Mume wangu ananinyima unyumba

Mume wangu ananinyima unyumba

Yaani umeshindwa kuvumilia mpaka umekuja kuyasema huku?
Ulidhani sitokuwepo?
sasa safari hii hutoniona nyumbani kabisa
Nimekwambia huu ni mwaka wa 'kazi tu' siyo sex mbona hunielewi wewe?

Imaginative comment
Usionekane tu,unafikiri yeye mlemavu eeeh!kaa na kidudu chako ,watakuja wanaojua kuliko wewe alafukumrudisha utahitaji tume Jecha kuingilia kati.
 
Habari zenu,
Mimi ni mwanamke mwenye watoto wawili na nipo kwenye ndoa kwa miaka nane sasa.

Tumekuwa tukiishi maisha ya ugomvi kwa muda na mume wangu, ila nikaona ni vyema nijishushe na nisihoji chochote.

Mimi ndiye ninahangaika na familia na mambo yote
hakai kujadili jambo lolote la maana na mimi.

Binafsi niliona nijishushe na nisihoji chochote ila tatizo limekua ni kwenye unyumba.

Kwa kweli navumilia sana tunalala pamoja najitahidi kujiweka safi, kubadili mazingira ya chumba, manukato na hata mavazi lakini wapi!

Naweza nikamfanyia vikorombwezo vyote ila atageukia upande wa pili na kukoroma nimemsihi sana yeye anasema anawaza maisha hawezi kuendekeza ngono.

Tunaweza kukaa mpaka miezi mitatu hatujakutana,
hili swala linanikondesha jamani naombeni njia ya kujinasua katika hili janga.
Pole mama, karibu kuongea naye siku ukiona furaha, vilevile yawezakana anatatizo lakini anashindwa kukueleza tatizo lake
 
Miezi mitatu unapumua nini moto?umekua kiboko wewe?au nyangumi?
Halafu wanaume mkiwa mnatatizo la uzazi mnaboa kweli kusema kwenu niishu siuseme tu kama hudindi anymore.

Amina kubwa mkuu, ni kweli kabisaa mtoto anweza kuwa mkubwa. Anyway, yote kwa yote sijui kama wewe ndo monica mtoa ujumbe au vinginevyo
1. Jina lako linaweza kuwa linashabihiana sana na tabia na akili yako.
2. Tatizo la kutokuwa na hamu ya kufanya mapenzi sina uhakika sana kama ndiyo tatizo la kutodinda.
3. Unapaswa ufahamu physiological differences kati ya mwanamke na mwanaume - mwanamke hata kama hana hamu ya kufanya mapenzi, bado anaweza kushiriki ngono kwasababu sexual parts ni intrinsic, then only difference you will notice ni fluid content. Kwa mwanaume hali ni tofauti kwasababu yuko extrinsic, so ni lazima erection ifanyike. Kufanya erection kunahusisha sana ubongo, so kama hana mawazo, ana stress, ana matatizo ya kifamilia, hana fedha, n.k bado inaweza kumsababishia kushindwa kudinda, na kama itadinda will be not very firm, and for a while
Mwisho ni kushukuru kwa kuchukua muda wako kujibu bila kutafakari nilichoandika, na Mungu wangu akubariki sana
 
Ukome kabisa kuunganisha neno la Mungu na roho zako chafu idiot.

Kati ya zawadi kubwa ambayo Mungu alimpa mwanadamu ni via vya uzazi. Kuogopa kuviongelea, au kuongea maswala yanayohusiana na jinsia, via vya uzazi na kujamiana inaonekana kuwa jambo baya kimalezi na kitamaduni zaidi kuliko kibiblia. Ndiyo maana hata kwenye biblia kuna majina ya kike na kiume, hii inmaanisha wana recognize gender; Adam akamjua mkewe, Abraham akamjua mkewe - hii inaonesha kuwa wana recognize kujamiana. Sasa sijui katika post yangu roho chafu ilikuwa ni ipi.
Mwisho kabisa, ninakataa na kukukemea kwa jina lipitalo majina yote, jina la Yesu, na ninafuta kwa damu ya Yesu maneno yako juu yangu, am not an idiot! Mungu akujalie wema rohoni na maishani mwako
Mungu akubariki sana
 
