Davion Delmonte Jr.
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 2,149
- 1,720
Kuna kuna mtu kaanzisha thread yeye kanyimwa unyumba na mkewe. What a coincidence? kwanini msikutane maana nyinyi wote ni wanyimwa....
Hii sio dawa Mara nyingi matatizo ya ndoa wanaostahili kuyamaliza ni wanandoa.Nenda ukweni ukamshtak.. wamuite wamjadili
Ushauri bora kabisa mtoa Mada fuata hii ni muhimu (UVUMILIVU)pole sana ila inakubidi uwe nauvumilivu wa hali ya juu.katika haya maisha kuna wakati mtu huwa anakwenda astray, huwa anapotea njia inaweza kuwa kwa kukamatwa huko nje au bado akili ilikuwa haijakomaa kusettle katika ndoa.Hivyo inafika wakati anafanya mambo ya ajabu ajabu kweli.sasa upepo huo umemnasa mumeo,nashauri uwe mvumilivu sana kwani upepo utapita tu na kila kitu kitakuwa normal.sishauri uchepukw but ukitokea hakikisha asijue chochote wala asiwe na mashaka na wewe kwani upepo utakapopita kwani atakapojirudi akikuta na wewe ulikuwa kama yeye basi ndoa kwishney but akikuta uko poa atakupenda na kikuheshimu daima.
Huu ni muda ambao ndoa nyingi huishia hapa,uvumilivu mmoja utaokoa kila kitu kwa manufaa ya watoto
Ningekua na huo umri ningeshukuru kwa kuwa pengine nisingekua na hisia za mapenzi tena.siamini kama tendo la dakika 5-20 linaweza kuathiri ukuaji wa watoto.Kwanza Karibu JF. Na hongera kwa kutimiza miaka 46. Mumeo nadhani Ana miaka hiyo hiyo au zaidi yako. Labda muda wenu umepitiliza sasa angalieni jinsi ya kukuza vijana na wajukuu Kama wapo. Kuwa mpole IPO siku inashtukaga, Utapewa haki yako.
du! wote ni wanyimwa!Kuna kuna mtu kaanzisha thread yeye kanyimwa unyumba na mkewe. What a coincidence? kwanini msikutane maana nyinyi wote ni wanyimwa....
hahahahaha eeh mkuudu! wote ni wanyimwa!
WEWE UPO WAPI ILI TUKUTANE NIKUSHAURIHabari zenu,
Mimi ni mwanamke mwenye watoto wawili na nipo kwenye ndoa kwa miaka nane sasa.
Tumekuwa tukiishi maisha ya ugomvi kwa muda na mume wangu, ila nikaona ni vyema nijishushe na nisihoji chochote.
Mimi ndiye ninahangaika na familia na mambo yote
hakai kujadili jambo lolote la maana na mimi.
Binafsi niliona nijishushe na nisihoji chochote ila tatizo limekua ni kwenye unyumba.
Kwa kweli navumilia sana tunalala pamoja najitahidi kujiweka safi, kubadili mazingira ya chumba, manukato na hata mavazi lakini wapi!
Naweza nikamfanyia vikorombwezo vyote ila atageukia upande wa pili na kukoroma nimemsihi sana yeye anasema anawaza maisha hawezi kuendekeza ngono.
Tunaweza kukaa mpaka miezi mitatu hatujakutana,
hili swala linanikondesha jamani naombeni njia ya kujinasua katika hili janga.
WEWE UPO WAPI ILI TUKUTANE NIKUSHAURIHabari zenu,
Mimi ni mwanamke mwenye watoto wawili na nipo kwenye ndoa kwa miaka nane sasa.
Tumekuwa tukiishi maisha ya ugomvi kwa muda na mume wangu, ila nikaona ni vyema nijishushe na nisihoji chochote.
Mimi ndiye ninahangaika na familia na mambo yote
hakai kujadili jambo lolote la maana na mimi.
Binafsi niliona nijishushe na nisihoji chochote ila tatizo limekua ni kwenye unyumba.
Kwa kweli navumilia sana tunalala pamoja najitahidi kujiweka safi, kubadili mazingira ya chumba, manukato na hata mavazi lakini wapi!
Naweza nikamfanyia vikorombwezo vyote ila atageukia upande wa pili na kukoroma nimemsihi sana yeye anasema anawaza maisha hawezi kuendekeza ngono.
Tunaweza kukaa mpaka miezi mitatu hatujakutana,
hili swala linanikondesha jamani naombeni njia ya kujinasua katika hili janga.
dah pole wengine tunazitafuta papuchi wengine hazitaki kweli human being are equal but unique
Monika2 mie sijakurupuka. Kuna mada mtu akituma inabidi upitie profile yake ili uweze kumshauri kulingana na unayoyasoma kwenye profile yake. Kwa mujibu wa profile yako umezaliwa Jan 1, 1970. Pumzika mama.Ningekua na huo umri ningeshukuru kwa kuwa pengine nisingekua na hisia za mapenzi tena.siamini kama tendo la dakika 5-20 linaweza kuathiri ukuaji wa watoto.
Penye miti siku zote huwa hapana wajenziSuper human nimejishusha sana, nimekua kama mtumwa kwake kila anachosema nafuata ili kumridhisha, najitahidi kujipendekeza lakini naambulia machozi tu.