zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Dah! Ribosome mbona umekuwa mkali hivyo? Basi ntakulipa kwa kunieleleza, kiswahili kinanisumbua, anyways asante kwa mchango, ntatafuta the right word hapo.
Sikuwa mkali ila umenichanganya mpaka sikuelewa unamaanishi nini. Samahani sana kama nimekukwaza.