Ndoa nyingi huvunjika kwa msukumo wa Mahubiri ya Viongozi wa Dini

jjs2017

JF-Expert Member
May 25, 2019
2,023
4,213
Habari ndugu zangu..

Mimi sijaenda kwenye nyumba za ibada nipo hapa nawaza sana jinsi viongozi wadini wanavyo changia ndoa nyingi sana kuvunjika kutokana na mafundisho yao ya kila siku.

Kwenye nyumba nyingi sana za ibada wamejaa huko wake zetu na mabinti wengi ambao ndiyo wake zetu watarajiwa.

Ndugu yangu kwanini nasema viongozi wengi wa dini huchangia ndoa nyingi kuvunjika hiii ni kutokana na kauli zao tata ambazo nimeorodhesha hapa chini wanazo kua wanazitoa kwa lengo la kukusanya wanawake wengi ili kujipatia sadaka ( mapato) kwa maslai yao binafsi.

1: WANAWAKE NI JESHI KUBWA

Hii kauli imeleta upinzani sana kwani wanawake wengi walioathiriwa na mpango wa haki sawa wamekua wakiitumia kama silaha ya kumuangamiza mwanaume kinyume na ilivyo tafsiriwa hapo awali enzi za mababu zetu.

2: MAHOBIRI MENGI YANATAJA UCHAWI, KULOGWA NA UWEPO WA MAPEPO WA CHAFU

Mahobiri mengi sana yamekua yakiaminisha kuwa uchawi upo, hali hii upelekea mwanamke aliye ndani ya ndoa kumchukulia mumewe /ndugu wa mume ni mchawi hasa pale kunapotokea changamoto ya kiuchumi na maradhi

3: SITORUDI MISRI NAELEKEA KAANANI

Wanandoa wengi wanaamini misri kwao ni mahusiano waliyo nayo au mapito waliyo pitia kiasi chakukataa kutaka suluhu za kimahusiano wakiamini ni kurudishwa nyuma.

4: " KUTOA MUDA WA KUMTUMIKIA MUNGU

Muda wa kumtumikia Mungu ni jambo zuri sana, ila umetumika kinyume nakufanya wanawake wengi kushinda kwenye nyumba za ibada kwanzia asubuhi mpaka usiku wakifanya usafi, maombi na kujitolea kuombea wengine.

Jambo hili limepelekea sana wanawake wengi kukosa muda na ndoa zao/ wapenzi wao na kutokuthamini watoto wala mume/ mpenzi wake

5: WANAUME TUTAKULA KWA JASHO NA NYIE MTAZAA KWA UCHUNGU

Ni kweli sisi tumeumbiwa kula kwa jasho ila hakuna mahali palipo mkataza mwanamke kufanya kazi kwani imeamriwa "asiye fanya kazi na asile na haikutaja jinsia.

Wamesahau kuwa wao ni wasaidizi wetu na wanaweza kutusaidia katika kufanya kazi na sisi tukiwa kama watawala, ukirejea kwenye sifa za mke mwema kiimani "mwanamke ametajwa kua hali chakula cha uvivu, uliangalia shamba na kulinunua, pia hufanya kazi yake ya mikono kwa moyo" .

Wamesahau kujua hata kazi za nyumbani wakifanya ni thawabu tosha , bali wanaonani utumwa na wanahitaji malipo /kupewa mshahara.

Mahobiri haya yamewafanya wanawake wengi kwaulimbukeni wao kuwageuza wanaume wengi wanao watongoza kuwa ni njia ya kujipatia mapato kwa mgongo wa ndoa / mahusiano

6: MWANAMKE ANAWEZA KUMUOKOA MWANAUME

Hii imepelekea mpasuko ndani ya nyumba na mahusiano kiujumla baina ya mwanamke na mwanamume kiimani,

Unakuta walikua watu wa imani moja , dhehebu moja lakini gafla wanatawanyika kila mtu ana amini katika kile anacho kiamini, huku mwanamke akiamini yeye anaweza kumuokoa mumewe kumbe ndiyo anazidi kumpoteza sana

7: KUTOA SADAKA

Mnapokua mke na mume wote mnakua mwili mmoja na kila kitu mlicho nacho ni kimoja ila msimamizi mkuu ni mwanaume, mwanamke hupaswi kunichukulia tuu hela au mali shambani ukapeleka kwenye nyumba za ibada bila idhini ya mumeo / makubaliano baina yenu. Mahobiri mengi ya kutoa sadaka yamekua yakiwageuza wanawake wengi kuwa waizi wa mali za familia na kuzipeleka zote kwa watumishi.

Wanaume tulipo jaribu kuweka usimamizi kama watawala , wanawake wakafikia mbali zaidi na kuhitaji kujitenga na kua wabinafsi na hata mapato yao hayaonekani ndani ya nyumba bali wanayatumia kulisha watu wengine kwa mgongo wa kutoa sadaka

8: VIKAO VYA WANAWAKE BAADA YA IBADA NA VIONGOZI WA DINI.

kumekuwa na vikao vya mara kwa mara na mikutano ya wanawake , ndani ya hiyo mikutano kumezuka mawaidha yanayo wafanya wanawake waone wanaume siyo kitu mbele ya watumishi wao wa kiimani, kumejenga wanawake kuwa na viburi, jeuri, kutokua watii , kutokua waaminifu, dharau na ubinafsi mkubwa kwa waume zao / wapenzi wao na kupeleka wanaume wengi kuamua kuachana na mpango wa umoja baina ya mwanamke na mwanamume.

