FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,518
- 46,606
Hayo unayoyasema ni kusababisha maumivu na si kuepusha maumivu, ulipaswa kuniambia kwanini nisizuie mauaji huko Ukraine endapo uwezo ninano? Hio ingemake sense, ila sasa , mimi sina huo uwezo, ningekuwa nao na badi nikaacha watu wauwawe Ukraine hapo nitakuwa ‘Sadist’Acheni upumbavu, mbona hukanyagi moto ukuunguze mguu ilihali uwezo wa kuukanyaga unao?
Au mbona hujipeleki huko vitani Ukraine ukafe nakati uwezo wa kwenda unao?
Au kwanini hujilazi kwenye reli ili treni ikija ipite nawe ufe nakati una uwezo huo?