamini.

Mungu wa dini zote ni Huyo huyo mnaemuita shetan ktk majina ya vifichoView attachment 2230037
What is the point, unasema hakuna Mungu na at the same time unaadmitt dunia iliumbwa,

Huoni kama unajichanganya kk
 
Mungu yupo Mkuu, unajua hii Dunia ukiitafakari Sana huenda usipate majibu ila Amini hivyo Mungu yupo na kwakulithibitisha hili hebu angalia jinsi tunavyopata usiku namchana.
mkuu yes Mungu yupo ila ukitumia reference ya usiku na mchana unakosea kuna nchi zina sehemu hakuwi usiku miez minne na kuendelea
 
Katika tumbo la mama kulikuwa na watoto wawili. Mmoja akamuuliza mwenzake: “Je, unaamini maisha baada ya kujifungua?” Yule mwingine akajibu, “Kwa nini, bila shaka. Lazima kuwe na kitu baada ya kujifungua. Labda tuko hapa kujitayarisha kwa kile tutakachokuwa baadaye.”

"Upuuzi," wa kwanza alisema. "Hakuna maisha baada ya kujifungua. Je, hayo yangekuwa maisha ya aina gani?” Wa pili akasema, "Sijui, lakini kutakuwa na mwanga zaidi kuliko hapa. Labda tutatembea kwa miguu yetu na kula kutoka kwa midomo yetu. Labda tutakuwa na hisia zingine ambazo hatuwezi kuelewa sasa.

Wa kwanza akajibu, “Huo ni upuuzi. Kutembea haiwezekani. Na kula kwa midomo yetu? Kichekesho! Kamba ya umbilical hutoa lishe na kila kitu tunachohitaji. Lakini kamba ya umbilical ni fupi sana. Maisha baada ya kujifungua yanapaswa kutengwa kimantiki.” Wa pili alisisitiza, "Nadhani kuna kitu na labda ni tofauti na ilivyo hapa. Labda hatutahitaji kamba hii ya mwili tena." Wa kwanza akajibu, “Upuuzi. Na zaidi ya hayo, ikiwa kuna uhai, basi kwa nini hakuna mtu aliyewahi kurudi kutoka huko? Kujifungua ni mwisho wa maisha, na katika baada ya kuzaa hakuna ila giza na ukimya na usahaulifu. Haitupeleki popote.” “Sawa, sijui,” akasema wa pili, “lakini hakika tutakutana na Mama naye atatutunza.

” Wa kwanza akajibu “Mama? Unamwamini Mama kweli? Hiyo inachekesha. Kama mama yupo, yuko wapi sasa hivi?" Wa pili akasema, “Anatuzunguka pande zote. Tumezungukwa naye. Sisi ni wake. Ni ndani Yake tunaishi. Bila Yeye, ulimwengu huu haungekuwepo na tusingekuwepo." Alisema wa kwanza:

"Kweli, simuoni, kwa hivyo ni sawa kwamba Yeye hayupo." Ambayo wa pili alijibu, "Wakati mwingine, unapokuwa kimya na ukizingatia na kusikiliza, unaweza kuona uwepo Wake, na unaweza kusikia sauti Yake ya upendo, ikiita kutoka juu." Labda hii ilikuwa moja ya maelezo bora ya dhana ya MUNGU.
 
Mungu yupo mahali pote hana physical limitations, Mungu amekuwepo, alikuwepo na atakuwepo...Mungu hana hizo limitation za kibinadamu.....Mungu ni Roho...sio physical matter....naweza kukubaliana kidogo na aliyesema kuwa Mungu ni ENERGY..ipo tu....
 
Katika tumbo la mama kulikuwa na watoto wawili. Mmoja akamuuliza mwenzake: “Je, unaamini maisha baada ya kujifungua?” Yule mwingine akajibu, “Kwa nini, bila shaka. Lazima kuwe na kitu baada ya kujifungua. Labda tuko hapa kujitayarisha kwa kile tutakachokuwa baadaye.”

"Upuuzi," wa kwanza alisema. "Hakuna maisha baada ya kujifungua. Je, hayo yangekuwa maisha ya aina gani?” Wa pili akasema, "Sijui, lakini kutakuwa na mwanga zaidi kuliko hapa. Labda tutatembea kwa miguu yetu na kula kutoka kwa midomo yetu. Labda tutakuwa na hisia zingine ambazo hatuwezi kuelewa sasa.

Wa kwanza akajibu, “Huo ni upuuzi. Kutembea haiwezekani. Na kula kwa midomo yetu? Kichekesho! Kamba ya umbilical hutoa lishe na kila kitu tunachohitaji. Lakini kamba ya umbilical ni fupi sana. Maisha baada ya kujifungua yanapaswa kutengwa kimantiki.” Wa pili alisisitiza, "Nadhani kuna kitu na labda ni tofauti na ilivyo hapa. Labda hatutahitaji kamba hii ya mwili tena." Wa kwanza akajibu, “Upuuzi. Na zaidi ya hayo, ikiwa kuna uhai, basi kwa nini hakuna mtu aliyewahi kurudi kutoka huko? Kujifungua ni mwisho wa maisha, na katika baada ya kuzaa hakuna ila giza na ukimya na usahaulifu. Haitupeleki popote.” “Sawa, sijui,” akasema wa pili, “lakini hakika tutakutana na Mama naye atatutunza.

