Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,928
Najaribu kuwapima viongozi wetu wa dini kwangu hapa namaanisha wachungaji wa kikristo naona kama wamepotoka na hawalisaidii taifa.
Kwanini?
1. Angalia idara pendwa wakati ipo chini ya RO .
2. Angalia idara pendwa wakati ipo chini ya mchungaji MK.
3. Angalia idara pendwa wakati huu ipo chini ya DAM.
Hebu hata niwewe mwana great thinker utawaamini wachungaji? Hapa muweke mbali gwjby maana Mimi ameniongezea sababu za kutowaamini Hawa watu. (Wachungaji)
Hakika sio wote wamuitao bwana watauona ufalme wa Mungu.
Super B.
Kwanini?
1. Angalia idara pendwa wakati ipo chini ya RO .
2. Angalia idara pendwa wakati ipo chini ya mchungaji MK.
3. Angalia idara pendwa wakati huu ipo chini ya DAM.
Hebu hata niwewe mwana great thinker utawaamini wachungaji? Hapa muweke mbali gwjby maana Mimi ameniongezea sababu za kutowaamini Hawa watu. (Wachungaji)
Hakika sio wote wamuitao bwana watauona ufalme wa Mungu.
Super B.