9: KUTOA SIRI ZA FAMILIA KWA MGONGO WA KUOMBEWA.

Wanawake wengi wamekua wakutoa siri nyeti za familia kwa watumishi huku wakiamini wataombewa na mwisho wasiku kunikuta kuwa watumwa wa kuombewa na kupeleka kila mapato yao wanayo yapata huko kwenye nyumba zaibada , nayo ni changamoto iliyo haribu ndoa.

10: MAHUBIRI YA MIUJIZA KWA MGONGO WA "AWAHI WALA ACHELEWI"

Mabinti na wamama wengi sana wamekua wakiamini katika miujiza nasiyo kujituma na kuwasikiliza wanaume wao, Wameaminishwa kinyume chakuwa Mungu awahi wala achelewi, hali hii imepelekea wanawake wengi kutosikiliza ushauri wa kiimani na kiuchumi kutoka kwa wanaume wao wakiamini wakati wa Mungu bado haujafika,

Mabinti wengi wamefikia hadi kukataa wanaume waliokua wakijitoa kuwatongoza wakiamini bado wakati haujafika na kusahau kwamba siku zote wakati hauna mwisho, mabinti wamekua wakiringa sana huku wakijiona bado muda wao haujafika,

Vivyo hivyo wanawake wengi walio ndani ya ndoa wamekua wakiongeza muda mwingi sana kushinda kwenye nyumba za ibada huku wakitelekeza majukumu yao ya kifamilia wakiamini bado wakati haujafika na ipo siku utafika tuu.

kiukweli wamesahau maombi ni kutiana moyo sana na kufikia hatua hii kwao ni dalili ya kukata tamaa na kuharibu mahusiano yao


NDUGU ZANGU NIMEFIKIRIA SANA NIMEFIKIA HAPO NAOMBENI KUWASILISHA NA NIPO TEYARI KUKOSOLEWA KWA HOJA ZA MSINGI,..

Nb: ndani ya maandishi haya kuna makosa madogo ya kiuandishi.
 
Habari ndugu zangu..

Mimi sijaenda kwenye nyumba za ibada nipo hapa nawaza sana jinsi viongozi wadini wanavyo changia ndoa nyingi sana kuvunjika kutokana na mafundisho yao ya kila siku.

Kwenye nyumba nyingi sana za ibada wamejaa huko wake zetu na mabinti wengi ambao ndiyo wake zetu watarajiwa.

Ndugu yangu kwanini nasema viongozi wengi wa dini huchangia ndoa nyingi kuvunjika hiii ni kutokana na kauli zao tata ambazo nimeorodhesha hapa chini wanazo kua wanazitoa kwa lengo la kukusanya wanawake wengi ili kujipatia sadaka ( mapato) kwa maslai yao binafsi.

1: WANAWAKE NI JESHI KUBWA

Hii kauli imeleta upinzani sana kwani wanawake wengi walioathiriwa na mpango wa haki sawa wamekua wakiitumia kama silaha ya kumuangamiza mwanaume kinyume na ilivyo tafsiriwa hapo awali enzi za mababu zetu.

2: MAHOBIRI MENGI YANATAJA UCHAWI, KULOGWA NA UWEPO WA MAPEPO WA CHAFU

Mahobiri mengi sana yamekua yakiaminisha kuwa uchawi upo, hali hii upelekea mwanamke aliye ndani ya ndoa kumchukulia mumewe /ndugu wa mume ni mchawi hasa pale kunapotokea changamoto ya kiuchumi na maradhi

3: SITORUDI MISRI NAELEKEA KAANANI

Wanandoa wengi wanaamini misri kwao ni mahusiano waliyo nayo au mapito waliyo pitia kiasi chakukataa kutaka suluhu za kimahusiano wakiamini ni kurudishwa nyuma.

4: " KUTOA MUDA WA KUMTUMIKIA MUNGU

Muda wa kumtumikia Mungu ni jambo zuri sana, ila umetumika kinyume nakufanya wanawake wengi kushinda kwenye nyumba za ibada kwanzia asubuhi mpaka usiku wakifanya usafi, maombi na kujitolea kuombea wengine.

Jambo hili limepelekea sana wanawake wengi kukosa muda na ndoa zao/ wapenzi wao na kutokuthamini watoto wala mume/ mpenzi wake

5: WANAUME TUTAKULA KWA JASHO NA NYIE MTAZAA KWA UCHUNGU

Ni kweli sisi tumeumbiwa kula kwa jasho ila hakuna mahali palipo mkataza mwanamke kufanya kazi kwani imeamriwa "asiye fanya kazi na asile na haikutaja jinsia.

Wamesahau kuwa wao ni wasaidizi wetu na wanaweza kutusaidia katika kufanya kazi na sisi tukiwa kama watawala, ukirejea kwenye sifa za mke mwema kiimani "mwanamke ametajwa kua hali chakula cha uvivu, uliangalia shamba na kulinunua, pia hufanya kazi yake ya mikono kwa moyo" .

Wamesahau kujua hata kazi za nyumbani wakifanya ni thawabu tosha , bali wanaonani utumwa na wanahitaji malipo /kupewa mshahara.

