uwiiiiiiii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 341
- 365
- Thread starter
- #121
Anafuga mwenyewe maradhi
Najuta kumpenda mwanaume asiyenipenda mwenzenu, naombeni ushauri wenu wadau
Anafuga mwenyewe maradhi
Najuta kumpenda mwanaume asiyenipenda mwenzenu, naombeni ushauri wenu wadau
Done!!Yani kuna comments unazisoma, una reply kimoyomoyo........
Naomba nikuambie kuwa; umepotoka kabisaaa. Kwanza jua kuwa una mume mzuri na mwaminifu mno, ila weye ndio umeyakumbuka makinikia ya zamani unaanza kutafuta kuya hallallisha. Hebu fikiri, miaka 4 toto 2 ulitaka ziwe toto 10 ndo ujue kuwa mumeo hachojolei nje?? Wewe mama, unafika mahali ati unawasikilizia wenzio chumba cha pili ati analiaga?? Wekelea yako pilipili ikuwashe ulie ka huyo. Siachi kukuambia kuwa; Umepotoka.
Tulia na huyu mumeo, toroka uende huko kama huwathamini wanao. Lakini, utakapojikuta barabarani usiache kutuambia. Wanawake wenzio hujichuwa kwa maji moto ili asiende mtaroni.
Wachepukaji kwa vizingizio tu hamjambo.Wanawake huwa siwaelewi kabisa huwa wanataka nini utakuta kuna siku kadhaa alishakuwa anambania bania mumewe na asikuambie mtu ukinyimwa ndani ukajaribu nje wala hunyimwi na hali ikiendelea utamu wa mke huisha yaani hata ukikamua unaona kama hufanyi kitu
Sole kwa kutumia neno hilo ila wanawake wengi mkiisha zaa huwa mnasahau kuwa mmeolewaWw uko kwenye ndoa? Mburula hapa hayupo ni bora unyamaze uhitaji matusi. Hiyo msg yako haina uhalisia ktk group za WhatsApp hizo zipo sana.
Ndugu km Upo ktk ndoa ww ongea uhalisia.
Huku kuna wakwe zako
Huyo jirani anapiga kelele za aina gani
Mimi ninaamini ukiweza kuurudisha ule ukaribu wenu wa mwanzo hata kwa 65% utajua mapungufu alioyaona kwako maana utamuuliza kwa hekma na atakwambia.Nyumbani ni mbingu ndogo ya wanaume na wewe Jitahidi kwa akili na imani kupabadili hapo nyumbani pawe mbingu ya mmeo.Fikiria kwa hekma yako yote.
Unaumwa wewe siyo bure..!
Habari zenu wadau wa humu tena, ninalileta hili ili tu nipate ushauri, nijifunze si nia mbaya hasa kwa wale ambao mko ktk ndoa mke/mme naomba ushauri wako si kejeli, ukinitukana sidhani km utakuwa umenisaidia kwa kweli maana ni bora mm ninaitaji kujua kuliko wale waliokaa na kulalama mitaani.
Mm niko ktk ndoa kwa miaka minne tuna watoto wawili, nimegundua mume wangu anachepuka kwa siri kiasi kutojali hisia zangu kabisa, pamoja na mapito mengi na kuamua kusamehe na kusimama km mke hiki kitu mm kinanikwaza sana na naumia sanasana maana najiuliza nn nimeshindwa kumfanyia, mm ni mwanamke ambae si mpofu kitandani najitaidi kumpa kadri niwezavyo ila nashangaa mwenzangu anashindwa kujali na kuheshimu ndoa yake. Naweza kukaa miezi miwili tunalala mtu akitoka job kwa malaya, mara kichwa kule tunalala mzungu wa nne! Visa jamani, ni tabia ambazo akishaanza kuchepuka amebadirika. Siku akiamua kukushika akishamaliza yy ww huku bado hajali nabaki na hamu naumia sana moyoni.
Mm sidhani km mwanaume akitembea nje km anaweza kumridhisha mkwe, jamani mm ni mwanamke naejiheshimu na nina hisia zangu, nifanyaje? Maana namwambia lakini anakataa na hata umwitie yoyote huwa hakubali!
Najiuliza hivi mtu unawezaje kuishi na mwanamke mkeo ukajisahau kiasi unamletea dharau ukishaonja nje ndoa una maana gani, maana huwa nasikiliza jirani akipiga kelele najiuliza nimelala na mwanaume kweli! Naomba ushauri wako.
Duuuuh!!!!!Naomba nikuambie kuwa; umepotoka kabisaaa. Kwanza jua kuwa una mume mzuri na mwaminifu mno, ila weye ndio umeyakumbuka makinikia ya zamani unaanza kutafuta kuya hallallisha. Hebu fikiri, miaka 4 toto 2 ulitaka ziwe toto 10 ndo ujue kuwa mumeo hachojolei nje?? Wewe mama, unafika mahali ati unawasikilizia wenzio chumba cha pili ati analiaga?? Wekelea yako pilipili ikuwashe ulie ka huyo. Siachi kukuambia kuwa; Umepotoka.
Tulia na huyu mumeo, toroka uende huko kama huwathamini wanao. Lakini, utakapojikuta barabarani usiache kutuambia. Wanawake wenzio hujichuwa kwa maji moto ili asiende mtaroni.
Wanaume kujitia mna nguvuuuu kumbe si lolote si chochote matokeo yake ndio haya!!! Sasa huwa mnaoa ili iweje!!!
Teh teh tehDuuuuh!!!!!
Wanaume huwa ni malaikakwahyo upungufu daily ni kwa wanawake eh et eh?? bas sawa nyie majemadari hamnaga mapungufu
Naomba nikuambie kuwa; umepotoka kabisaaa. Kwanza jua kuwa una mume mzuri na mwaminifu mno, ila weye ndio umeyakumbuka makinikia ya zamani unaanza kutafuta kuya hallallisha. Hebu fikiri, miaka 4 toto 2 ulitaka ziwe toto 10 ndo ujue kuwa mumeo hachojolei nje?? Wewe mama, unafika mahali ati unawasikilizia wenzio chumba cha pili ati analiaga?? Wekelea yako pilipili ikuwashe ulie ka huyo. Siachi kukuambia kuwa; Umepotoka.
Tulia na huyu mumeo, toroka uende huko kama huwathamini wanao. Lakini, utakapojikuta barabarani usiache kutuambia. Wanawake wenzio hujichuwa kwa maji moto ili asiende mtaroni.
umeogeneralise mno mkuu mie sijawah jichua aic kisa cha kujibabua ?????????????????????????????????????????????????