Super human nimejishusha sana, nimekua kama mtumwa kwake kila anachosema nafuata ili kumridhisha, najitahidi kujipendekeza lakini naambulia machozi tu.ndoa inahitaji kujitoa na sacrifices wait sisi wanaume kuna wakati kama mambo hayaend tunakua so dipressed . huyo ni baba watt wako tengeneza mazngira rafiki mazuri ongea nae ujue tatzo umpe nafas ya kujiexpress utapata jibu
Yan we usijipendekeze,we ndo anza kukataa akikwambia af usimpe sifa ajisikie kuwa ye ndo anatafutwa kiivyo unampunguzia steem.sikuzote binadam wanapenda vilivyo vigum kuvipata mumieSuper human nimejishusha sana, nimekua kama mtumwa kwake kila anachosema nafuata ili kumridhisha, najitahidi kujipendekeza lakini naambulia machozi tu.
hiyo ya outing hataki kusikia jamani, pombe hanywi,hilo la kufight naona uongo tu labda kama ana familia nyingine huko.Fanya hivi muambie naomba tutoke out siku moja kama anapga kilevi nunua kidogo kwanza mwambie how you feel, mpe counselling kua haya maisha ni kufight na kumwachia Mungu, mwambie unavyomjal na kumpenda kama hio nayo inashindikana chunguza kdogo labda yuppo mwenziio
habari zenu,
mimi ni mwanamke mwenye watoto wawili na nipo kwenye ndoa kwa miaka nane sasa,
tumekua tukiishi maisha ya ugomvi kwa muda na mume wangu, ila nikaona ni vyema nijishushe na nisihoji chochote,
mimi ndiye ninahangaika na familia na mambo yote
hakai kujadili jambo lolote la maana na mimi.
binafsi niliona nijishushe na nisihoji chochote ila tatizo limekua ni kwenye unyumba,
kwa kweli navumilia sana tunalala pamoja najitahidi kujiweka safi, kubadili mazingira ya chumba, manukato na hata mavazi lakini wapi!
naweza nikamfanyia vikorombwezo vyote ila atageukia upande wa pili na kukoroma,
nimemsihi sana yeye anasema anawaza maisha hawezi kuendekeza ngono,
tunaweza kukaa mpaka miezi mitatu hatujakutana,
hili swala linanikondesha jamani naombeni njia ya kujinasua katika hili janga.
Njoo PM na picha yako tuone!hiyo ya outing hataki kusikia jamani, pombe hanywi,hilo la kufight naona uongo tu labda kama ana familia n
yingine huko.
nimejitahidi sana nisiweke hili jambo wazi ili kuistiri ndoa yetu,
mpaka nimeandika hapa naona uvumilivu unanishinda,
ahsante sana kwa ushauri wako.
Mkuu wewe Ke shupavu na jasiri hebu sema "sasa basi" itoke moyoni kwako, hapana kumuuliza hapana kumgusa jihesabu kwamba wewe ni mjane anza maisha yako na wanao ujipange hutoshindwa na hutojilaumu siku akikuambia geukia huku kataa hadi mkapime hata kama atakupiga, usikubali maana kuna dalili zote za kuacha watoto yatima kwa upuuzi ati unampenda, ujipange uondoke, Ke hatuko hivyo siku hiziSuper human nimejishusha sana, nimekua kama mtumwa kwake kila anachosema nafuata ili kumridhisha, najitahidi kujipendekeza lakini naambulia machozi tu.
Mkuu hii sio ndoa ni ndoano ikishafikia me hajali hata watoto wake,bado atasema ana ndoa, hakuna ndoa hapondoa inahitaji kujitoa na sacrifices wait sisi wanaume kuna wakati kama mambo hayaend tunakua so dipressed . huyo ni baba watt wako tengeneza mazngira rafiki mazuri ongea nae ujue tatzo umpe nafas ya kujiexpress utapata jibu