Mahobiri haya yamewafanya wanawake wengi kwaulimbukeni wao kuwageuza wanaume wengi wanao watongoza kuwa ni njia ya kujipatia mapato kwa mgongo wa ndoa / mahusiano

6: MWANAMKE ANAWEZA KUMUOKOA MWANAUME

Hii imepelekea mpasuko ndani ya nyumba na mahusiano kiujumla baina ya mwanamke na mwanamume kiimani,

Unakuta walikua watu wa imani moja , dhehebu moja lakini gafla wanatawanyika kila mtu ana amini katika kile anacho kiamini, huku mwanamke akiamini yeye anaweza kumuokoa mumewe kumbe ndiyo anazidi kumpoteza sana

7: KUTOA SADAKA

Mnapokua mke na mume wote mnakua mwili mmoja na kila kitu mlicho nacho ni kimoja ila msimamizi mkuu ni mwanaume, mwanamke hupaswi kunichukulia tuu hela au mali shambani ukapeleka kwenye nyumba za ibada bila idhini ya mumeo / makubaliano baina yenu. Mahobiri mengi ya kutoa sadaka yamekua yakiwageuza wanawake wengi kuwa waizi wa mali za familia na kuzipeleka zote kwa watumishi.

Wanaume tulipo jaribu kuweka usimamizi kama watawala , wanawake wakafikia mbali zaidi na kuhitaji kujitenga na kua wabinafsi na hata mapato yao hayaonekani ndani ya nyumba bali wanayatumia kulisha watu wengine kwa mgongo wa kutoa sadaka

8: VIKAO VYA WANAWAKE BAADA YA IBADA NA VIONGOZI WA DINI.

kumekuwa na vikao vya mara kwa mara na mikutano ya wanawake , ndani ya hiyo mikutano kumezuka mawaidha yanayo wafanya wanawake waone wanaume siyo kitu mbele ya watumishi wao wa kiimani, kumejenga wanawake kuwa na viburi, jeuri, kutokua watii , kutokua waaminifu, dharau na ubinafsi mkubwa kwa waume zao / wapenzi wao na kupeleka wanaume wengi kuamua kuachana na mpango wa umoja baina ya mwanamke na mwanamume.

9: KUTOA SIRI ZA FAMILIA KWA MGONGO WA KUOMBEWA.

Wanawake wengi wamekua wakutoa siri nyeti za familia kwa watumishi huku wakiamini wataombewa na mwisho wasiku kunikuta kuwa watumwa wa kuombewa na kupeleka kila mapato yao wanayo yapata huko kwenye nyumba zaibada , nayo ni changamoto iliyo haribu ndoa.

10: MAHUBIRI YA MIUJIZA KWA MGONGO WA "AWAHI WALA ACHELEWI"

Mabinti na wamama wengi sana wamekua wakiamini katika miujiza nasiyo kujituma na kuwasikiliza wanaume wao, Wameaminishwa kinyume chakuwa Mungu awahi wala achelewi, hali hii imepelekea wanawake wengi kutosikiliza ushauri wa kiimani na kiuchumi kutoka kwa wanaume wao wakiamini wakati wa Mungu bado haujafika,

Mabinti wengi wamefikia hadi kukataa wanaume waliokua wakijitoa kuwatongoza wakiamini bado wakati haujafika na kusahau kwamba siku zote wakati hauna mwisho, mabinti wamekua wakiringa sana huku wakijiona bado muda wao haujafika,

Vivyo hivyo wanawake wengi walio ndani ya ndoa wamekua wakiongeza muda mwingi sana kushinda kwenye nyumba za ibada huku wakitelekeza majukumu yao ya kifamilia wakiamini bado wakati haujafika na ipo siku utafika tuu.

kiukweli wamesahau maombi ni kutiana moyo sana na kufikia hatua hii kwao ni dalili ya kukata tamaa na kuharibu mahusiano yao


NDUGU ZANGU NIMEFIKIRIA SANA NIMEFIKIA HAPO NAOMBENI KUWASILISHA NA NIPO TEYARI KUKOSOLEWA KWA HOJA ZA MSINGI,..

Nb: ndani ya maandishi haya kuna makosa madogo ya kiuandishi.
Hizi dini ambazo watu wanashinda kusali lakini hawajabadilika hata siku moja?

Bado wanashinda makanisani na misikitini lakini
Ni
1. Wezi
2. Waongo
3. Wazinzi
4. Mafisadi
5. Wala rushwa
6. Watekaji
7. Wauaji
8. Wafiraji
9. Wasagaji
10. Watesaji
11. Wachoyo.

Hakuna mafundisho hapo ni zuga tu.

Dini ni Upendo, huruma na utu.
 
Tatizo ndoa zetu tunanganganiza kuendana na maisha yalivyo kwenye jamii. Mwanamke anaingia kwenye ndoa hana kazi, biashara wala kipato anategemea mwanaume. Ila mwanaume akikosa kipato stahiki yeye ndio wa kwanza ku blame na kuanza visa.

Ndoa tunaingia kukimbazana na muda, kuna umri ukifika inakua kama kuviziana, mtu anatafuta pakujifichia.
 
Hao ni wanawake wapumbavu wasioshindwa kubalance mambo.
Hata maandiko tu yanakataza watu kushinda tu kanisani mda wote.
 
