kabugira
JF-Expert Member
- May 14, 2014
- 1,186
- 659
Hata babu kama mimi nitampa viwili viwili weeklyTafuta ka kijana pembeni kawe kanakusugua vizuri tena bila kwere kimya kimya! alaaa..!!!! anairingia kwani duniani yeye pekee yake ndo anayo?
Hata babu kama mimi nitampa viwili viwili weeklyTafuta ka kijana pembeni kawe kanakusugua vizuri tena bila kwere kimya kimya! alaaa..!!!! anairingia kwani duniani yeye pekee yake ndo anayo?
Bora aende kwa wazazi wa pande zote ila sio kadhi wala padri hawa ukipeleka shauri lako lazma waibomoe hiyo ndoa ili wamfaidi vzr mkeo.Fanya jambo 1 kama wewe ni muislamu, nenda Mahakmani kutana na mtu anaitwa kadhi/mufti mueleze hilo tatizo bila shaka atawaita nyote lakini kwa sababu mumeo ataendelea kukutesa hataki mdai talaka yako kama hatakupa talaka kadhi anaweza kufanya hivyo.
mwambie aliyekuwa mumeo kwamba unatafuta mtu akuoe kwa ajili ya #Hapa Kazi tu', na huyo atakae kuoa mueleze hali halisi basi tena hapo utaenda kwa huyu jamaa akikufanyia hiyo shida yako baadae utarudi kulea watoto wako na familia yako nyumbani kwa yule aliyekuwa mumeo. maisha muendeshe kwa utaratibu huo.
Wewe si saizi yake utampwele pweta bure....eeeeh!!! tafuta saizi yako.....Hata babu kama mimi nitampa viwili viwili weekly
Nyie mnakutaga mara ngapi kwa hiyo miezi mitatu?Hayo maisha anayawazaje mwenzetu?miezi mitatu hamkutani kisa anawaza maisha?
unaweza ukakuta ata cio nyumba ndgo ila ni jinsi jamaa alinvyojiset mwenyewePole sana Mony..huyo atakuwa haja zake anatimiziwa na nyumba ndogo,ndio maana anakuwa hivyo.
Kila siku,kila dakika tutakayojisikiaNyie mnakutaga mara ngapi kwa hiyo miezi mitatu?
Mkuu hapa upo sawa mnoo......ila umenichekesha piaDuuuuh...ni mara ya kwanza kuisikia hii,atakuwa ana mtu mwingine anayemt...labda hakukupenda ulivyo ni aliamua kufunga ndoa tu nawewe kwasababu flan.
Mimi hata nikizidiwa na ugonjwa au nikizimia...mwanamke akinikalia tu au akigusa gusa dushe natandika ile kitu barabara sheikh
Pole ni pm
Kwani na we unashida sana na unyumba!???
Kwanini na we usianze kuwaza maisha...
Si ni mme wako wa ndoa mbake tu maanaa hamna namna
Yaani umeshindwa kuvumilia mpaka umekuja kuyasema huku?
Ulidhani sitokuwepo?
sasa safari hii hutoniona nyumbani kabisa
Nimekwambia huu ni mwaka wa 'kazi tu' siyo sex mbona hunielewi wewe?
Imaginative comment