Mume wangu ananinyima unyumba

Mume wangu ananinyima unyumba

Binadamu tumetofautiana kwa kweli,ntavumilia yote ila si kunyimwa unyumba,kilichonitoa kwetu "ni kile ambacho wazazi wangu walishindwa kunipatia" na mwanaume kama atashindwa kunipatia tena bila kuwepo dharura ya msingi,natambaa. Huo ni unyanyasaji wa kijinsia na kisaikolojia. Kwani hiyo ndude anayo yeye peke yake? Eboo..! Chukua watoto wako kaanze maisha yako,hukuzaliwa naye na wala hutokufa naye.
 
Duuuuh...ni mara ya kwanza kuisikia hii,atakuwa ana mtu mwingine anayemt...labda hakukupenda ulivyo ni aliamua kufunga ndoa tu nawewe kwasababu flan.

Mimi hata nikizidiwa na ugonjwa au nikizimia...mwanamke akinikalia tu au akigusa gusa dushe natandika ile kitu barabara sheikh
 
tatizo ni we kuwaza ngono, mpe muda mwenzio apumuwe.
he is a human being and not a sex machine, and the first sexual organ is the mind - mwenye masikio na asikie kile Roho ayaambia makanisa


Kama na yeye hafanyi huko nje ni sawa, kakini kama yeye anamalizia huko nje hell no...
 
Habari zenu,

Mimi ni mwanamke mwenye watoto wawili na nipo kwenye ndoa kwa miaka nane sasa.Tumekuwa tukiishi maisha ya ugomvi kwa muda na mume wangu, ila nikaona ni vyema nijishushe na nisihoji chochote.Mimi ndiye ninahangaika na familia na mambo yote hakai kujadili jambo lolote la maana na mimi.

Binafsi niliona nijishushe na nisihoji chochote ila tatizo limekua ni kwenye unyumba. Kwa kweli navumilia sana tunalala pamoja najitahidi kujiweka safi, kubadili mazingira ya chumba, manukato na hata mavazi lakini wapi!

Naweza nikamfanyia vikorombwezo vyote ila atageukia upande wa pili na kukoroma nimemsihi sana yeye anasema anawaza maisha hawezi kuendekeza ngono.Tunaweza kukaa mpaka miezi mitatu hatujakutana,hili swala linanikondesha jamani.

Naombeni njia ya kujinasua katika hili janga.
duh hatar
 
Monica kuna vitu kadhaa.

1. Inawezekana anaumwa magonjwa ya huko chini. Kwa sababu hamna utaratibu wa kutumia condom na anakupenda anapotezea. Lini mlienda kupima wote?

2. Inawezekana ana UTI sugu ambayo Mara nyingi ili mwanaume afahamu anaumwa pumbu moja huvimba na kuuma. Mara nyingi hii hukata kabisa steam ya kusex.

3. Inawezekana anawazia maisha. Lakini hii kama ni kweli na mna good communication inatakiwa akuambie.

4. Muulize tatizo ni nini? Muulize kwa sababu wewe una hamu anataka uende wapi kama sio yeye. Kwa hili atajiongeza.

USHAURI MZURI
 
MMMH INAWEZEKANA ANA NYUMBA NDOGO AU NA YEYE ANALIWA FUATILIA TARATIBU
 
Kuna vitu vya kususa lkn siyo hicho, atakuwa na matatizo hyo.. Ni pm kwa ushauri zaid
Kususa hiyo kitu inatakiwa akapimwe akili Mimi sajawai kususa hata tuwe na ugomvi sijaribu kususa hii kitu hilivyo tamuuuuu
 
Habari zenu,

Mimi ni mwanamke mwenye watoto wawili na nipo kwenye ndoa kwa miaka nane sasa.Tumekuwa tukiishi maisha ya ugomvi kwa muda na mume wangu, ila nikaona ni vyema nijishushe na nisihoji chochote.Mimi ndiye ninahangaika na familia na mambo yote hakai kujadili jambo lolote la maana na mimi.

Binafsi niliona nijishushe na nisihoji chochote ila tatizo limekua ni kwenye unyumba. Kwa kweli navumilia sana tunalala pamoja najitahidi kujiweka safi, kubadili mazingira ya chumba, manukato na hata mavazi lakini wapi!

Naweza nikamfanyia vikorombwezo vyote ila atageukia upande wa pili na kukoroma nimemsihi sana yeye anasema anawaza maisha hawezi kuendekeza ngono.Tunaweza kukaa mpaka miezi mitatu hatujakutana,hili swala linanikondesha jamani.

Naombeni njia ya kujinasua katika hili janga.
Mwanaume asusi pa punch anasusa msosi huyo atakuwa anachepuka tuwekee picha yake hili tumjue tukimuona kwenye anga zetu tunakuita ukamate anasusa hiyo kitu duh!!!😎😎😎😎
 
MREJESHO,
yeye anasema hana tatizo ila basi tu hana hamu na anapitiwa,
nimemuuliza mengi akasema atajirekebisha na nikamuuliza kama kuna kitu nifanye kumvutia, akasema hakuna,
ila cha ajabu nimebembeleza mechi mpaka nikakwazika nikaondoka nimekaa mahali najipumzisha kidogo.
karibuni nitakuja na uzi mpya wa maamuzi yangu. Ahsanteni
 
Monica kuna vitu kadhaa.

1. Inawezekana anaumwa magonjwa ya huko chini. Kwa sababu hamna utaratibu wa kutumia condom na anakupenda anapotezea. Lini mlienda kupima wote?

2. Inawezekana ana UTI sugu ambayo Mara nyingi ili mwanaume afahamu anaumwa pumbu moja huvimba na kuuma. Mara nyingi hii hukata kabisa steam ya kusex.

3. Inawezekana anawazia maisha. Lakini hii kama ni kweli na mna good communication inatakiwa akuambie.

4. Muulize tatizo ni nini? Muulize kwa sababu wewe una hamu anataka uende wapi kama sio yeye. Kwa hili atajiongeza.
mkuu hili tatizo hata mimi ninalo mpaka limesababisha mpasuko kwenye mahusiano.. licha ya kuwa na mtu msafi, mrembo na mjuaji wa mambo lakini hamu ya tendo sina kabisa..
 
MREJESHO,
yeye anasema hana tatizo ila basi tu hana hamu na anapitiwa,
nimemuuliza mengi akasema atajirekebisha na nikamuuliza kama kuna kitu nifanye kumvutia, akasema hakuna,
ila cha ajabu nimebembeleza mechi mpaka nikakwazika nikaondoka nimekaa mahali najipumzisha kidogo.
karibuni nitakuja na uzi mpya wa maamuzi yangu. Ahsanteni
Hebu ngoja kwanza.
Ushauri umetolewa mwingi. Ule unaoona utakusaidia uujaribu na uduende haraka. Hilo tendo linahitaji utulivu wa akili na msisimko murua.
 
MREJESHO,
yeye anasema hana tatizo ila basi tu hana hamu na anapitiwa,
nimemuuliza mengi akasema atajirekebisha na nikamuuliza kama kuna kitu nifanye kumvutia, akasema hakuna,
ila cha ajabu nimebembeleza mechi mpaka nikakwazika nikaondoka nimekaa mahali najipumzisha kidogo.
karibuni nitakuja na uzi mpya wa maamuzi yangu. Ahsanteni
wenzako hawakurupuki Hivyo lakini Ukihitaji mgegedo wa Dharura mtafute peterchoka au mito na ikishindikana njoo kwa ibra87 tatizo litakwisha
 
Back
Top Bottom