Tatizo ndoa zetu tunanganganiza kuendana na maisha yalivyo kwenye jamii. Mwanamke anaingia kwenye ndoa hana kazi, biashara wala kipato anategemea mwanaume. Ila mwanaume akikosa kipato stahiki yeye ndio wa kwanza ku blame na kuanza visa.

Ndoa tunaingia kukimbazana na muda, kuna umri ukifika inakua kama kuviziana, mtu anatafuta pakujifichia.
Mwanaume unaoaje sasa huna uhakika wa kutunza ndoa. Kwani kuoa ni lazima?
 
Habari ndugu zangu..

Mimi sijaenda kwenye nyumba za ibada nipo hapa nawaza sana jinsi viongozi wadini wanavyo changia ndoa nyingi sana kuvunjika kutokana na mafundisho yao ya kila siku.

Kwenye nyumba nyingi sana za ibada wamejaa huko wake zetu na mabinti wengi ambao ndiyo wake zetu watarajiwa.

Ndugu yangu kwanini nasema viongozi wengi wa dini huchangia ndoa nyingi kuvunjika hiii ni kutokana na kauli zao tata ambazo nimeorodhesha hapa chini wanazo kua wanazitoa kwa lengo la kukusanya wanawake wengi ili kujipatia sadaka ( mapato) kwa maslai yao binafsi.

1: WANAWAKE NI JESHI KUBWA

Hii kauli imeleta upinzani sana kwani wanawake wengi walioathiriwa na mpango wa haki sawa wamekua wakiitumia kama silaha ya kumuangamiza mwanaume kinyume na ilivyo tafsiriwa hapo awali enzi za mababu zetu.

2: MAHOBIRI MENGI YANATAJA UCHAWI, KULOGWA NA UWEPO WA MAPEPO WA CHAFU

Mahobiri mengi sana yamekua yakiaminisha kuwa uchawi upo, hali hii upelekea mwanamke aliye ndani ya ndoa kumchukulia mumewe /ndugu wa mume ni mchawi hasa pale kunapotokea changamoto ya kiuchumi na maradhi

3: SITORUDI MISRI NAELEKEA KAANANI

Wanandoa wengi wanaamini misri kwao ni mahusiano waliyo nayo au mapito waliyo pitia kiasi chakukataa kutaka suluhu za kimahusiano wakiamini ni kurudishwa nyuma.

4: " KUTOA MUDA WA KUMTUMIKIA MUNGU

Muda wa kumtumikia Mungu ni jambo zuri sana, ila umetumika kinyume nakufanya wanawake wengi kushinda kwenye nyumba za ibada kwanzia asubuhi mpaka usiku wakifanya usafi, maombi na kujitolea kuombea wengine.

Jambo hili limepelekea sana wanawake wengi kukosa muda na ndoa zao/ wapenzi wao na kutokuthamini watoto wala mume/ mpenzi wake

5: WANAUME TUTAKULA KWA JASHO NA NYIE MTAZAA KWA UCHUNGU

Ni kweli sisi tumeumbiwa kula kwa jasho ila hakuna mahali palipo mkataza mwanamke kufanya kazi kwani imeamriwa "asiye fanya kazi na asile na haikutaja jinsia.

Wamesahau kuwa wao ni wasaidizi wetu na wanaweza kutusaidia katika kufanya kazi na sisi tukiwa kama watawala, ukirejea kwenye sifa za mke mwema kiimani "mwanamke ametajwa kua hali chakula cha uvivu, uliangalia shamba na kulinunua, pia hufanya kazi yake ya mikono kwa moyo" .

Wamesahau kujua hata kazi za nyumbani wakifanya ni thawabu tosha , bali wanaonani utumwa na wanahitaji malipo /kupewa mshahara.

Mahobiri haya yamewafanya wanawake wengi kwaulimbukeni wao kuwageuza wanaume wengi wanao watongoza kuwa ni njia ya kujipatia mapato kwa mgongo wa ndoa / mahusiano

6: MWANAMKE ANAWEZA KUMUOKOA MWANAUME

Hii imepelekea mpasuko ndani ya nyumba na mahusiano kiujumla baina ya mwanamke na mwanamume kiimani,

Unakuta walikua watu wa imani moja , dhehebu moja lakini gafla wanatawanyika kila mtu ana amini katika kile anacho kiamini, huku mwanamke akiamini yeye anaweza kumuokoa mumewe kumbe ndiyo anazidi kumpoteza sana

7: KUTOA SADAKA

Mnapokua mke na mume wote mnakua mwili mmoja na kila kitu mlicho nacho ni kimoja ila msimamizi mkuu ni mwanaume, mwanamke hupaswi kunichukulia tuu hela au mali shambani ukapeleka kwenye nyumba za ibada bila idhini ya mumeo / makubaliano baina yenu. Mahobiri mengi ya kutoa sadaka yamekua yakiwageuza wanawake wengi kuwa waizi wa mali za familia na kuzipeleka zote kwa watumishi.

Wanaume tulipo jaribu kuweka usimamizi kama watawala , wanawake wakafikia mbali zaidi na kuhitaji kujitenga na kua wabinafsi na hata mapato yao hayaonekani ndani ya nyumba bali wanayatumia kulisha watu wengine kwa mgongo wa kutoa sadaka

8: VIKAO VYA WANAWAKE BAADA YA IBADA NA VIONGOZI WA DINI.

kumekuwa na vikao vya mara kwa mara na mikutano ya wanawake , ndani ya hiyo mikutano kumezuka mawaidha yanayo wafanya wanawake waone wanaume siyo kitu mbele ya watumishi wao wa kiimani, kumejenga wanawake kuwa na viburi, jeuri, kutokua watii , kutokua waaminifu, dharau na ubinafsi mkubwa kwa waume zao / wapenzi wao na kupeleka wanaume wengi kuamua kuachana na mpango wa umoja baina ya mwanamke na mwanamume.

