Mungu wa Makonda yu wapi?

Mungu wa Makonda yu wapi?

Kama mtumbuaji anaoneshwa jipu, anapewa sindano, anapewa kila kitu na bado hatumbui. Legacy ya mtumbuaji kwenye utumbuaji imeshuka karibu kabisa na bashite(sifuri,zero,0)
 
Bila kumuongelea Makonda ni kama hamuwezi kula. Kweli amewaweza wengi

Hapa kazi tu
Kazi tu wakati hali yako mbaya, hujui hata Christmas utavaa nini wewe na wanao, hali imekuwa ngumu unalia moyoni machoni unajifariji
 
Kazi tu wakati hali yako mbaya, hujui hata Christmas utavaa nini wewe na wanao, hali imekuwa ngumu unalia moyoni machoni unajifariji

Ha ha ha haaaaaa
Naona unatamani ndoto yako iwe kweli.. 🤣🤣🤣🤣🤣💀💀💀
 
Back
Top Bottom