Mumeo bwabwa!!!!

Gaijin,

Ushoga Dar es Salaam upo sana - Nenda mitaa ya Kinondoni/Sinza/Manzese e.t.c Wapo wanaume wenye "uwezo" wanataka kurushwa ukuta kwa kwenda mbele! Pita Lilies, Sansiro, Mwika, Sinza, au Casablanca, Bamboo Kinondoni, e.t.c utaona vijana wanaendesha magari mazuri kumbe wanatafuta wakuwarusha ukuta!

Personally nimekutana nao wengi sana - Kwa maana mimi ni mpenzi wa kukaa kaunta baa yoyote ile ninayokuwapo!

Unaona jamaa linaingia, linaagiza, Jack Dan na Ice halafu linapiga pafu, baada ya dk 10, utasikia linaanzisha topic ya "kukandia" wasichana::: "Oh unajua kaunta ana bwana ake ni mfanyabiashara shemu fulani, Oh yule muhudumu anatembea a fulani, e.t.c" Baada ya hapo linakuuliza Kaka unaongeza? Ukisema naongeza, linasema Kaunta msikilize yule kaka, mara linaaza kujisogeza as time goes! Kumbuka hapo ni Kaunta ya Bar - Hayana haya haya ma-bwabwa!
LOL
ushawarusha ukuta wangapi wewe???
Nilishawahi kumfakamia punga la kihindi na lilivyokuwa linagugumia nikajiuzulu kwarukia tena mapunga ya kiume. mwanamme anainama mbele yako halafu anakukatikia wakati una-get in. hii ni balaa kubwa sana
 
LOL
ushawarusha ukuta wangapi wewe???
Nilishawahi kumfakamia punga la kihindi na lilivyokuwa linagugumia nikajiuzulu kwarukia tena mapunga ya kiume. mwanamme anainama mbele yako halafu anakukatikia wakati una-get in. hii ni balaa kubwa sana

Maskini.....pole.

Wazungu wanaamini kuwa mwanamme yeyote atakae fanya na mwanamme basi naye ana elements za kukubali kufanywa na mwanamme
 
Mbona wapo hadi waheshimiwa wana katwa TiGo kwenda mbele!! Hii tabia imeenea Dunia nzima sasa. Tofauti na wenzetu wanayaweka bayana sisi tunafanya kwa siri ila nitatizo ambalo linazidi kuongezeka hapa nchini. Tuombe Mungu tu lisije angukia kwa watoto zetu. Ila huyo mdada angepaswa aone dalili fulani mapema maana wakatwa TiGo huwa wanakosa hapo ya kutembea na wanawake.
 
LOL
ushawarusha ukuta wangapi wewe???
Nilishawahi kumfakamia punga la kihindi na lilivyokuwa linagugumia nikajiuzulu kwarukia tena mapunga ya kiume. mwanamme anainama mbele yako halafu anakukatikia wakati una-get in. hii ni balaa kubwa sana

Msanii

Pleeeeeeeeeeeeeeeeezi - Been there done THAT?:nono:
 
LOL
ushawarusha ukuta wangapi wewe???
Nilishawahi kumfakamia punga la kihindi na lilivyokuwa linagugumia nikajiuzulu kwarukia tena mapunga ya kiume. mwanamme anainama mbele yako halafu anakukatikia wakati una-get in. hii ni balaa kubwa sana

mmh hata siamini ulichoandika,unatia huruma na unasikitisha.
GREAT THINKERZ???
 
Matatizo ya jamii ni vyema yaongelewe............ukiona watu wanayaongelea sana basi yanaikwaza jamii..tukiacha kuongelea ina maana hayo siyo tatizo kwenye jamii hii....................huu ndiyo uhuru wa vyombo vya habari.......................

Hii hadithi inanipa shida moja...................kuhusu kupaki gari..........na kwenda kufumania....hivi hata huo mlio wa gari wahusika hawakuusikia?.................kweli kama hii riwaya ni ya kweli basi njemba hizo zilinogewa kishenzi.......mawazo yao yalikuwa huko..................usimwache mzee wako kwani huo ndiyo mzigo wako uubebe bila ya malalamiko.........ulimpendea uzuri wake na kipato chake kinene........sasa.........huwezi ukapata vyote..........................
 
:doh::doh::doh::doh::doh::doh::doh::doh::doh::doh::tape::tape::tape::nono::nono::nono::nono::nono: Kama vip na wewe.....................!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
huu upuuzi sitaki hata kuusikia mungu ninayemuamini hapendi amekataza hii biashara
 
watanzania wameanza kuwa obsessed na mambo ya kishoga.

Kila siku humu kuna thread mpya inayozungumzia jambo hilo.

na tukumbuke kuwa no publicity is bad publicity.


Ndio hali halisi,ukisha toka tuu ukiwa Bongo flava,Model, Actor radio /tv presenter, sharobaro/hebebe au mtanashati wa kiume ujue ,kuna mapredejee wako nyuma yako wanakuwinda kwa pesa, hapo vijana wengi wameshaingia mtegoni , usione vijana wa kiume wanapendeza nakupiga pamba za kufa mtu kuna usiri mkubwa .
 
Gaijin,

Ushoga Dar es Salaam upo sana - Nenda mitaa ya Kinondoni/Sinza/Manzese e.t.c Wapo wanaume wenye "uwezo" wanataka kurushwa ukuta kwa kwenda mbele! Pita Lilies, Sansiro, Mwika, Sinza, au Casablanca, Bamboo Kinondoni, e.t.c utaona vijana wanaendesha magari mazuri kumbe wanatafuta wakuwarusha ukuta!

Personally nimekutana nao wengi sana - Kwa maana mimi ni mpenzi wa kukaa kaunta baa yoyote ile ninayokuwapo!

Unaona jamaa linaingia, linaagiza, Jack Dan na Ice halafu linapiga pafu, baada ya dk 10, utasikia linaanzisha topic ya "kukandia" wasichana::: "Oh unajua kaunta ana bwana ake ni mfanyabiashara shemu fulani, Oh yule muhudumu anatembea a fulani, e.t.c" Baada ya hapo linakuuliza Kaka unaongeza? Ukisema naongeza, linasema Kaunta msikilize yule kaka, mara linaaza kujisogeza as time goes! Kumbuka hapo ni Kaunta ya Bar - Hayana haya haya ma-bwabwa!

Baba enock unamikasa wewe kilasiku mambo mapya inamaana ulisha kuwa na utalam nao vipi babu wa beki3 alishaenda kuifata kijijini
 
sio busara kuanzisha mijadara isiyo na tija. ebu tafuteni mambo ya msingi. am sorry kwa mwanzisha thread.
 
Back
Top Bottom