9: KUTOA SIRI ZA FAMILIA KWA MGONGO WA KUOMBEWA.

Wanawake wengi wamekua wakutoa siri nyeti za familia kwa watumishi huku wakiamini wataombewa na mwisho wasiku kunikuta kuwa watumwa wa kuombewa na kupeleka kila mapato yao wanayo yapata huko kwenye nyumba zaibada , nayo ni changamoto iliyo haribu ndoa.

10: MAHUBIRI YA MIUJIZA KWA MGONGO WA "AWAHI WALA ACHELEWI"

Mabinti na wamama wengi sana wamekua wakiamini katika miujiza nasiyo kujituma na kuwasikiliza wanaume wao, Wameaminishwa kinyume chakuwa Mungu awahi wala achelewi, hali hii imepelekea wanawake wengi kutosikiliza ushauri wa kiimani na kiuchumi kutoka kwa wanaume wao wakiamini wakati wa Mungu bado haujafika,

Mabinti wengi wamefikia hadi kukataa wanaume waliokua wakijitoa kuwatongoza wakiamini bado wakati haujafika na kusahau kwamba siku zote wakati hauna mwisho, mabinti wamekua wakiringa sana huku wakijiona bado muda wao haujafika,

Vivyo hivyo wanawake wengi walio ndani ya ndoa wamekua wakiongeza muda mwingi sana kushinda kwenye nyumba za ibada huku wakitelekeza majukumu yao ya kifamilia wakiamini bado wakati haujafika na ipo siku utafika tuu.

kiukweli wamesahau maombi ni kutiana moyo sana na kufikia hatua hii kwao ni dalili ya kukata tamaa na kuharibu mahusiano yao


NDUGU ZANGU NIMEFIKIRIA SANA NIMEFIKIA HAPO NAOMBENI KUWASILISHA NA NIPO TEYARI KUKOSOLEWA KWA HOJA ZA MSINGI,..

Nb: ndani ya maandishi haya kuna makosa madogo ya kiuandishi.
Demu wangu kanisa alilokuwa ana sali waliambiwa wasidate na mwanaume masikini

Wajiamini wanathamani ya kudate na matajiri wenye nyumba na mafweza tele

Hadi alishawahi weka hayo mahubiri status
 
Yote haya ni baada ya uchumi kuyumba,wanawake wa Sasa si wavumilivu uchumi ukiyumba wao siku zote uamini kwenye kupata na Sio kukosa.
Kile kiapo Cha shida na Raha wanachukua kimoja yaani raha tu.
" pambana we si mwanaume" pumbavu kabisa Pana mwanaume amekaa tu au wanadhani kupambana tu ndio kupata.
 
Hizi dini ambazo watu wanashinda kusali lakini hawajabadilika hata siku moja?

Bado wanashinda makanisani na misikitini lakini
Ni
1. Wezi
2. Waongo
3. Wazinzi
4. Mafisadi
5. Wala rushwa
6. Watekaji
7. Wauaji
8. Wafiraji
9. Wasagaji
10. Watesaji
11. Wachoyo.

Hakuna mafundisho hapo ni zuga tu.

Dini ni Upendo, huruma na utu.
Ni bora kama ni dini iendane na matendo na mfano wa kuigwa , yaani mpaka mtu ajiuliez huyu jamaa ni mtu kweli anasaidia watu pamoja kuwa mfano mzuri.

Ndio maana unatakiwa kuishi na mtu kujua mienendo yake hata asili ya marafiki zake ila sio kwa itikadi maana hizi ubaki kama kauli tu mdomoni, matendo ndo mpango mzima katika jamii zetu.
 
Tatizo ndoa zetu tunanganganiza kuendana na maisha yalivyo kwenye jamii. Mwanamke anaingia kwenye ndoa hana kazi, biashara wala kipato anategemea mwanaume. Ila mwanaume akikosa kipato stahiki yeye ndio wa kwanza ku blame na kuanza visa.

Ndoa tunaingia kukimbazana na muda, kuna umri ukifika inakua kama kuviziana, mtu anatafuta pakujifichia.
Mkuu, umeandika kwa uchungu sana, na ndivyo hali halisi ilivyo,
Ambao bado hamjaingia kwenye ndoa ifanyieni kazi hii comment,
Wanawake wengi wanaingia wakiwa hawana pesa lakini mwanaume unakuwa na moyo walau kumpa kiasi kidogokidogo na kuendesha maisha ya familia nzima, ataenda vikoba huko kupitia hela zako, siku atakuwa na kamtaji kidogo na kabiashara kidogo,

Sasa jichanganye upungukiwe hela ukidhania mwanamke atakuona kwa jicho la kukusaidia, hapo unakuwa umeliwa kichwa, wana moyo wa kibinafsi sana wanawake, kamwe hawezi kukusaidia na akikusaidia utakuta unabeba kila kejeli, ukiwa hauna pesa mwanaume unaonekana uchuro sana na hautokaa uamini kuwa ndiyo yule mke uliyemtoa katika ile familia yenye uchumi mgumu


Wazee walisemaga "ishiwa pesa tuione tabia ya mkeo"
 
Habari ndugu zangu..

