Mungu hutembea katika maagano, maagano ambayo hufanyika Kati yake na wanadamu aliowaumba akawapa thamani ya Kwanza Kati ya viumbe vyake Vyote.
Mandalio ya moyo ni ya Mwanadamu, lakini jawabu la hayo latoka kwa Mungu.
Mungu anaifahamu fika katiba Yetu, na kwamba hawezi kuruhusu kifanyike kitu bila ya kuwepo mbadala wake!! Alimtwaa mtumishi wake JPM huku akijua ajaye atafiti na atakuwa Bora.
Watanzania, Tumepewa Mama, Tumepewa Rais shupavu, Tumepewa mtu sahihi Kwa nyakati hizi, Tumepewa mlezi na mwenye huruma, hizo ni sifa za mama yeyote duniani.
Ukiachilia mbali hayo, ninalo la kushauri Kwa Raisi wetu.
Mh, Rais, ukweli kwamba, maneno huumba, nyakati za kabla ya uchaguzi 2015, Watanzania wakiongozwa na Upinzani, Kwa ujumla wake, kuna Mahali tulikuwa tumechoka mno, tulichoka na dhuruma, tulichoka na wizi na ufisadi, Tulichoshwa na ujambazi wa Wakati wowote, Tulichoshwa na wauza madawa ya kulevya, Tulichoshwa na rushwa, Tulichoshwa na huduma mbovu kwenye karibu sector zote,tulichoka na Uonevu, tulinyanyasika, mahakamani hapakuwa na haki, Huna hongo husikilizwi, ukweli tulichoka.
Na tulipochoka, Tukaamini kwamba, Wakati tulionao ni wakati wa kuchagua Raisi asiyevumilia hayo.
Tukataja sifa inayombeba huyo mtu atakayetuongoza, Sifa yake kuu, awe ni mithili ya Dicteta, mkali, asiyechekacheka!
Hilo ndilo likawa bango katika myoyo ya Watanzania, na Kwa Mungu Neno Hilo likapigwa mhuri, na matokeo yake kila mtu anajua.
Na sasa, maneno meengi yameanza kupita humu kudai Rais huyu hawezi, sijui tunarudishwa enzi za machozi ya Watanzania kulilia urithi wao kuishia Kwa mabepari, kulilia haki zao n.k, hizi kauli nazikataa kupitia majina yote ya Mungu wetu, wewe unaweza na Mungu amekuamini, simama kama shujaa na usiogope kwani Mungu Yuko upande wako.
Raisi wetu aliyetangulia Mbele za haki, siwezi kumhukumu hata chembe moja, Kwa kuwa tulimuomba kwako Mungu na wewe ukatupatia.
Raisi wetu huyo, amefanya mengi mema na yametufaa Sana kama Taifa, lkn pia ukweli hakuwa malaika, yako na mengine ambayo kafanya ni mabaya.
Nilichojifunza kwake ni kitu kimoja chenye nguvu ya kubadiri kila Hali yetu ya umasikini na kuelekea utajiri, na ndicho nachotaka nikusihi Mh Raisi wetu, hata usipofanya mengine, Ile kauri ya Sisi sio Masikini, Tanzania sio Masikini,Tunaweza kila kitu na kwamba tunaweza siku moja kuwa nchi ya kutoa misaada, hii kauli ni kauli ya kimamlaka na Ufalme usioabudu shetani, maana ukweli ni kwamba, Mungu alitukamilisha na ametupa Vyote hivi vilivyopo ili tujikwamue, Kwa akili alizotupa, tunaweza kila kitu tukiamua kuzitumia akili pamoja na uthubutu na kutoyumba!
Na usimuonee aibu yeyote anayejaribu kukuyumbisha, utafanya makuu Sana, upo hapo kwa kusudi maalmu, ni kama ilivyokuwa Kwa Ester Chini ya mpinzani wao mkubwa Naamani, na wewe Mh upo hapo Chini ya Upinzani mkubwa wa mafisadi ambayo yanatumia kila Mbinu kujaribu kukutikisa.
