Nakuomba kula shiba then ulaleee! vizuri kabisa.......sasa basi yuleee Mtu anaetembea yule! anafanya kila kitu! wakati wewe binafsi yako umelala!! ndo mwenyewe huyo!Masuala ya njaa yanaelezeka kibaiolojia. Lakini kabla hatujaiwaza njaa tuwaze huyu aliyetuumba mpka tukawa tunafunction namna hii yuko wapi? Alikuwa wapi? Aliketi wapi? Na alisimama wapi wakati anaumba yote yaliyopo ulimwenguni. Hilo ndio swali mku. Elewa swali.
Hili swali lako ni zuri sana! iko hivi litunze ili siku akija! kifupi, tutamlaki Mawinguni sasa ....umuulize ivo!Aliketi wapi?
Hujambo mkuu!! daaaa!! umepoteaaa! kwa nini lkn?? unajua niliwaza mbali sana.....hata ivo siamini km ni weye yule halisi kweli???...mwenye hoja moto moto!! asiye ogopa kitu?...siamini ngoja....!...Ulipo yupo.
Kwa hiyo ni kama liturubai lipaaaana limeenea pote.Mungu yupo mahali pote....kila sehemu yupo...Mungu hana physical locality..kusema utamkuta pale...hizo phyical characteristics zipo kwa viumbe...God is not bound by physical dimension nor time....yupo.kila sehemu...
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Sasa hili boga la nini mkuu?hili si laa sayansi Mungu huwa halipendi na waliolitengeneza na kulibuni hawakubaliani na mungu.
Haikuumbwa na Mungu hujamuelewa, Yaani yaweza kuwa iliumbwa ila sio na mungu wa bibilia wala quraan.NGUVU KUBWA ANAKUBALI ILA SIO INAYOTANGAZWAWhat is the point, unasema hakuna Mungu na at the same time unaadmitt dunia iliumbwa,
Huoni kama unajichanganya kk