Mimi sijaenda kwenye nyumba za ibada nipo hapa nawaza sana jinsi viongozi wadini wanavyo changia ndoa nyingi sana kuvunjika kutokana na mafundisho yao ya kila siku.

Kwenye nyumba nyingi sana za ibada wamejaa huko wake zetu na mabinti wengi ambao ndiyo wake zetu watarajiwa.

Ndugu yangu kwanini nasema viongozi wengi wa dini huchangia ndoa nyingi kuvunjika hiii ni kutokana na kauli zao tata ambazo nimeorodhesha hapa chini wanazo kua wanazitoa kwa lengo la kukusanya wanawake wengi ili kujipatia sadaka ( mapato) kwa maslai yao binafsi.

1: WANAWAKE NI JESHI KUBWA

Hii kauli imeleta upinzani sana kwani wanawake wengi walioathiriwa na mpango wa haki sawa wamekua wakiitumia kama silaha ya kumuangamiza mwanaume kinyume na ilivyo tafsiriwa hapo awali enzi za mababu zetu.

2: MAHOBIRI MENGI YANATAJA UCHAWI, KULOGWA NA UWEPO WA MAPEPO WA CHAFU

Mahobiri mengi sana yamekua yakiaminisha kuwa uchawi upo, hali hii upelekea mwanamke aliye ndani ya ndoa kumchukulia mumewe /ndugu wa mume ni mchawi hasa pale kunapotokea changamoto ya kiuchumi na maradhi

3: SITORUDI MISRI NAELEKEA KAANANI

Wanandoa wengi wanaamini misri kwao ni mahusiano waliyo nayo au mapito waliyo pitia kiasi chakukataa kutaka suluhu za kimahusiano wakiamini ni kurudishwa nyuma.

4: " KUTOA MUDA WA KUMTUMIKIA MUNGU

Muda wa kumtumikia Mungu ni jambo zuri sana, ila umetumika kinyume nakufanya wanawake wengi kushinda kwenye nyumba za ibada kwanzia asubuhi mpaka usiku wakifanya usafi, maombi na kujitolea kuombea wengine.

Jambo hili limepelekea sana wanawake wengi kukosa muda na ndoa zao/ wapenzi wao na kutokuthamini watoto wala mume/ mpenzi wake

5: WANAUME TUTAKULA KWA JASHO NA NYIE MTAZAA KWA UCHUNGU

Ni kweli sisi tumeumbiwa kula kwa jasho ila hakuna mahali palipo mkataza mwanamke kufanya kazi kwani imeamriwa "asiye fanya kazi na asile na haikutaja jinsia.

Wamesahau kuwa wao ni wasaidizi wetu na wanaweza kutusaidia katika kufanya kazi na sisi tukiwa kama watawala, ukirejea kwenye sifa za mke mwema kiimani "mwanamke ametajwa kua hali chakula cha uvivu, uliangalia shamba na kulinunua, pia hufanya kazi yake ya mikono kwa moyo" .

Wamesahau kujua hata kazi za nyumbani wakifanya ni thawabu tosha , bali wanaonani utumwa na wanahitaji malipo /kupewa mshahara.

Mahobiri haya yamewafanya wanawake wengi kwaulimbukeni wao kuwageuza wanaume wengi wanao watongoza kuwa ni njia ya kujipatia mapato kwa mgongo wa ndoa / mahusiano

6: MWANAMKE ANAWEZA KUMUOKOA MWANAUME

Hii imepelekea mpasuko ndani ya nyumba na mahusiano kiujumla baina ya mwanamke na mwanamume kiimani,

Unakuta walikua watu wa imani moja , dhehebu moja lakini gafla wanatawanyika kila mtu ana amini katika kile anacho kiamini, huku mwanamke akiamini yeye anaweza kumuokoa mumewe kumbe ndiyo anazidi kumpoteza sana

7: KUTOA SADAKA

Mnapokua mke na mume wote mnakua mwili mmoja na kila kitu mlicho nacho ni kimoja ila msimamizi mkuu ni mwanaume, mwanamke hupaswi kunichukulia tuu hela au mali shambani ukapeleka kwenye nyumba za ibada bila idhini ya mumeo / makubaliano baina yenu. Mahobiri mengi ya kutoa sadaka yamekua yakiwageuza wanawake wengi kuwa waizi wa mali za familia na kuzipeleka zote kwa watumishi.

Wanaume tulipo jaribu kuweka usimamizi kama watawala , wanawake wakafikia mbali zaidi na kuhitaji kujitenga na kua wabinafsi na hata mapato yao hayaonekani ndani ya nyumba bali wanayatumia kulisha watu wengine kwa mgongo wa kutoa sadaka

8: VIKAO VYA WANAWAKE BAADA YA IBADA NA VIONGOZI WA DINI.

kumekuwa na vikao vya mara kwa mara na mikutano ya wanawake , ndani ya hiyo mikutano kumezuka mawaidha yanayo wafanya wanawake waone wanaume siyo kitu mbele ya watumishi wao wa kiimani, kumejenga wanawake kuwa na viburi, jeuri, kutokua watii , kutokua waaminifu, dharau na ubinafsi mkubwa kwa waume zao / wapenzi wao na kupeleka wanaume wengi kuamua kuachana na mpango wa umoja baina ya mwanamke na mwanamume.

