Gemmy
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 1,211
- 823
Kitendo cha wewe kutoka nje ya ndoa ndio umeharibu kabisa maana umepata sehemu ya kufanya comparison kama humtaki huyo mwanaume fata taratibu utoke ndani ya hiyo ndoa kwa amani usije kumua baba wa watu kwa maradhi.
Kama humtaki na unamuona wa nini Mungu atampa atakaye mthamini na kumuona anamtia vizuri
Kama humtaki na unamuona wa nini Mungu atampa atakaye mthamini na kumuona anamtia vizuri