Mume wangu hanitoshelezi, kimwili na kimahitaji

Mume wangu hanitoshelezi, kimwili na kimahitaji

a
Habari wana MMU,

Mume wangu ana tatizo la kuwahi kumwaga. Yaani dakika 2 tu ameshamaliza na kuniacha nikiwa nateseka huku nikiwa nina hamu. Tatizo hili limekuwa linanisababishia maumivu ya tumbo na kiukweli nikiwa naye sikuwahi kufika kileleni na kwa kuwa alinioa nikiwa bikira sikuweza kugundua mapema tatizo ni la nani.

Muda mwingi nilikuwa najichukia na kuwaza huenda mimi ndio nina tatizo na yeye mwenyewe wakati nikilalamika alikuwa ananiambia kuwa mimi ndio nina tatizo kwanini kila siku sifiki kileleni; mara nilikuwa siko tayari basi tu ilimradi nionekane tatizo liko kwangu.

Basi siku moja niliamua kujaribu nje, lol sitasahau ilikuwa ndio siku yangu ya kwanza kujua raha ya mapenzi. Sasa toka wakati huo nimekuwa simpendi kabisa mume wangu na nina mpango niachane naye kwani mbali na kutokuwa mzuri kitandani pia hatoi huduma kwa familia, kiufupi ni mvivu kila idara.

Naombeni ushauri wenu nifanyeje ili niweze kuachana naye coz siwezi kuishi na mume ambaye anamaliza haja zake tu (mbinafsi).
acha kumdhalilisha mumeo ,kwani wakati munaowana ulitutaharifu?si umuwache kimya kimya .we unavitabia vya kimalaya sema basi tu
 
Huyo mumeo umemshauri mwende hosp. akagoma?

Je wewe umeweka jitihada gani ili aweze kukidhi kiu yako? ( mfano upande wa vyakula unavyomwandalia, lugha yako n.k)
 
Unamuit mume,then unataka umuache,sasa kwa akili yako ilipofikia kwanza ungetuambia aina ya ndoa mlifunga,kama ni ya kikristo suala la kumuacha linakuja vipi,lakini kama ni ya kiislam usikimbilie talaka,Ulimwengu utakuona mjinga kama hamjawaona wataalaamu(madaktari,Counsellors)!!na ulichoharibu kabisa ni kuchepuka!!ndio saikolojia yako inakutuma kuwa ndio solution pekee na kuachana sasa jiangalie unaweza kuambulia magonjwa na kujishushia heshima kama utakuwa unakurupuka!!
 
Unataka ushauri gani wakati umeshaanza kuchepuka.


Endelea tu. Kishimo ni cha kwako...
 
Habari wana MMU,

Mume wangu ana tatizo la kuwahi kumwaga. Yaani dakika 2 tu ameshamaliza na kuniacha nikiwa nateseka huku nikiwa nina hamu. Tatizo hili limekuwa linanisababishia maumivu ya tumbo na kiukweli nikiwa naye sikuwahi kufika kileleni na kwa kuwa alinioa nikiwa bikira sikuweza kugundua mapema tatizo ni la nani.

Muda mwingi nilikuwa najichukia na kuwaza huenda mimi ndio nina tatizo na yeye mwenyewe wakati nikilalamika alikuwa ananiambia kuwa mimi ndio nina tatizo kwanini kila siku sifiki kileleni; mara nilikuwa siko tayari basi tu ilimradi nionekane tatizo liko kwangu.

Basi siku moja niliamua kujaribu nje, lol sitasahau ilikuwa ndio siku yangu ya kwanza kujua raha ya mapenzi. Sasa toka wakati huo nimekuwa simpendi kabisa mume wangu na nina mpango niachane naye kwani mbali na kutokuwa mzuri kitandani pia hatoi huduma kwa familia, kiufupi ni mvivu kila idara.

Naombeni ushauri wenu nifanyeje ili niweze kuachana naye coz siwezi kuishi na mume ambaye anamaliza haja zake tu (mbinafsi).
Tatizo lenu watu aina yenu ni kujiangalia mwenyewe tuu. Ushauri wangu ni kuomba talaka ili uachane na dhambi hiyo hata hivyo sijui ile ahadi ya siku ile muhimu kwenye ndoa yenu ambapo wote mliitoa na kwamba ninyi ni mwili mmoja utamwambia nini sir god????
Jee hivi sasa huyo ndugu yangu ni hohehahe na ndiyo maana hayo madhaifu unayaona lakini jee ikimuangukia zari ikamfanya naye awe mtu kati ya watu hautojikomba kwake kwa kudai shetani aliingilia ndoa yenu?????
 
Ukimuona amekodoa macho amekodoa
tatizo nyotaaa babu ee babu eeh
we mbuyu wee unajifanya mchicha we mbuyu wee
tafuta wakubwa wenzakooo hahaaa naimba tu hapa nakabadaridi kasingida ful kipupwe
 
Ndio tatizo la kuolewa na bikra,unakuwa hujui mambo mengi.

Tafuta haja ya moyo wako

Ni bira akunyime ela kuliko kukunyima kufika mlimani
 
Back
Top Bottom