Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,955
- 156,157
Kila mtu ana ndoto yake. Wapo ambao ndoto zao ni kuwa wafanyabiashara wakubwa wenye mapesa, wapo wenye ndoto ya kuwa maraisi, wapo wenye ndoto za kuwa na upako mkubwa kupitiliza, wakiliga chafya wafu wafufuke.
Kwa kweli furaha yangu niweze kumsaidia mtu mmoja, awe mume au mke, mwana JF au asiye mwana JF, niweze kubadili hali yake ya kimaisha, nimpe moyo, abadilishe mindset atoke kwenye hali mbaya kwenda nzuri zaidi.
Nifanye mabadilklo bila kutegemea asante au ujiko au chochote kwa ndugu huyo.
Mungu nisaidie nitimize ndoto zangu.
Kwa kweli furaha yangu niweze kumsaidia mtu mmoja, awe mume au mke, mwana JF au asiye mwana JF, niweze kubadili hali yake ya kimaisha, nimpe moyo, abadilishe mindset atoke kwenye hali mbaya kwenda nzuri zaidi.
Nifanye mabadilklo bila kutegemea asante au ujiko au chochote kwa ndugu huyo.
Mungu nisaidie nitimize ndoto zangu.