Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,743
LOLGaijin,
Ushoga Dar es Salaam upo sana - Nenda mitaa ya Kinondoni/Sinza/Manzese e.t.c Wapo wanaume wenye "uwezo" wanataka kurushwa ukuta kwa kwenda mbele! Pita Lilies, Sansiro, Mwika, Sinza, au Casablanca, Bamboo Kinondoni, e.t.c utaona vijana wanaendesha magari mazuri kumbe wanatafuta wakuwarusha ukuta!
Personally nimekutana nao wengi sana - Kwa maana mimi ni mpenzi wa kukaa kaunta baa yoyote ile ninayokuwapo!
Unaona jamaa linaingia, linaagiza, Jack Dan na Ice halafu linapiga pafu, baada ya dk 10, utasikia linaanzisha topic ya "kukandia" wasichana::: "Oh unajua kaunta ana bwana ake ni mfanyabiashara shemu fulani, Oh yule muhudumu anatembea a fulani, e.t.c" Baada ya hapo linakuuliza Kaka unaongeza? Ukisema naongeza, linasema Kaunta msikilize yule kaka, mara linaaza kujisogeza as time goes! Kumbuka hapo ni Kaunta ya Bar - Hayana haya haya ma-bwabwa!
ushawarusha ukuta wangapi wewe???
Nilishawahi kumfakamia punga la kihindi na lilivyokuwa linagugumia nikajiuzulu kwarukia tena mapunga ya kiume. mwanamme anainama mbele yako halafu anakukatikia wakati una-get in. hii ni balaa kubwa sana