kanisa jingine limechomwa moto uko yombo sasa ivi source Waporadio Mungu azidi kunipa moyo wa chuma
Aisee kumbe kuna watu wana alerge na makanisa? Shauri yao, siku zikifika watakuja kuyatafuta makanisa na hawatayaona.
Hakuna mkristo mwenye roho ya kimaskini kiasi cha kutenda hivyo!...Fahamu hilo.Inawezekana kabisa wanayachoma wenyewe ili kuzidisha chuki baina ya waislam na Serikali yenu na vile wapate fidia kutokana na uchomaji huo.
janja ya nyani ...
Mambo vipi mwisilamu!Inawezekana kabisa wanayachoma wenyewe ili kuzidisha chuki baina ya waislam na Serikali yenu na vile wapate fidia kutokana na uchomaji huo.
janja ya nyani ...
Inawezekana kabisa wanayachoma wenyewe ili kuzidisha chuki baina ya waislam na Serikali yenu na vile wapate fidia kutokana na uchomaji huo.
janja ya nyani ...