Yumbayumba
JF-Expert Member
- May 31, 2012
- 1,240
- 845
dildo la nini na wewe wakati vijana tupo? mwisho ajiumize bureeAtafute dildo kama vipi mmewe hana hisia naye tena
dildo la nini na wewe wakati vijana tupo? mwisho ajiumize bureeAtafute dildo kama vipi mmewe hana hisia naye tena
Habari zenu,
Mimi ni mwanamke mwenye watoto wawili na nipo kwenye ndoa kwa miaka nane sasa.Tumekuwa tukiishi maisha ya ugomvi kwa muda na mume wangu, ila nikaona ni vyema nijishushe na nisihoji chochote.Mimi ndiye ninahangaika na familia na mambo yote hakai kujadili jambo lolote la maana na mimi.
Binafsi niliona nijishushe na nisihoji chochote ila tatizo limekua ni kwenye unyumba. Kwa kweli navumilia sana tunalala pamoja najitahidi kujiweka safi, kubadili mazingira ya chumba, manukato na hata mavazi lakini wapi!
Naweza nikamfanyia vikorombwezo vyote ila atageukia upande wa pili na kukoroma nimemsihi sana yeye anasema anawaza maisha hawezi kuendekeza ngono.Tunaweza kukaa mpaka miezi mitatu hatujakutana,hili swala linanikondesha jamani.
Naombeni njia ya kujinasua katika hili janga.
Atafute dildo kama vipi mmewe hana hisia naye tena
nashangaa.. watu wengine ushauri wao sijui upojeNa wewe bwana, likimzamia tumboni je? Ya nini mateso wakati mafisi kina Kichuna wapo free kutoa joto mwanana?
ha ha haaa kama hataki kujiongeza kuchangamkia fursa je?
Fanya jambo 1 kama wewe ni muislamu, nenda Mahakmani kutana na mtu anaitwa kadhi/mufti mueleze hilo tatizo bila shaka atawaita nyote lakini kwa sababu mumeo ataendelea kukutesa hataki mdai talaka yako kama hatakupa talaka kadhi anaweza kufanya hivyo.
mwambie aliyekuwa mumeo kwamba unatafuta mtu akuoe kwa ajili ya #Hapa Kazi tu', na huyo atakae kuoa mueleze hali halisi basi tena hapo utaenda kwa huyu jamaa akikufanyia hiyo shida yako baadae utarudi kulea watoto wako na familia yako nyumbani kwa yule aliyekuwa mumeo. maisha muendeshe kwa utaratibu huo.
POLE SANA MAMA.NAONA UMESHINDWA KUVUMILIA.JITAHIDI UNILETEEE !Habari zenu,
Mimi ni mwanamke mwenye watoto wawili na nipo kwenye ndoa kwa miaka nane sasa.Tumekuwa tukiishi maisha ya ugomvi kwa muda na mume wangu, ila nikaona ni vyema nijishushe na nisihoji chochote.Mimi ndiye ninahangaika na familia na mambo yote hakai kujadili jambo lolote la maana na mimi.
Binafsi niliona nijishushe na nisihoji chochote ila tatizo limekua ni kwenye unyumba. Kwa kweli navumilia sana tunalala pamoja najitahidi kujiweka safi, kubadili mazingira ya chumba, manukato na hata mavazi lakini wapi!
Naweza nikamfanyia vikorombwezo vyote ila atageukia upande wa pili na kukoroma nimemsihi sana yeye anasema anawaza maisha hawezi kuendekeza ngono.Tunaweza kukaa mpaka miezi mitatu hatujakutana,hili swala linanikondesha jamani.
Naombeni njia ya kujinasua katika hili janga.