- Thread starter
- #21
Huyo rafiki Wa mumeo ni mbea na anakutega ili urevenge atembee na wewe! Wanaume huwa hatusolve mambo ya aina hii namna hiyo! Hiyo ni stailo ya wanaume wakware, mpuuze kwanza upate nafasi umkabili mumeo with some blunt hard talk ili ujiridhishe Kama kweli hayo yametokea na myazungumze kwa kina na uwazi mkubwa kabla hujafanya maamuzi yoyote, mnayo nafasi ya kuyamaliza na kusonga mbele na maisha yenu, usimuhukumu kabla ya kumsikiliza basing on umbea Wa shemejio mkware! Usimfanye mumeo shetani kwa kumbatiza umalaika shemejio. Pole sana, kuwa mtulivu uchambue ushauri mbali mbali unaopewa hapa jamvini, baadhi ni Wa kihuni na ulevi tu, usidanganyike, unayo nafasi ya kuvuka salama. Ubarikiwe busara na uvumilivu.
Asante sana Kwa ushauri wako ubarikiwe sana sana ndugu yangu