Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,546
Ushauri bora kabisa mtoa Mada fuata hii ni muhimu (UVUMILIVU)
Yeah uvumilivu utaokoa mengi
Ushauri bora kabisa mtoa Mada fuata hii ni muhimu (UVUMILIVU)
tatizo ni we kuwaza ngono, mpe muda mwenzio apumuwe.
he is a human being and not a sex machine, and the first sexual organ is the mind - mwenye masikio na asikie kile Roho ayaambia makanisa
duh hatarHabari zenu,
Mimi ni mwanamke mwenye watoto wawili na nipo kwenye ndoa kwa miaka nane sasa.Tumekuwa tukiishi maisha ya ugomvi kwa muda na mume wangu, ila nikaona ni vyema nijishushe na nisihoji chochote.Mimi ndiye ninahangaika na familia na mambo yote hakai kujadili jambo lolote la maana na mimi.
Binafsi niliona nijishushe na nisihoji chochote ila tatizo limekua ni kwenye unyumba. Kwa kweli navumilia sana tunalala pamoja najitahidi kujiweka safi, kubadili mazingira ya chumba, manukato na hata mavazi lakini wapi!
Naweza nikamfanyia vikorombwezo vyote ila atageukia upande wa pili na kukoroma nimemsihi sana yeye anasema anawaza maisha hawezi kuendekeza ngono.Tunaweza kukaa mpaka miezi mitatu hatujakutana,hili swala linanikondesha jamani.
Naombeni njia ya kujinasua katika hili janga.
Monica kuna vitu kadhaa.
1. Inawezekana anaumwa magonjwa ya huko chini. Kwa sababu hamna utaratibu wa kutumia condom na anakupenda anapotezea. Lini mlienda kupima wote?
2. Inawezekana ana UTI sugu ambayo Mara nyingi ili mwanaume afahamu anaumwa pumbu moja huvimba na kuuma. Mara nyingi hii hukata kabisa steam ya kusex.
3. Inawezekana anawazia maisha. Lakini hii kama ni kweli na mna good communication inatakiwa akuambie.
4. Muulize tatizo ni nini? Muulize kwa sababu wewe una hamu anataka uende wapi kama sio yeye. Kwa hili atajiongeza.
Hiyo sio ya kumshilikisha mungu atafute mtu atamsaidia vijana wa hapa kazi tu wapo wengi😉😉😉Hapo kunatatizzo hebu mshirikishe mungu kwa maombi
Kususa hiyo kitu inatakiwa akapimwe akili Mimi sajawai kususa hata tuwe na ugomvi sijaribu kususa hii kitu hilivyo tamuuuuuKuna vitu vya kususa lkn siyo hicho, atakuwa na matatizo hyo.. Ni pm kwa ushauri zaid
Mwanaume asusi pa punch anasusa msosi huyo atakuwa anachepuka tuwekee picha yake hili tumjue tukimuona kwenye anga zetu tunakuita ukamate anasusa hiyo kitu duh!!!😎😎😎😎Habari zenu,
Mimi ni mwanamke mwenye watoto wawili na nipo kwenye ndoa kwa miaka nane sasa.Tumekuwa tukiishi maisha ya ugomvi kwa muda na mume wangu, ila nikaona ni vyema nijishushe na nisihoji chochote.Mimi ndiye ninahangaika na familia na mambo yote hakai kujadili jambo lolote la maana na mimi.
Binafsi niliona nijishushe na nisihoji chochote ila tatizo limekua ni kwenye unyumba. Kwa kweli navumilia sana tunalala pamoja najitahidi kujiweka safi, kubadili mazingira ya chumba, manukato na hata mavazi lakini wapi!
Naweza nikamfanyia vikorombwezo vyote ila atageukia upande wa pili na kukoroma nimemsihi sana yeye anasema anawaza maisha hawezi kuendekeza ngono.Tunaweza kukaa mpaka miezi mitatu hatujakutana,hili swala linanikondesha jamani.
Naombeni njia ya kujinasua katika hili janga.
Kwani yeye anahitaji?Msuse na wewe... aalaaa
mkuu hili tatizo hata mimi ninalo mpaka limesababisha mpasuko kwenye mahusiano.. licha ya kuwa na mtu msafi, mrembo na mjuaji wa mambo lakini hamu ya tendo sina kabisa..Monica kuna vitu kadhaa.
1. Inawezekana anaumwa magonjwa ya huko chini. Kwa sababu hamna utaratibu wa kutumia condom na anakupenda anapotezea. Lini mlienda kupima wote?
2. Inawezekana ana UTI sugu ambayo Mara nyingi ili mwanaume afahamu anaumwa pumbu moja huvimba na kuuma. Mara nyingi hii hukata kabisa steam ya kusex.
3. Inawezekana anawazia maisha. Lakini hii kama ni kweli na mna good communication inatakiwa akuambie.
4. Muulize tatizo ni nini? Muulize kwa sababu wewe una hamu anataka uende wapi kama sio yeye. Kwa hili atajiongeza.
Hebu ngoja kwanza.MREJESHO,
yeye anasema hana tatizo ila basi tu hana hamu na anapitiwa,
nimemuuliza mengi akasema atajirekebisha na nikamuuliza kama kuna kitu nifanye kumvutia, akasema hakuna,
ila cha ajabu nimebembeleza mechi mpaka nikakwazika nikaondoka nimekaa mahali najipumzisha kidogo.
karibuni nitakuja na uzi mpya wa maamuzi yangu. Ahsanteni
wenzako hawakurupuki Hivyo lakini Ukihitaji mgegedo wa Dharura mtafute peterchoka au mito na ikishindikana njoo kwa ibra87 tatizo litakwishaMREJESHO,
yeye anasema hana tatizo ila basi tu hana hamu na anapitiwa,
nimemuuliza mengi akasema atajirekebisha na nikamuuliza kama kuna kitu nifanye kumvutia, akasema hakuna,
ila cha ajabu nimebembeleza mechi mpaka nikakwazika nikaondoka nimekaa mahali najipumzisha kidogo.
karibuni nitakuja na uzi mpya wa maamuzi yangu. Ahsanteni