Mume wangu haniridhishi kwenye tendo

Mume wangu haniridhishi kwenye tendo

hiyo sms inaenda kwa mumeo au awara?....au nyie bado ni wachuma!
 
mpaka hapo hamna ndoa. kwanza kwa kuja jf na kutoa siri za chumbani kwako kihisia umeshamuumiza mwenzako hata kama hakuoni au hakusikii (maana ya mwili mmoja ni pana sana inaenda hadi kwenye hisia!!) ingawa naona kama umetunga hii hadithi kwani hakuna mwanamke anaweza kumwandikia mme wake msg kama hiyo! kwani wewe huna wasimamizi wa harusi au washauri wa ndoa yako hadi uanike hapa? pole mama utamuacha mme utaenda kwa wajuzi nao watakupa na virusi umkumbuke mme wako. hayo mambo huwa yanazungumkika kabla ya kutoka kwenye kuta nne za chumba chenu
 
Tanya wewe ni mgonjwa na unahitaji uponyaji. Ndoa ni mambo mengi ikiwa pamoja na tendo la ndoa. Je, mumeo angepata kisukari au ulemavu wa aina yoyote ile ambao ungemsababisha kushindwa kutenda tendo la ndoa ungemwacha? Inaonekana wewe ni selfish na humshirikishi mwenzi wako katika mambo yenu ya unyumba. Sasa KUA NA ACHA UJINGA.
Mie nimepata kilema cha kiuno na mke wangu amekuwa mstari wa mbele kunipa matumaini na tendo la ndoa haliwezekani na amekubali matokeo ya ugonjwa wangu na hajatishia kuniacha. (KWENYE SHIDA NA RAHA) Nimeishi nae zaidi ya miaka zaidi ya 20. Je, umepima kwa asilimia zote yale yote yanayounda ndoa yenu kwa ujumla wake? Achana na tendo la ndoa,je, sector zingine anazimudu kama mume? Je, wewe huna mapungufu? Unadhani kuchepuka ndio muarobaini wa mume wako kuto perform? Mchukuliane mizigo ya ndoa yenu.
 
kama we mwenyewe unalala kama gogo na mihasira yako unategemea yeye peke yake akufikishe kunako? maana tendo la ndoa ni kupewa na kutoa. wewe unataka tu yeye akupande halafu hata kiuno huzungushi unategemea nini? panda maduguli ya mmeo halafu mzungushie uone kama hatokufikisha mwisho wa reli.

kigomaaaaaaaaaaaa
 
Tanya, huku kwetu mda wa kukaa kijiweni haujafika..acha fiksi wewe! Mke hawezi andika utumbo kama huu kwa mumewe, unless umebwia sembe asubuhi.
 
Last edited by a moderator:
Huuuwii mmeniumiza sana nyie watu!!! Hata kunitia moyo!!!hamjui machungu ya kuachwa na nyege nini?
Anyway nimewaelewa kuwa sikupaswa kutuma hiyo sms nilipaswa kuongea nae tu labda angejitahidi ajirekebishe, japo nilishawahi kuongea nae lakini hakubadilika.
Kwa mvumilivu mama kwani ukiachwa na nyege unakufa sema nae mwambie mimi bado nataka uona km atachomoa
 
Tendo la ndoa halitaweza kuwa zuri kwenu kwa sababu inaonekana mna issues ( umeziita kero nyingine mbali ya hii ya Tendo la Ndoa) na mumeo.

Kwa hiyo suluhisho ni kushughulikia hizo kero kwanza, kabla hamjaenda kwenye tendo la Ndoa. Huwezi kufurahishwa kama akili yako bado ina issues na inawezekana mumeo anaona mawazo yako hayapo kwenye tendo na ndio maana akimaliza anaamua kulala.
 
Da kwa sms hii hakuna ndoa at all.kwani kabla amjaingia kwenye ndoa alikuwa anakufikisha? Dada ndoa ni zaidi ya kufika kileleni.kaa na mumeo zungumzeni na mtalimaliza ili tatizo
 
Daaadeki kama mi ndo mwanaume hiyo SMS ukinitumia utaishia kujiweka magunzi!

Halaaaafu hiv aliyekwambia kilele kinafikiwa kwa ujuzi wa mwanaume ni naaani?
Akili iliyo stressed kiasi hiki kilele utaendelea kukiona kweny mlima Kilimanjaro milele.
Mkoje!!?
 
Hahaaaa sicheki mazuri...Ila nimehuzunika sana jinsi gani mwanamke -------- anavyoivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe....umeshindwa kukaa chin I na mumeo mkajaribu kufanya ili mpate suluhisho...zaidi ya kurauka matusi...shame on yu utaja kosa bara name pwanii...
 
