mamii2
JF-Expert Member
- May 7, 2014
- 356
- 109
!
!
ushauri tu.....nenda polisi kachukue rb kabisa,pia kodi mabaunsa na pendelea kuvaa kofia ngumu kama za pikipiki. Kuna hatari kubwa inakuja Tanya
kwi kwi kwi kwi!
!
!
ushauri tu.....nenda polisi kachukue rb kabisa,pia kodi mabaunsa na pendelea kuvaa kofia ngumu kama za pikipiki. Kuna hatari kubwa inakuja Tanya
Kama unampenda mume wako haya mambo ni kawaidaa tu ndio maana ulikubali kuolewa naee au ulilazimishwaaa
Kwa ufahamu wangu kama umeona anakupapasa tu kwa juujuu tu kwanini usimfundishe kwa upendo kwa mapenzii mazurii bila kumlalamikiaa, ni kumfundisha kua napenda hivi unigeuze hivii unfanyie hikii mbona atakufanyia yote lakin wewe moja kwa moja ukapeleka kiuno nje huo ni umalayaaa na humpendi mumeo
Mwanaume ni kama mtoto akiwa kitandanii mfundishe akupe umoto wenyeweee banaa kha!!kutuaibisha tu hapaaa
Na hivyo ulivyomuambiaa umemkatisha tamaaa na anaweza asiwe na munkari maana umemvunja moyo nyie ndio mnaosababishaa wanaume wapungukiwe nguvu za kiume
Dawa ni maneno yako tu na lugha basiiii
Sikubaliani na sms ya mtoa mada naona haikutumia busara. Lakini hili na ku reduce stress aki do na mumewe lina walakin. Ni ukweli usiopingika kwamba kuna wanaume hawajui love making na huwaacha wake zao very unsatisfied. Hapo sio suala la stress ya mke ni suala la lack of skills la mume! Tuanzie hapo...
Habari wanajamvi,
Mwenzenu nimekaa kwenye ndoa kwa miaka minne na nina mtoto mmoja lakini kila siku tendo nalifanya sioni reha yoyote.
Siku moja nilijaribu kutoka nje ya ndoa nikapata raha ambayo sijawahi kuipata toka nizaliwe sasa leo tena tumekutana na mume wangu anaingia tu kabla sijaanza kufeel chochote anakuwa ameshamaliza na analala usingizi kabisaaa!!!
Mimi nabaki nahangaika kuhesabu boriti.
Kwa kuwa kumueleza nimeshindwa nimeamua kumtumia sms hii; "
Unakera sana jamaa yangu ,kamakazi inakushinda si uwaachie wenzio kuliko kutesana usiku kucha kulala macho?
We mwanaume gani usiyejua kumridhisha mke wako.
Kwahiyo kila siku utakuwaga learner tu!!! huo ni utahira kama hujui, mimi nimechoka kuachwa njiapanda kila siku na sio mjinga wa kuachwa njiapanda, labda utafute mjinga mwenzio ndo uwe unamuacha njiapanda.
Kazi imekushinda jitoe kwenye game waingie wenye uwezo wao.
Siwezi kuvumilia kero za aina hiyo maana kero ulizonazo zinanitosha sikupaswa niongezewe na kero za kwenye tendo la ndoa.
Mjinga wewe hebu nikatafute wenye uwezo wa kunirishisha wewe umeshashindwa miaka minne yote kapa???"
Je, Niko sahihi kumtumia sms hii?
sijui atabadilika?
Sijui tatizo ni nini?
by mama kado
Mnisaidieni?
Kwa mwenye akili akisoma mistari hii anajua tu kwamba wewe hujawahi olewa, una imagine tu ndoa inafananaje!