9: KUTOA SIRI ZA FAMILIA KWA MGONGO WA KUOMBEWA.

Wanawake wengi wamekua wakutoa siri nyeti za familia kwa watumishi huku wakiamini wataombewa na mwisho wasiku kunikuta kuwa watumwa wa kuombewa na kupeleka kila mapato yao wanayo yapata huko kwenye nyumba zaibada , nayo ni changamoto iliyo haribu ndoa.

10: MAHUBIRI YA MIUJIZA KWA MGONGO WA "AWAHI WALA ACHELEWI"

Mabinti na wamama wengi sana wamekua wakiamini katika miujiza nasiyo kujituma na kuwasikiliza wanaume wao, Wameaminishwa kinyume chakuwa Mungu awahi wala achelewi, hali hii imepelekea wanawake wengi kutosikiliza ushauri wa kiimani na kiuchumi kutoka kwa wanaume wao wakiamini wakati wa Mungu bado haujafika,

Mabinti wengi wamefikia hadi kukataa wanaume waliokua wakijitoa kuwatongoza wakiamini bado wakati haujafika na kusahau kwamba siku zote wakati hauna mwisho, mabinti wamekua wakiringa sana huku wakijiona bado muda wao haujafika,

Vivyo hivyo wanawake wengi walio ndani ya ndoa wamekua wakiongeza muda mwingi sana kushinda kwenye nyumba za ibada huku wakitelekeza majukumu yao ya kifamilia wakiamini bado wakati haujafika na ipo siku utafika tuu.

kiukweli wamesahau maombi ni kutiana moyo sana na kufikia hatua hii kwao ni dalili ya kukata tamaa na kuharibu mahusiano yao


NDUGU ZANGU NIMEFIKIRIA SANA NIMEFIKIA HAPO NAOMBENI KUWASILISHA NA NIPO TEYARI KUKOSOLEWA KWA HOJA ZA MSINGI,..

Nb: ndani ya maandishi haya kuna makosa madogo ya kiuandishi.
Unayo hoja nzuri sana. Familia kwanza! Mtu yeyote asiyeitunza familia yake huyo ameikana Imani na ni mbaya kuliko mtu asiyeamini. 1 Timotheo 5:8
 
Demu wangu kanisa alilokuwa ana sali waliambiwa wasidate na mwanaume masikini

Wajiamini wanathamani ya kudate na matajiri wenye nyumba na mafweza tele

Hadi alishawahi weka hayo mahubiri status
Kuna mtumishi mmoja ( jina kapuni )alikua anafundisha ila asilimia 95 (95%) ya mahobiri yake yalikua yanaangamiza wanawake /mabinti wengi sana ukifatilia na ukachuja kwa umakini sana..


Japo sijui kama alikua anajua hilo kuwa ana haribu wanawake, ila kwa mtazamo wa haraka wanawake wengi wamekua ni source of income ya viongozi wengi wa dini na mashabiki wa mahubiri ya kumgandamiza mwanaume na kumuinua mwanamke, huku wakijisahau kuwa mahubiri hayoni mwiba kwenye mahusiano yao ya ndoa.
 
Habari ndugu zangu..

Mimi sijaenda kwenye nyumba za ibada nipo hapa nawaza sana jinsi viongozi wadini wanavyo changia ndoa nyingi sana kuvunjika kutokana na mafundisho yao ya kila siku.

Kwenye nyumba nyingi sana za ibada wamejaa huko wake zetu na mabinti wengi ambao ndiyo wake zetu watarajiwa.

Ndugu yangu kwanini nasema viongozi wengi wa dini huchangia ndoa nyingi kuvunjika hiii ni kutokana na kauli zao tata ambazo nimeorodhesha hapa chini wanazo kua wanazitoa kwa lengo la kukusanya wanawake wengi ili kujipatia sadaka ( mapato) kwa maslai yao binafsi.

1: WANAWAKE NI JESHI KUBWA

Hii kauli imeleta upinzani sana kwani wanawake wengi walioathiriwa na mpango wa haki sawa wamekua wakiitumia kama silaha ya kumuangamiza mwanaume kinyume na ilivyo tafsiriwa hapo awali enzi za mababu zetu.

2: MAHOBIRI MENGI YANATAJA UCHAWI, KULOGWA NA UWEPO WA MAPEPO WA CHAFU

Mahobiri mengi sana yamekua yakiaminisha kuwa uchawi upo, hali hii upelekea mwanamke aliye ndani ya ndoa kumchukulia mumewe /ndugu wa mume ni mchawi hasa pale kunapotokea changamoto ya kiuchumi na maradhi

3: SITORUDI MISRI NAELEKEA KAANANI

Wanandoa wengi wanaamini misri kwao ni mahusiano waliyo nayo au mapito waliyo pitia kiasi chakukataa kutaka suluhu za kimahusiano wakiamini ni kurudishwa nyuma.

4: " KUTOA MUDA WA KUMTUMIKIA MUNGU

Muda wa kumtumikia Mungu ni jambo zuri sana, ila umetumika kinyume nakufanya wanawake wengi kushinda kwenye nyumba za ibada kwanzia asubuhi mpaka usiku wakifanya usafi, maombi na kujitolea kuombea wengine.