Amina kubwa mkuu, ni kweli kabisaa mtoto anweza kuwa mkubwa. Anyway, yote kwa yote sijui kama wewe ndo monica mtoa ujumbe au vinginevyo
1. Jina lako linaweza kuwa linashabihiana sana na tabia na akili yako.
2. Tatizo la kutokuwa na hamu ya kufanya mapenzi sina uhakika sana kama ndiyo tatizo la kutodinda.
3. Unapaswa ufahamu physiological differences kati ya mwanamke na mwanaume - mwanamke hata kama hana hamu ya kufanya mapenzi, bado anaweza kushiriki ngono kwasababu sexual parts ni intrinsic, then only difference you will notice ni fluid content. Kwa mwanaume hali ni tofauti kwasababu yuko extrinsic, so ni lazima erection ifanyike. Kufanya erection kunahusisha sana ubongo, so kama hana mawazo, ana stress, ana matatizo ya kifamilia, hana fedha, n.k bado inaweza kumsababishia kushindwa kudinda, na kama itadinda will be not very firm, and for a while
Mwisho ni kushukuru kwa kuchukua muda wako kujibu bila kutafakari nilichoandika, na Mungu wangu akubariki sana
Ondoka na ujuaji wako hapa,hayo mashida hayampi haki yakuto mwambia mwenzie anavyojiskia sio kunyamaza tu,kama muungwana utasema shida tusaidiane sio unakaa kimya sasa huyu dada aote?
 
Ondoka na ujuaji wako hapa,hayo mashida hayampi haki yakuto mwambia mwenzie anavyojiskia sio kunyamaza tu,kama muungwana utasema shida tusaidiane sio unakaa kimya sasa huyu dada aote?

Haleluya! Namshukuru Mungu umetambua kuwa ninajua - mjuaji
ukilala lala salama
 
Unacomment ujinga na unakoti maandikounafikiri Mungu babu yako?au unafikiri huyo binti aliekuja kuomba msaada wa mawazo hapa hajui hizo hali zote?kama mwanaume utakua na bahati mbaya sana
 
ahsanteni kwa ushauri wenu, hapa nimekaaa namsubiria niongee nae kwa mara ya mwisho kabisa, nitamueleza yaliyo moyoni na kumsikiza anasemaje.
 
ahsanteni kwa ushauri wenu, hapa nimekaaa namsubiria niongee nae kwa mara ya mwisho kabisa, nitamueleza yaliyo moyoni na kumsikiza anasemaje.
Ni pm nikupe dawa yake
 
kama hajaki hata watt sasa ni shidah mm nkazan anakataa tu kutiana
 
pole sn mami omba na sali una watt keep busy on them mtangulize Mungu kwa yote
 
Super human nimejishusha sana, nimekua kama mtumwa kwake kila anachosema nafuata ili kumridhisha, najitahidi kujipendekeza lakini naambulia machozi tu.
omba sana muulize Mungu anaweza yote ondoa mawazo yako sasa jiweke huru nafsini mwako uwe busy na mambo mengne
 
ahsanteni kwa ushauri wenu, hapa nimekaaa namsubiria niongee nae kwa mara ya mwisho kabisa, nitamueleza yaliyo moyoni na kumsikiza anasemaje.
Asipo kuelewa niandikie tena barua tuone tunatatuaje tatizo lako la ukosefu wa Ajira ukiwa teyari nitakuita uje ufanye interview ukiwa vizuri nitakupa ajira ya Kudumu

Ujue jinsia yenu mpo wengi sana ndo maana waajiri wengi wanakuwa wanaleta maringo! Kama umempa tuzo mbili katika kampuni yake ndani ya miaka 8 halafu haoni mchango wako katika kampuni ni dhahiri ana wafanyakazi wengi sana

Sasa ukija kwangu mshahara utakuwa maradufu nitakupa na malupulupu yakutosha tuuu!

Karibu sana ujue kifo cha mende furaha kwa kunguru
 
ahsanteni kwa ushauri wenu, hapa nimekaaa namsubiria niongee nae kwa mara ya mwisho kabisa, nitamueleza yaliyo moyoni na kumsikiza anasemaje.
Sawa tunasubiri mrejesho Kesho. Namshukuru Mungu nimembembeleza wife kanipa. Sasa ngoja nilale.
 
Back
Top Bottom