ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,345
- 2,953
Wako wengi wapi njaa zinawasumbua kazi zao chumauleteFor real, hii habari imeniumiza sana..! Hivi wanataka kutuamisha kama kweli wao ni wengi kuliko sisi??? Eeeh Mungu...!!
Wako wengi wapi njaa zinawasumbua kazi zao chumauleteFor real, hii habari imeniumiza sana..! Hivi wanataka kutuamisha kama kweli wao ni wengi kuliko sisi??? Eeeh Mungu...!!
Pole sana, please kuweni na subra, sote ni NDUGU, tofauti ni uelewa.
What to do!
huwajui wenye alerge na makanisa ????????????
Kikwete kakaa kimya anafurahia wanachokifanya wenzake
wewe unafahamu ndoto ya nabii Daniel aliyoota katika mwaka wa kwanza wa konselvo toka kuzaliwa belteshadha mfalme?these guys are totaly out of their minds.ukristo unawazuia nini? au tunawapa hasara gani???????????? kama umaskini wanautaka wenyewe kwa kuoa wanawake saba na kuzaa watoto bila kujua wataishi vipi.kuchoma makanisa kutawasaidia kutatua matatizo yao au ni wendawazimu tuu???????????????
ujue kuna baadhi ya watu wamejichokea maisha,sasa hawa hupenda migogoro kila mara ili wapate sababu.sasa kama wewe unafikiri vyema,dawa ya mtu kama huyu ni kumkwepa.hujawahi hata kukutana na mtu njiani ukashangaa anakazana kukubana wakati njia pana?lengo ni ili ukasirike ummaindi halafu muingie kwenye mgogoro.watu kama hawa wakwepe hata wakisema wewe mwoga.Hawa jamaa(baaz waislam njaa) uku mtaan wanajisifu wakristo 2nawaogopa ivi ni njaa za vurugu ili waibe au wako serious wanataka mkono.,2kianza wakristo hatutaki refa....
wewe inaonekana haufuatilii taarifa vya kutosha!sio kweli kwamba kakaa kimia kama unavyosema.juzi wakati anazima mwenge shinyanga alikemea sana mabo haya na kuhamasisha utulivu na kuheshimiana kisha kuahidi kwamba serikali itawashughulikia kwa mujibu wa sheria wote wanaofanya uchochezi.na kiutekelezaji wamekamatwa wamepelekwa mahakamani.sasa wewe ulitaka rais afanye je tena!Kikwete kakaa kimya anafurahia wanachokifanya wenzake