Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,982
- 93,991
.... Sasa siku moja usiku nashangaa msg inaingia:-
YEYE: Darling mambo vipi? Naona tangu jamaa yako arudi umenitosa
MIE: Mbona mie sikufahamu?
YEYE: Hee! kumbe tuko wengi tunaoiba? Njoo basi tukutane hapa Rose garden
Na mengine meeengiiiii.......
hiki kipande ndio kilichonifanya nihisi ulienda huko usiku....
aah nahisi mumeo alikua anakupima ingawa si tabia nzuri kwa mpenzi kufanya hivyo...
pia nawe ni vyema ungempotezea na wala usingeenda huko Rose Garden maana si watu wote wenye nia njema