Mume wangu anatafuta kazi

Mume wangu anatafuta kazi

Morning glory

Senior Member
Joined
Mar 20, 2014
Posts
149
Reaction score
55
Wana JF please please nawaomba sana mnisaidie mume wangu amesoma mpaka post degree na Hana ajira nifanyeje? Yaani mi ndo nalisha nyumba na kulipia mahitaji yote, sasa inaniumiza! Binafsi sijamtenga ila namwonea huruma sana hajawahi kuajiriwa since 2011 na kila miradi anao anzisha unaishia njiani, sasa yupo tu home-nimewaza sana kuweka thread hii jamvini coz siko sure sana Kama yuko humu.


======== Updates ================

Wadau wote wa JF Nliwahi kupost Uzi Hapa wa mume wangu kutokuwa na kazi na Huu ni mrejesho.Tunaendelea kuumia kadri siku zinavyoenda mbele na msaada wangu unakuwa haitoshi Kwa familia yangu.Watu wengi waliahidi kunisaidia lakini mpaka Leo nimeishia kuambulia ahadi hewa tu na uchokozi na utani mwingi kutoka Kwa wadau humu JF.Wenye nafasi tafadhali msaidieni mume wangu yani karibu tunaumbuka na ukizingatia tunaishi nyumba ya kupanga
 
Amesoma post gr. Ya nini na ni biashara gani ameanzisha zinaishia njiani? Anzia hapo ili tusaidiane mawazo
 
Amesoma post gr. Ya nini na ni biashara gani ameanzisha zinaishia njiani? Anzia hapo ili tusaidiane mawazo

Huwa anajaribu Kilimo na huwa havuni kitu cha maana Kama vitunguu,mahindi etc amesoma post ya procurement
 
ndoa ndoano hapo panataka maombi! pia arudi kwa nyumbani akae na wazee ale nao mbuzi na pombe, wazee na mizimu ya nyumbani hufunga njia kabisa! then arudi dar he will see wonder! within 3 weeks

Ni yatima wazazi wake walikwisha kufa zamani sana akiwa chuoni
 
Sawa kilimo hua analimia maeneo gani? Na hua anajizatiti kabisa? Au analima kilimo cha kisasa kwa kufuata ushauri wa wataalam? Lakin pia utaftaj wa ajira hua ni mgumu lkn akikomaa kwenye kujiajiri atatoka fasta kama atapambana vizuri lkn biashara pia atatoka vizuri,,,
 
Sishauri aendelee kusoma Phd kwani mtapishana na future ya maisha akomae kwanza aweke msingi ndo aendelee na mambo mengine aseeeeeeee, akipambana atatoka kabisa kufanikiwa hakuna dawa zaidi ya kujituma kwa bidiii
 
Wana JF please please nawaomba sana mnisaidie mume wangu amesoma mpaka post degree na Hana ajira nifanyeje?Yaani mi ndo nalisha nyumba na kulipia mahitaji yote,sasa inaniumiza!Binafsi sijamtenga ila namwonea huruma sana hajawahi kuajiriwa since 2011 na kila miradi anao anzisha unaishia njiani,sasa yupo tu home-nimewaza sana kuweka thread hii jamvini coz siko sure sana Kama yuko humu

Pole sana atapata ajira uwe na subira endelea kumpenda hivyohivyo usimchoke
 
Sawa kilimo hua analimia maeneo gani? Na hua anajizatiti kabisa? Au analima kilimo cha kisasa kwa kufuata ushauri wa wataalam? Lakin pia utaftaj wa ajira hua ni mgumu lkn akikomaa kwenye kujiajiri atatoka fasta kama atapambana vizuri lkn biashara pia atatoka vizuri,,,

Thanks kwa ushauri mkuu
 
Wana JF please please nawaomba sana mnisaidie mume wangu amesoma mpaka post degree na Hana ajira nifanyeje?Yaani mi ndo nalisha nyumba na kulipia mahitaji yote,sasa inaniumiza!Binafsi sijamtenga ila namwonea huruma sana hajawahi kuajiriwa since 2011 na kila miradi anao anzisha unaishia njiani,sasa yupo tu home-nimewaza sana kuweka thread hii jamvini coz siko sure sana Kama yuko humu

View attachment 146220


Sent from Mchina
 
JERRY umetisha nahisi positivism Hapa,thanks sana

Karibu sana dada, hilo ni jaribu tu time will tek care! Pia ajitahidi kumtafuta Fumbo today maana jana ndio kapost hilo tangazo, mwambie tu umetoa ukurasa wa Facebook! All the best


Sent from Mchina
 
Back
Top Bottom