Tanzania tuko nyuma yako Mh Rais.
Mungu bariki Tanzania
Mandalio ya moyo ni ya Mwanadamu, lakini jawabu la hayo latoka kwa Mungu.
Mungu anaifahamu fika katiba Yetu, na kwamba hawezi kuruhusu kifanyike kitu bila ya kuwepo mbadala wake!! Alimtwaa mtumishi wake JPM huku akijua ajaye atafiti na atakuwa Bora.
Watanzania, Tumepewa Mama, Tumepewa Rais shupavu, Tumepewa mtu sahihi Kwa nyakati hizi, Tumepewa mlezi na mwenye huruma, hizo ni sifa za mama yeyote duniani.
Ukiachilia mbali hayo, ninalo la kushauri Kwa Raisi wetu.
Mh, Rais, ukweli kwamba, maneno huumba, nyakati za kabla ya uchaguzi 2015, Watanzania wakiongozwa na Upinzani, Kwa ujumla wake, kuna Mahali tulikuwa tumechoka mno, tulichoka na dhuruma, tulichoka na wizi na ufisadi, Tulichoshwa na ujambazi wa Wakati wowote, Tulichoshwa na wauza madawa ya kulevya, Tulichoshwa na rushwa, Tulichoshwa na huduma mbovu kwenye karibu sector zote,tulichoka na Uonevu, tulinyanyasika, mahakamani hapakuwa na haki, Huna hongo husikilizwi, ukweli tulichoka.
Na tulipochoka, Tukaamini kwamba, Wakati tulionao ni wakati wa kuchagua Raisi asiyevumilia hayo.
Tukataja sifa inayombeba huyo mtu atakayetuongoza, Sifa yake kuu, awe ni mithili ya Dicteta, mkali, asiyechekacheka!
Hilo ndilo likawa bango katika myoyo ya Watanzania, na Kwa Mungu Neno Hilo likapigwa mhuri, na matokeo yake kila mtu anajua.
Na sasa, maneno meengi yameanza kupita humu kudai Rais huyu hawezi, sijui tunarudishwa enzi za machozi ya Watanzania kulilia urithi wao kuishia Kwa mabepari, kulilia haki zao n.k, hizi kauli nazikataa kupitia majina yote ya Mungu wetu, wewe unaweza na Mungu amekuamini, simama kama shujaa na usiogope kwani Mungu Yuko upande wako.
Raisi wetu aliyetangulia Mbele za haki, siwezi kumhukumu hata chembe moja, Kwa kuwa tulimuomba kwako Mungu na wewe ukatupatia.
Raisi wetu huyo, amefanya mengi mema na yametufaa Sana kama Taifa, lkn pia ukweli hakuwa malaika, yako na mengine ambayo kafanya ni mabaya.
Nilichojifunza kwake ni kitu kimoja chenye nguvu ya kubadiri kila Hali yetu ya umasikini na kuelekea utajiri, na ndicho nachotaka nikusihi Mh Raisi wetu, hata usipofanya mengine, Ile kauri ya Sisi sio Masikini, Tanzania sio Masikini,Tunaweza kila kitu na kwamba tunaweza siku moja kuwa nchi ya kutoa misaada, hii kauli ni kauli ya kimamlaka na Ufalme usioabudu shetani, maana ukweli ni kwamba, Mungu alitukamilisha na ametupa Vyote hivi vilivyopo ili tujikwamue, Kwa akili alizotupa, tunaweza kila kitu tukiamua kuzitumia akili pamoja na uthubutu na kutoyumba!
Na usimuonee aibu yeyote anayejaribu kukuyumbisha, utafanya makuu Sana, upo hapo kwa kusudi maalmu, ni kama ilivyokuwa Kwa Ester Chini ya mpinzani wao mkubwa Naamani, na wewe Mh upo hapo Chini ya Upinzani mkubwa wa mafisadi ambayo yanatumia kila Mbinu kujaribu kukutikisa.
Tanzania tuko nyuma yako Mh Rais.
Mungu bariki Tanzania