Inawezekana kabisa mmoja wenu anasumbuliwa na mume au mke jini. Hii hufanya wanandoa kushindwa kukutana kwa sababu hao mume /mke jini anakuwa anazuia tendo la ndoa ili amfaidi anayemtaka. Huyu anakuja kupitia ndoto au mafarakano au mawazo mabaya. Akiingia ni lazima ndoa ipate mtikisiko. Magomvi yasiyoisha, makelele,kumuona mwenzako hafai na mwenye kasoro nyingi. Kikubwa ni kuomba MUNGU aondoe hayo majini. Ukiweza funga na kuombandoa inahitaji kujitoa na sacrifices wait sisi wanaume kuna wakati kama mambo hayaend tunakua so dipressed . huyo ni baba watt wako tengeneza mazngira rafiki mazuri ongea nae ujue tatzo umpe nafas ya kujiexpress utapata jibu
UMEONGEA YOTE, Dada kumuuliza ndio njia pekee itakayokusaidia, kujishusha haimainishi ukae kimya bali uulize kwa upole tena msubiri siku ambayo unamuhisi leo amefurahi au yuko kwenye mood nzuri ndo uanze kumueleza jinsi unavyojisikia na akuambie sabab ni nini? na pia usiogope kumuuliza au ni mgonjwa labda unaogopa kuniambukiza chochote, mana mwengine anaogopa pakuanzia atakuanzaje pengien ukimuanzishia anaweza akamalizia, kama atakujibu kuwa yuko swa hana chochote basi anza kumchunguza. mana kwa tabia anazofanya kiukweli hayuko sawa hata kidogo.Monica kuna vitu kadhaa.
1. Inawezekana anaumwa magonjwa ya huko chini. Kwa sababu hamna utaratibu wa kutumia condom na anakupenda anapotezea. Lini mlienda kupima wote?
2. Inawezekana ana UTI sugu ambayo Mara nyingi ili mwanaume afahamu anaumwa pumbu moja huvimba na kuuma. Mara nyingi hii hukata kabisa steam ya kusex.
3. Inawezekana anawazia maisha. Lakini hii kama ni kweli na mna good communication inatakiwa akuambie.
4. Muulize tatizo ni nini? Muulize kwa sababu wewe una hamu anataka uende wapi kama sio yeye. Kwa hili atajiongeza.
daah mkuu ila miez mitatu mda mrefu aiseetatizo ni we kuwaza ngono, mpe muda mwenzio apumuwe.
he is a human being and not a sex machine, and the first sexual organ is the mind - mwenye masikio na asikie kile Roho ayaambia makanisa
Ongeza maombi dada Kuna nguvu ya giza hapoMREJESHO,
yeye anasema hana tatizo ila basi tu hana hamu na anapitiwa,
nimemuuliza mengi akasema atajirekebisha na nikamuuliza kama kuna kitu nifanye kumvutia, akasema hakuna,
ila cha ajabu nimebembeleza mechi mpaka nikakwazika nikaondoka nimekaa mahali najipumzisha kidogo.
karibuni nitakuja na uzi mpya wa maamuzi yangu. Ahsanteni
Acha unafiki ni roho gani huyo anayaambiabmakanisa??? Achakutumia neno vibaya kumnyima mweza wako lile tendo ni dhambi kama dhambi zinginetatizo ni we kuwaza ngono, mpe muda mwenzio apumuwe.
he is a human being and not a sex machine, and the first sexual organ is the mind - mwenye masikio na asikie kile Roho ayaambia makanisa
Usisahau kugegedana ni kwa ajili ya reproduction na c vinginevyo, kama una familia huna haja ya kurant khs gegedoOngeza maombi dada Kuna nguvu ya giza hapo
Yashanikuta almost a year mwanaume hanihitaji kumbe Kuna mwanamke anamchezea
Tafuta ka kijana pembeni kawe kanakusugua vizuri tena bila kwere kimya kimya! alaaa..!!!! anairingia kwani duniani yeye pekee yake ndo anayo?Habari zenu,
Mimi ni mwanamke mwenye watoto wawili na nipo kwenye ndoa kwa miaka nane sasa.Tumekuwa tukiishi maisha ya ugomvi kwa muda na mume wangu, ila nikaona ni vyema nijishushe na nisihoji chochote.Mimi ndiye ninahangaika na familia na mambo yote hakai kujadili jambo lolote la maana na mimi.
Binafsi niliona nijishushe na nisihoji chochote ila tatizo limekua ni kwenye unyumba. Kwa kweli navumilia sana tunalala pamoja najitahidi kujiweka safi, kubadili mazingira ya chumba, manukato na hata mavazi lakini wapi!
Naweza nikamfanyia vikorombwezo vyote ila atageukia upande wa pili na kukoroma nimemsihi sana yeye anasema anawaza maisha hawezi kuendekeza ngono.Tunaweza kukaa mpaka miezi mitatu hatujakutana,hili swala linanikondesha jamani.
Naombeni njia ya kujinasua katika hili janga.
Huyo ni wewe,tendo la ndoa lina raha yake,sii kwa ajili ya uzazi tuUsisahau kugegedana ni kwa ajili ya reproduction na c vinginevyo, kama una familia huna haja ya kurant khs gegedo
Kumbe?? Sema basi hua ni kwa ajili ya nn pia?Huyo ni wewe,tendo la ndoa lina raha yake,sii kwa ajili ya uzazi tu