Mume wangu ananinyima unyumba

Mume wangu ananinyima unyumba

Habari zenu,

Mimi ni mwanamke mwenye watoto wawili na nipo kwenye ndoa kwa miaka nane sasa.Tumekuwa tukiishi maisha ya ugomvi kwa muda na mume wangu, ila nikaona ni vyema nijishushe na nisihoji chochote.Mimi ndiye ninahangaika na familia na mambo yote hakai kujadili jambo lolote la maana na mimi.

Binafsi niliona nijishushe na nisihoji chochote ila tatizo limekua ni kwenye unyumba. Kwa kweli navumilia sana tunalala pamoja najitahidi kujiweka safi, kubadili mazingira ya chumba, manukato na hata mavazi lakini wapi!

Naweza nikamfanyia vikorombwezo vyote ila atageukia upande wa pili na kukoroma nimemsihi sana yeye anasema anawaza maisha hawezi kuendekeza ngono.Tunaweza kukaa mpaka miezi mitatu hatujakutana,hili swala linanikondesha jamani.

Naombeni njia ya kujinasua katika hili janga.


Monika2 shukuru mumeo anakupenda na kukuheshimu kihivyo....ninavyohisi uenda akawa na Vipimo Vimejaa Usipime (VVU) hivyo hataki kukumegea lakini anashindwa kukuambia. Kuna mshikaji wetu wa kitaa alimbadilikia mkewe hivi hivi, then mkewe baada ya kugombana kutaka haki yake ya unyumba jamaa ikabidi amwambie ukweli, akalia sana huku akimshukuru mumewe na kumwambia baba "X" nisamehe na I Love you for kunijali na kuniambia the truth.
 
Mtumie SMS mwambie "kwanini kioze wakati jirani ana njaa"? Hapo lazima ashtuke
 
Bhikola jiongeze mkuu,kinachokufanya mimi na monica tuwe mtu mmoja ninini?smtimes kama hunablakufanya sio lazima ukoment,sasa ntajishauri mwenyewe?mmezoea maigizo mnafikiri kila mtu bongo movie
 
hongera kwa hekima na uvumilivu ulionao,naonekana ana mwanamke nje ndo mana hana hamu na wewe ila vumilia ni mapito tu then watoto watapata tabu ukifanya maamuz kwa hasira,jaribu kuongea nae taratibu atabadilika tu
 
Fanya jambo 1 kama wewe ni muislamu, nenda Mahakmani kutana na mtu anaitwa kadhi/mufti mueleze hilo tatizo bila shaka atawaita nyote lakini kwa sababu mumeo ataendelea kukutesa hataki mdai talaka yako kama hatakupa talaka kadhi anaweza kufanya hivyo.

mwambie aliyekuwa mumeo kwamba unatafuta mtu akuoe kwa ajili ya #Hapa Kazi tu', na huyo atakae kuoa mueleze hali halisi basi tena hapo utaenda kwa huyu jamaa akikufanyia hiyo shida yako baadae utarudi kulea watoto wako na familia yako nyumbani kwa yule aliyekuwa mumeo. maisha muendeshe kwa utaratibu huo.

Tupe Aya na hadithi kusupport hiyo fatwa yako..uislam ni sheria
 
Habari zenu,

Mimi ni mwanamke mwenye watoto wawili na nipo kwenye ndoa kwa miaka nane sasa.Tumekuwa tukiishi maisha ya ugomvi kwa muda na mume wangu, ila nikaona ni vyema nijishushe na nisihoji chochote.Mimi ndiye ninahangaika na familia na mambo yote hakai kujadili jambo lolote la maana na mimi.

Binafsi niliona nijishushe na nisihoji chochote ila tatizo limekua ni kwenye unyumba. Kwa kweli navumilia sana tunalala pamoja najitahidi kujiweka safi, kubadili mazingira ya chumba, manukato na hata mavazi lakini wapi!

Naweza nikamfanyia vikorombwezo vyote ila atageukia upande wa pili na kukoroma nimemsihi sana yeye anasema anawaza maisha hawezi kuendekeza ngono.Tunaweza kukaa mpaka miezi mitatu hatujakutana,hili swala linanikondesha jamani.

Naombeni njia ya kujinasua katika hili janga.
POLE SANA MAMA.NAONA UMESHINDWA KUVUMILIA.JITAHIDI UNILETEEE !
 
acha kupenda ngono aisee miezi mitatu wewe unaiona mingi. watu wanakaa hadi miaka kadhaa wewe vimiezi tu waja kulialia hapa, mwache mwenzio awaze maisha wewe ongeza maombi ili afanikiwe mapema angalau ndani ya miaka kadhaa mbele muanze fulahia tendo upya
 
Back
Top Bottom