Habari wanajamvi,

Mwenzenu nimekaa kwenye ndoa kwa miaka minne na nina mtoto mmoja lakini kila siku tendo nalifanya sioni reha yoyote.

Siku moja nilijaribu kutoka nje ya ndoa nikapata raha ambayo sijawahi kuipata toka nizaliwe sasa leo tena tumekutana na mume wangu anaingia tu kabla sijaanza kufeel chochote anakuwa ameshamaliza na analala usingizi kabisaaa!!!

Mimi nabaki nahangaika kuhesabu boriti.

Kwa kuwa kumueleza nimeshindwa nimeamua kumtumia sms hii; "
Unakera sana jamaa yangu ,kamakazi inakushinda si uwaachie wenzio kuliko kutesana usiku kucha kulala macho?

We mwanaume gani usiyejua kumridhisha mke wako.

Kwahiyo kila siku utakuwaga learner tu!!! huo ni utahira kama hujui, mimi nimechoka kuachwa njiapanda kila siku na sio mjinga wa kuachwa njiapanda, labda utafute mjinga mwenzio ndo uwe unamuacha njiapanda.

Kazi imekushinda jitoe kwenye game waingie wenye uwezo wao.

Siwezi kuvumilia kero za aina hiyo maana kero ulizonazo zinanitosha sikupaswa niongezewe na kero za kwenye tendo la ndoa.

Mjinga wewe hebu nikatafute wenye uwezo wa kunirishisha wewe umeshashindwa miaka minne yote kapa???"

Je, Niko sahihi kumtumia sms hii?
sijui atabadilika?
Sijui tatizo ni nini?
by mama kado
Mnisaidieni?

Mh,kama hii thread ina ukweli basi umekosea sana mpk inafikia mahali unamwita mumeo mjinga na kumtumia hiyo msg bila hata kumuuliza/kuongea naye na kujua kwanini anakuwa hivyo thn mtafute solution? Hujamtendea haki...
 
Hapo unataka kumaliza tatizo au kuanzisha tatizo lingine!!
 
Arrogant angry black women they always put blame on someone else..kama ndo una attitude kama hiyo sms inavyoeleza utakua na turn off nyingi sana kwa mshkaji..pengine hata yeye akichepuka kuna mtu nje anamuheshimu na anamkamua vilivyo..aise wanawake wa kibongo mbadilike
 
I would have advised you to stop whining and work on your sex life. Spice it up, aphrodisiacs could do the trick....

But you crossed the cheating line and you seem to have enjoyed it.

You will be the worst human being on earth if you send that SMS.

Your husband could have a problem that he doesn't even know about and instead of discussing it with him, and trying to make it work, you brag about your sinful sexual escapades.

i.d.i.o.t.
 
Naona unatengeneza business plan ya kufungua biashara au mradi was V.V.U au H.I.V
 
Habari wanajamvi,

Mwenzenu nimekaa kwenye ndoa kwa miaka minne na nina mtoto mmoja lakini kila siku tendo nalifanya sioni reha yoyote.

Siku moja nilijaribu kutoka nje ya ndoa nikapata raha ambayo sijawahi kuipata toka nizaliwe sasa leo tena tumekutana na mume wangu anaingia tu kabla sijaanza kufeel chochote anakuwa ameshamaliza na analala usingizi kabisaaa!!!

Mimi nabaki nahangaika kuhesabu boriti.

Kwa kuwa kumueleza nimeshindwa nimeamua kumtumia sms hii; "
Unakera sana jamaa yangu ,kamakazi inakushinda si uwaachie wenzio kuliko kutesana usiku kucha kulala macho?

We mwanaume gani usiyejua kumridhisha mke wako.

Kwahiyo kila siku utakuwaga learner tu!!! huo ni utahira kama hujui, mimi nimechoka kuachwa njiapanda kila siku na sio mjinga wa kuachwa njiapanda, labda utafute mjinga mwenzio ndo uwe unamuacha njiapanda.

Kazi imekushinda jitoe kwenye game waingie wenye uwezo wao.

Siwezi kuvumilia kero za aina hiyo maana kero ulizonazo zinanitosha sikupaswa niongezewe na kero za kwenye tendo la ndoa.

Mjinga wewe hebu nikatafute wenye uwezo wa kunirishisha wewe umeshashindwa miaka minne yote kapa???"

Je, Niko sahihi kumtumia sms hii?
sijui atabadilika?
Sijui tatizo ni nini?
by mama kado
Mnisaidieni?

Ikiwa ulikuwa kushaamua kuvunja ndoa yako kwa kutuma sms hiyo, ya nini kutaka ushauri humu jamvini.Ushauri ni kuwa ukishakuachwa nipm nitakufikisha utakako.
 
Back
Top Bottom