mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 614
- 322
I wish kama wanaume wangetambua changamoto ambazo akina mama wanapitia ktk ujauzito hadi kujifungua.
Badala yake baadhi ya wanaume wamekuwa ni watu wa kulalamika sana kipindi hiki pamoja na kutoka nje ya ndoa.. Inaudhi sana pale unaposhindwa kumtia moyo na kumsaidia mwenzio ktk safari hyo na jukumu zito badala yake oo mke wangu ana mauziiii ya ujauzito na blaaa blaaa nying.
Unakaa unasubiri mtoto azaliwe uanze kujishaua.. Wanaume wenye tabia hii badilikeni. Hamjui tu vidonda mnavyowasababishia wenzi wenu..
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
pole mamii, nakushauri kusanya vithibitisho vyote kuwa anacheat then ongea nae ukimpa hatua utakazochukuaa.
1) kama anakuhitaji kama mke aache.
2) mwambie utamshtaki kwa mtu ambe anamuheshimu mfano kaka ake, ustadhi au askofu aliyewafungisha ndoa.n.k.
3) ila ckushauri kuondoka huyo ni mume wako komaa nae hao wa nje wezi tu.
4) pia jichunguze kujua chanzo cha kuchet, ongeza mahanjumati, mtt jipambe, yaan zidisha mambo kunako 6*6.
Nikwambie cri...mm wangu alicheat ckuhizi nimejipanga vibaya..yaan nikimkamata kwa kitanda mpaka analia wakati hakuwahi b4.
My bad; l am sorry to you na niliowakwaza lkn sio aliye shauri hiyo kitu. maana kautoa as if it is a normal thing kama vile KUSALI au kuongea naye au kushirikisha wazee.
Jesus Christ!Ndicho alichofanya mama yako kumkeep baba yako?????
we mzee mzima unataka atumie mtandao gani, huo mtandao ukiutumia mbingu huwa zinatikisika, malaika wanaficha nyuso zao hadi shetani mwenyewe anajificha, hapo ujue ni jinsi gani unavyo muuliza Muumba,Punguza mapungufu yako kwenye mapenzi mumeo atarudi! Jaribu pia ule mtandao wanaume wanaoupenda kwa sasa kwa mumeo
Deepa, hayo mambo ya kushtaki kwa watu mmhhhh! unaweza kuta huyo kaka mtu unayemshtakia ni cheater hujasikia!l
ah wapi? Anakuzuga tu huyo. Nani kakwambia ni rahisi kuvunja mahusiano ya nje. Cha msingi ndani amani itawale kama mtu anapiga nje, hiyo ni starehe yake mwenyewe wewe isikupe pressure wala nini! Kama unataka mume wako mwenyewe basi muweke mfukoni.
Midume kibao mihuni na wake zao ni very good wives maskini.
Naomba msaada wenu mume wangu anacheat nifanyeje? mbaya zaidi na watu ambao wengine kawatambulisha kwangu,na ilikia hatua nilipokwenda jifungua alileta mpaka ndani nikiuliza tatizo nini hasemi sms kila siku godnight bby love u ukiuliza sina mana ya mapenzi nisaidieni wana jf nianye nini ?nami nianze cheat kama yeye au nifanye nini?
Kabaaaaaaaaang!Acha nae huyo.....atakukondesha.Mvumilie na kumuona mjimga,najua inauma lkn yana mwisho ila hakikisha unatumia zana.
Ndicho alichofanya mama yako kumkeep baba yako?????
Kwa mwenye akili na kufikiri inawezekana, wapo wanao teleza na kujirudi hiyo ni imani yangu..kama ww huamini cwezi kukulazimisha. Nimempa last chance kwa faida yake mwenyewe duniani na mbele ya mungu wake. Mume ni wangu mwenyewe kama anataka mke wa pili afate taratibu cmkatazi. ila akichaet tena nikijua, next step inafuata kama tulivyokubaliana. Na daima ukimdhulumu mtu chini ya jua Mungu aliye hai atakulipa tu...belive me.