Sikiliza nikwambie madame, ujue humu kuna watoto hadi wa form two hivo usipate shida.
Jambo la msingi huyo mwanaume sio mstaraabu kama angekuwa na staha asingetembea na mke wa mtu tena mke wa rafiki yake, usikae kimya eti kwasababu yeye hajakuonyesha, muulize na akueleze kinaga ubaga wala asilete mbwembwe kwa hilo.
Ukikaa kimya wewe ukimwi utakuongelea na utajutia, maana ndoa haitakiwi kuvunjwa ila kwa sababu ya uasherati na uzinzi inavunjwa tu hasa zama hizi za magonjwa, kwanini ufe eti tu kwasababu hakuonyeshi??? tetea nafsi yako ili ulee watoto wako masuala ya kupanga folemi kwenye vidonge ni fedheha sana na inauma kama mtu kakusababishia, haiishi sio sabuni ila inabeba virus asipobadilika akili kichwani mwako.
Nimemaliza usiniquote kijinga nimeongea na mleta uzi sio wewe.