Jambo hili limepelekea sana wanawake wengi kukosa muda na ndoa zao/ wapenzi wao na kutokuthamini watoto wala mume/ mpenzi wake

5: WANAUME TUTAKULA KWA JASHO NA NYIE MTAZAA KWA UCHUNGU

Ni kweli sisi tumeumbiwa kula kwa jasho ila hakuna mahali palipo mkataza mwanamke kufanya kazi kwani imeamriwa "asiye fanya kazi na asile na haikutaja jinsia.

Wamesahau kuwa wao ni wasaidizi wetu na wanaweza kutusaidia katika kufanya kazi na sisi tukiwa kama watawala, ukirejea kwenye sifa za mke mwema kiimani "mwanamke ametajwa kua hali chakula cha uvivu, uliangalia shamba na kulinunua, pia hufanya kazi yake ya mikono kwa moyo" .

Wamesahau kujua hata kazi za nyumbani wakifanya ni thawabu tosha , bali wanaonani utumwa na wanahitaji malipo /kupewa mshahara.

Mahobiri haya yamewafanya wanawake wengi kwaulimbukeni wao kuwageuza wanaume wengi wanao watongoza kuwa ni njia ya kujipatia mapato kwa mgongo wa ndoa / mahusiano

6: MWANAMKE ANAWEZA KUMUOKOA MWANAUME

Hii imepelekea mpasuko ndani ya nyumba na mahusiano kiujumla baina ya mwanamke na mwanamume kiimani,

Unakuta walikua watu wa imani moja , dhehebu moja lakini gafla wanatawanyika kila mtu ana amini katika kile anacho kiamini, huku mwanamke akiamini yeye anaweza kumuokoa mumewe kumbe ndiyo anazidi kumpoteza sana

7: KUTOA SADAKA

Mnapokua mke na mume wote mnakua mwili mmoja na kila kitu mlicho nacho ni kimoja ila msimamizi mkuu ni mwanaume, mwanamke hupaswi kunichukulia tuu hela au mali shambani ukapeleka kwenye nyumba za ibada bila idhini ya mumeo / makubaliano baina yenu. Mahobiri mengi ya kutoa sadaka yamekua yakiwageuza wanawake wengi kuwa waizi wa mali za familia na kuzipeleka zote kwa watumishi.

Wanaume tulipo jaribu kuweka usimamizi kama watawala , wanawake wakafikia mbali zaidi na kuhitaji kujitenga na kua wabinafsi na hata mapato yao hayaonekani ndani ya nyumba bali wanayatumia kulisha watu wengine kwa mgongo wa kutoa sadaka

8: VIKAO VYA WANAWAKE BAADA YA IBADA NA VIONGOZI WA DINI.

kumekuwa na vikao vya mara kwa mara na mikutano ya wanawake , ndani ya hiyo mikutano kumezuka mawaidha yanayo wafanya wanawake waone wanaume siyo kitu mbele ya watumishi wao wa kiimani, kumejenga wanawake kuwa na viburi, jeuri, kutokua watii , kutokua waaminifu, dharau na ubinafsi mkubwa kwa waume zao / wapenzi wao na kupeleka wanaume wengi kuamua kuachana na mpango wa umoja baina ya mwanamke na mwanamume.

9: KUTOA SIRI ZA FAMILIA KWA MGONGO WA KUOMBEWA.

Wanawake wengi wamekua wakutoa siri nyeti za familia kwa watumishi huku wakiamini wataombewa na mwisho wasiku kunikuta kuwa watumwa wa kuombewa na kupeleka kila mapato yao wanayo yapata huko kwenye nyumba zaibada , nayo ni changamoto iliyo haribu ndoa.

10: MAHUBIRI YA MIUJIZA KWA MGONGO WA "AWAHI WALA ACHELEWI"

Mabinti na wamama wengi sana wamekua wakiamini katika miujiza nasiyo kujituma na kuwasikiliza wanaume wao, Wameaminishwa kinyume chakuwa Mungu awahi wala achelewi, hali hii imepelekea wanawake wengi kutosikiliza ushauri wa kiimani na kiuchumi kutoka kwa wanaume wao wakiamini wakati wa Mungu bado haujafika,

Mabinti wengi wamefikia hadi kukataa wanaume waliokua wakijitoa kuwatongoza wakiamini bado wakati haujafika na kusahau kwamba siku zote wakati hauna mwisho, mabinti wamekua wakiringa sana huku wakijiona bado muda wao haujafika,

Vivyo hivyo wanawake wengi walio ndani ya ndoa wamekua wakiongeza muda mwingi sana kushinda kwenye nyumba za ibada huku wakitelekeza majukumu yao ya kifamilia wakiamini bado wakati haujafika na ipo siku utafika tuu.

kiukweli wamesahau maombi ni kutiana moyo sana na kufikia hatua hii kwao ni dalili ya kukata tamaa na kuharibu mahusiano yao


NDUGU ZANGU NIMEFIKIRIA SANA NIMEFIKIA HAPO NAOMBENI KUWASILISHA NA NIPO TEYARI KUKOSOLEWA KWA HOJA ZA MSINGI,..

Nb: ndani ya maandishi haya kuna makosa madogo ya kiuandishi.
2 na 10 nimekuelewa sana mkuu
 
Back
Top Bottom