” Wa kwanza akajibu “Mama? Unamwamini Mama kweli? Hiyo inachekesha. Kama mama yupo, yuko wapi sasa hivi?" Wa pili akasema, “Anatuzunguka pande zote. Tumezungukwa naye. Sisi ni wake. Ni ndani Yake tunaishi. Bila Yeye, ulimwengu huu haungekuwepo na tusingekuwepo." Alisema wa kwanza:

"Kweli, simuoni, kwa hivyo ni sawa kwamba Yeye hayupo." Ambayo wa pili alijibu, "Wakati mwingine, unapokuwa kimya na ukizingatia na kusikiliza, unaweza kuona uwepo Wake, na unaweza kusikia sauti Yake ya upendo, ikiita kutoka juu." Labda hii ilikuwa moja ya maelezo bora ya dhana ya MUNGU.
Mzee umetumia akili kubwa sana...
 
Dunia ni sehemu ndogo tu ya uumbaji katika viumbe vyoote alivyoumba Mwenyezi Mungu katika sayari zingine. Si kwamba viumbe vipo duniani tu vipo vingi tu katika sayari zingine pia. Mfano UFO sio uongo ni viumbe halisi kwa mujibu wa wanazuoni wengine ikiwemo watu waliowahi fika kwenye sayari zingine kupitia nguvu za giza mfano Prof Uzoma huyu alikuwa na phd nyingi elimu ya uchawi na mambo ya giza. Pia sisi wanadamu bado tupo chini sana kimaendeleo ya technology na vyote vilivyomo, kulinganisha na viumbe vingine mfano UFO.
Mfano ulimwengu wa giza tu wao wapo mbele miaka elf 3 zaidi yetu. Vitu kama laptop, simu, flats screen, nuclear weapons, jet fighter wanavyo miaka elf 3 nyuma.


Aisee
 
Salaam wanabodi,

Very simple. Swali linajieleza hapo juu. Je Mungu yuko wapi? Kabla ya Mungu kuumba ulimwengu/dunia na vitu vyoooote vilivyopo, yeye binafsi alikuwa wapi? Alikuwa kwenye nini? Aliketi au kusimama kwenye kitu gani? Je ni yeye aliyeumba sayari nyingine zaidi ya 9 zinazofahamika? Kwanini amemuweka mwanadamu kwenye sayari moja tu ya DUNIA?

Tusaidiane kujua majibu ya haya maswali muhimu kwenye historia ya ulimwengu.
Unalijua neno Alshi!!?? Hilo neno original yake Anajua Mungu peke ako coz wakati Mungu anaumba mbigu na dunia na vilivyomo!! Bas alikuwa kwenye hiyo Alshi yake sema wanazengo msiniulize iyo alsh imekaa wapi
 
Katika tumbo la mama kulikuwa na watoto wawili. Mmoja akamuuliza mwenzake: “Je, unaamini maisha baada ya kujifungua?” Yule mwingine akajibu, “Kwa nini, bila shaka. Lazima kuwe na kitu baada ya kujifungua. Labda tuko hapa kujitayarisha kwa kile tutakachokuwa baadaye.”

"Upuuzi," wa kwanza alisema. "Hakuna maisha baada ya kujifungua. Je, hayo yangekuwa maisha ya aina gani?” Wa pili akasema, "Sijui, lakini kutakuwa na mwanga zaidi kuliko hapa. Labda tutatembea kwa miguu yetu na kula kutoka kwa midomo yetu. Labda tutakuwa na hisia zingine ambazo hatuwezi kuelewa sasa.

Wa kwanza akajibu, “Huo ni upuuzi. Kutembea haiwezekani. Na kula kwa midomo yetu? Kichekesho! Kamba ya umbilical hutoa lishe na kila kitu tunachohitaji. Lakini kamba ya umbilical ni fupi sana. Maisha baada ya kujifungua yanapaswa kutengwa kimantiki.” Wa pili alisisitiza, "Nadhani kuna kitu na labda ni tofauti na ilivyo hapa. Labda hatutahitaji kamba hii ya mwili tena." Wa kwanza akajibu, “Upuuzi. Na zaidi ya hayo, ikiwa kuna uhai, basi kwa nini hakuna mtu aliyewahi kurudi kutoka huko? Kujifungua ni mwisho wa maisha, na katika baada ya kuzaa hakuna ila giza na ukimya na usahaulifu. Haitupeleki popote.” “Sawa, sijui,” akasema wa pili, “lakini hakika tutakutana na Mama naye atatutunza.

” Wa kwanza akajibu “Mama? Unamwamini Mama kweli? Hiyo inachekesha. Kama mama yupo, yuko wapi sasa hivi?" Wa pili akasema, “Anatuzunguka pande zote. Tumezungukwa naye. Sisi ni wake. Ni ndani Yake tunaishi. Bila Yeye, ulimwengu huu haungekuwepo na tusingekuwepo." Alisema wa kwanza:

"Kweli, simuoni, kwa hivyo ni sawa kwamba Yeye hayupo." Ambayo wa pili alijibu, "Wakati mwingine, unapokuwa kimya na ukizingatia na kusikiliza, unaweza kuona uwepo Wake, na unaweza kusikia sauti Yake ya upendo, ikiita kutoka juu." Labda hii ilikuwa moja ya maelezo bora ya dhana ya MUNGU.
Maelezo yenye kufikkrisha sn..kuna uwezekano Sisi tupo tumboni pia ndy maana tubabishana kuhusu MUNGU wengine wakisema hawahisi uwepo wake
 
Wakiwa wanakujibu, wanajibu pia je hadithi ya mnara wa baberi ni kweli au si kweli. Maana ndio hadithi inayozungumzia chimbuko la lugha.

Je huo mnara ulikua na urefu gani hadi Mungu aone binadamu watamfikia?.. maana vyombo vya usafiri vinatoka hadi nje ya dunia
Ukileta mstari unaosema Mungu aliona wanadamu watamfikia naomba nipigwe BAN ya maisha.
 
Back
Top Bottom