Moto unateketeza jengo refu Changsha city, China, tusipuuze Manabii wa Mungu

Rabbon

JF-Expert Member
Apr 16, 2022
15,163
22,677
Salaam, Shalom.

Tukiwa Bado tunatafakari kuteketea Kwa mji mzima nchini Chile, na habari hiyo imehujumiwa Kwa kiasi kikubwa kutowafikia watu, wahusika wakiwa na sababu zao.

Wakati huo huo tukiendelea na uzimaji moto, Bar ya kitambaa cheupe jijini Dar Salaam,

Ni siku ya nne sasa imeripotiwa kuzuka Kwa moto mkubwa katika jengo refu nchini China. Moto huo umezuka katika jengo refu katika ghorofa ya 42, Hadi sasa hakuna majeruhi waliopatikana, jengo Hilo linahusika na mawasiliano nchini humo.

Nchini kwetu Pana Nabii Mkubwa sana, Mungu amemleta, Nabii huyo ni mkuu ni njia na funguo kusaidia watu wa Ili wasiangamie.

Msisitizo unaendelea kutolewa Kwa wakazi wa Bandari salama kuhama mji huo.

Mungu Si mwanadamu aseme uongo.

Source: TODAY online channel.

Amen,

Karibuni 🙏.
 
Salaam, Shalom.

Tukiwa Bado tunatafakari kuteketea Kwa mji mzima nchini Chile, na habari hiyo imehujumiwa Kwa kiasi kikubwa kutowafikia watu, wahusika wakiwa na sababu zao.

Wakati huo huo tukiendelea na uzimaji moto, bar ya kitambaa cheupe jijini Dar Salaam,


Ni siku ya nne sasa imeripotiwa kuzuka Kwa moto mkubwa katika jengo refu nchini China. Moto huo umezuka katika jengo refu katika ghorofa ya 42, Hadi sasa hakuna majeruhi waliopatikana, jengo Hilo linahusika na mawasiliano nchini humo.

Nchini kwetu Pana Nabii Mkubwa sana, Mungu amemleta, Nabii huyo ni mkuu ni njia na funguo kusaidia watu wa Ili wasiangamie.

Msisitizo unaendelea kutolewa Kwa wakazi wa Bandari salama kuhama mji huo.

Mungu Si mwanadamu aseme uongo.

Source: TODAY online channel.

Amen,

Karibuni 🙏.
Nabii anaingiaje
 
Salaam, Shalom.

Tukiwa Bado tunatafakari kuteketea Kwa mji mzima nchini Chile, na habari hiyo imehujumiwa Kwa kiasi kikubwa kutowafikia watu, wahusika wakiwa na sababu zao.

Wakati huo huo tukiendelea na uzimaji moto, bar ya kitambaa cheupe jijini Dar Salaam,


Ni siku ya nne sasa imeripotiwa kuzuka Kwa moto mkubwa katika jengo refu nchini China. Moto huo umezuka katika jengo refu katika ghorofa ya 42, Hadi sasa hakuna majeruhi waliopatikana, jengo Hilo linahusika na mawasiliano nchini humo.

Nchini kwetu Pana Nabii Mkubwa sana, Mungu amemleta, Nabii huyo ni mkuu ni njia na funguo kusaidia watu wa Ili wasiangamie.

Msisitizo unaendelea kutolewa Kwa wakazi wa Bandari salama kuhama mji huo.

Mungu Si mwanadamu aseme uongo.

Source: TODAY online channel.

Amen,

Karibuni 🙏.
Upuuzi mtupu
 
Huyo nabii wako anasemaje kuhusu kupatikana kwa umeme na sukari kwenye kipindi Cha mfungo wa ramadhani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom