Mume wangu haniridhishi kwenye tendo

Mume wangu haniridhishi kwenye tendo

kama ndio sms unayolenga kumtumia au umemtumia hivyo basi wewe ndio tahahira kabisa, kwa sababu ukituma sms kama hii lengo lnakuwa ni kuachana wala sio kutaka abadilike, kwa kweli hufai hata kuolewa tena mshukuru Mungu kwa huyo mume anayeweza kuoa mke wa aina yako. labda ndio sababu upatichochote na unaachwa kuhesabu gharama za kupaua, kaa na mtu vizuri na mueleze tatizo lake ili uwe na utatuzi sahihi,
ila wewe mwanamke kichwa maji.....
 
Tena point nzito. ungekuwa huna boifriend au mme ningekuangaikia nikupate.!!!!!!
 
mchane huyo.. kaniboa yaani

sio kumchamba tuu nooo kama ni mwanamke wa mwenye busara na hekima na kumuheshimu mumeo huwezi kufanya hivi labda awe HAWARA TENA ULIYEMCHOKA

Kama kwenye ndoa kuna matatizo yanaisha kwa njia ya kuongea tna kwa kauli ya UPENDO..je UVUMILIVU wake huyu uko waipi??? angekuwa ni yeye mumew kamuandikia hiyo sms angejisikieje?? na nikisema yye ndo tatizo kwa hizi kauli ndo mana mwaname hamfikishi ATAKATAAA???

Huenda huyu hana tna upendo na mapenzi kwa mumwe baada ya kupata mchepuko
mume akirudi job amenuna kisa hatafikishwa...hamsemeshi kwa kauli ya ashi,upendo,kimahaba...yeye kulalamika tu na kumueleza matatizo ya home pesa,mtoto,ujenzi bila kutafut mda mzuri wa kumweleza...
mume hana raha ana matatizo,stress na yanampelekea kushindwa kula vizri yanamuathiri kiakili ikifika bed unataka legue kuu wapi
ataweza wapi hakuna maandalizi???

jiahidi dada uwe na kauli tamu kwa mumeo tumia busara kupata suluhisho UVUMILIVU upendo kuwa navyo ndoa sio kiivyo hapa umebomoa nyumba yako kwa mikono yako labda iwe hii story ya kutunga
 
Enyi wake watiini waume zenu .....kama wewe ni muumini wa dini hope huo mstari ushakutana nao whether kwa kuusoma au kuusikia, jukumu kubwa mke alopewa kwenye ndoa ni UTII nadhani wewe utii kwako haupo na ndio maana unathubutu kumwandikia mumeo uchafu huo....unahitaji kurudishwa kwenu ukafundwe upya namna ya kuishi maisha ya ndoa ........naungana na wenzangu kutokuamini kama kweli umedumu ndoani miaka 4 na mna mtoto halafu ukose busara kiasi hicho
 
We tanya....hahahhaa naamini kabisa mume wako analijua hilo tatizo na ni mtego akikushika imekula kwako
 
Sidhani kama kweli hii post ina uhalisia. Kama ni kweli ni vyema ukajirekebisha. Nakwambia wazi kabisa kwamba wewe si mke mwema.
 
Ukishaonja nje ni Usaliti tosha kwa Mmeo na as long as umeonja utaendelea kuonja tu tena na tena ni kama ukila ukionja nyama ya mtu utaendelea tu kula na kula na tena kula..

Usiporudi na kutubu kwa Mmeo Laana inakutembelea nyuma yako.
 
ni bora uondoke maana kwa msg hiyo si dhani kama utakuja tulia kwenye hiyo ndoa. Ujumbe wa Bwana Kibonde kuhusu mchepuko hutauthamini hata kidogo.
 
Yaani hadi nakusikitikia. Labda kama stori umeitunga ila kwa uhalisia huwezi tuma msg kama hiyo kwa mume wako wa ndoa. Ila yote haya yamesababishwa na ulivyochepuka.Pole sana ila jibu kamili utalipata atakavyorudi.
 
Njia uliyotumia sio sahihi na si ya busara
 
Ye we mwanamke message gani hiyo!?I hop ungekaa nae nakumwambia kuongea nae kuliko hivo
 
Kuna mambo ua msingi unatakiwa kuyafanya

Kwanza jichunguze mwenyewe kama wewe ni swhemu ya tatizo. Unaweza kuwa sehemu ya yatizo kwa mambo yafuatayo
- Hujamsoma mumeo vzr, kazi yake, anapendelea nini kwa wakati gani, ni mambo yap yanamfanya awe na furaha, chakula gani anapendelea nk
- wew binasfi unajiwwka ktk hali ya usafi? Mazingira yako safi?
- kabla na baada ya tendo unafanya maandalizi? Baada ya hilo goli moja, unamwandaa tena kwa round nyingine? Unamnyonya dudu, p.u.m.b.u, na m.k.undn? Unamshika shika vzr kwenye gaden love yake? Kifuani mgongoni na ------? Au unaona uviv na kinyaa? Wajibika upate raha. Naamini kabisa ukifanya yote utaona matikeo na ndoa yako itadumu.
 
kama we mwenyewe unalala kama gogo na mihasira yako unategemea yeye peke yake akufikishe kunako? maana tendo la ndoa ni kupewa na kutoa. wewe unataka tu yeye akupande halafu hata kiuno huzungushi unategemea nini? panda maduguli ya mmeo halafu mzungushie uone kama hatokufikisha mwisho wa reli.
 
Back
Top Bottom