Mungu wa Makonda yu wapi?

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Feb 20, 2016
14,047
20,410
Hatimaye yametimia. Ilikuwa jana tu mfalme wa Dar es Salaam kaja kwetu kuombewa na mashehe wetu kwamba kuna mtu anataka kumtupia majini, swali, Je Mungu ni wa michangano namna hii, mara leo unaombewa huku mara kule maaskofu mara unaombewa na shehe , je kama Mungu ni mmoja na anasikia si hawa wanaomuombea waunganishe na dini zao?

Nasema waunganishe maana utengano wao ni kutokana wa wakatoliki kumwomba bikira maria awarehemu, wapentekoste hasa Assemblies of God na wengine kuamini Yesu ni Mungu huku sisi waaislamu tukiamini Allah, Mtume Muhamaad, sasa mkuu atuambie aombewe kwa jina lipi?

Je hizi sala zitafika kweli ama ni maigizo ya kututoa kwenye upepo wa kisiasa?
 
hatimaye yametimia. Ilikuwa jana tu mfalme wa Dar es salaam kaja kwetu kuombewa na mashehe wetu kwamba kuna mtu anataka kumtupia majini, swali, Jr Mungu ni wa michangano namna hii, mara leo unaombewa huku mara kule maaskofu mara shehe , je kama Mungu ni mmojana anasikia si hawa wanaomuombea waunganishe na dini zao? nasema waunganishe maana utengano wao ni kutokana wa wakatoliki kumwomba bikira maria awarehemu, wapentekoste hasa Assemblies of God na wengine kuamini Yesu ni Mungu huku sisi waaislamu tukiamini Allah , mtume muhamaad, sasa mkuu atuambie aombewe kwa jina lipi?
Kuna ayat gani inayo zuia muisilamu asimuombee kafir apate wepesi
 
hatimaye yametimia. Ilikuwa jana tu mfalme wa Dar es salaam kaja kwetu kuombewa na mashehe wetu kwamba kuna mtu anataka kumtupia majini, swali, Jr Mungu ni wa michangano namna hii, mara leo unaombewa huku mara kule maaskofu mara unaombewa na shehe , je kama Mungu ni mmoja na anasikia si hawa wanaomuombea waunganishe na dini zao?
nasema waunganishe maana utengano wao ni kutokana wa wakatoliki kumwomba bikira maria awarehemu, wapentekoste hasa Assemblies of God na wengine kuamini Yesu ni Mungu huku sisi waaislamu tukiamini Allah , mtume muhamaad, sasa mkuu atuambie aombewe kwa jina lipi?
je hizi sala zitafika kweli ama ni maigizo ya kututoa kwenye upepo wa kisiasa?
Alienda kuwapasha kwamba majini wanayoyafuga si lolote wala chochote mbele yake!
 
hatimaye yametimia. Ilikuwa jana tu mfalme wa Dar es salaam kaja kwetu kuombewa na mashehe wetu kwamba kuna mtu anataka kumtupia majini, swali, Jr Mungu ni wa michangano namna hii, mara leo unaombewa huku mara kule maaskofu mara unaombewa na shehe , je kama Mungu ni mmoja na anasikia si hawa wanaomuombea waunganishe na dini zao?
nasema waunganishe maana utengano wao ni kutokana wa wakatoliki kumwomba bikira maria awarehemu, wapentekoste hasa Assemblies of God na wengine kuamini Yesu ni Mungu huku sisi waaislamu tukiamini Allah , mtume muhamaad, sasa mkuu atuambie aombewe kwa jina lipi?
je hizi sala zitafika kweli ama ni maigizo ya kututoa kwenye upepo wa kisiasa?
yupo kuzimu. kwa waganga wa kienyeji, wasoma nyota, mashee wauz amajini na wachawi. alishamwacha Mungu sasaivi anajiona mtu, kuna siku yatamtokea puani. amelaaniwa amtumainiye mwanadamu, amfanyaye kuwa kinga yake NA MOYONI MWAKE AMEMWACHA BWANA. time will tell. Mungu akikuinua unatakiwa kuwa na adabu, ulikuwa kinyago uliyefeli shule, ukaanza kuzunguka kuhubiri, Mungu akakuonea huruma kwasababu ulikuwa sifui wa kijijini, ukapata cheo, ukaota kiburi na dharau, manyanyaso. ajikwezaye atashushwa, ajishushaye atakwezwa. uliinuliwa kwa neema, haukustahili kwasababu hata sahule ulifeli. Rudi kwa Mungu wako upone.
 
Nakumbuka Gwajima aliamuru majini na mashetani yatoke kwa nguruwe yamwingilie bashite the david the conductor the mbururaz.
 
Gwajima kafanya press conference yake kanisani,kwenye familia yake.

Nilimsikia akisema ataamuru yake madude yasiende kwenye Mbuzi-Katoliki ,bali yaende atapoyaelwkeza
 
Yupo ikulu Mungu wa makonda.km anaweza kutishia wabunge kua c lolote wala chochote yy yuko na raisi,hapo kuna mungu mwingine wa makonda ? Tutamuona akiweweseka sana sshivi,ataenda hata kwa mateja kuombewa,
 
Bila kumuongelea Makonda ni kama hamuwezi kula. Kweli amewaweza wengi

Hapa kazi tu
 
Back
Top Bottom