Hapana. Ishu ni kwamba anaziona njia zako, matendo yako, maamuzi yako, mfumo wa moyo wako na matamanio yake hivyo yeye kujua kuwa utabadilika au kuacha unachokifanya ni rahisi, huwezi kumfanyia suprice., mwisho wako anaujua.
Ni kama vile wewe unaangalia movie ambayo ulishaiona, unajua kabisa kitakachotokea sio kwa sababu umekifanya kitokee au umepanga ila ni kwa sababu unajua kitatokea sababu una uzoefu wa hiyo filamu.
Sasa MUNGU anaona matamanio ya moyo wako na anajua matokeo ya hayo matamanio siku zote ni nini kitafuata maana matendo ya binadamu ni yale yale tu hakuna jipya ambalo litakuwa suprice.