Mume wangu anacheat nifanyeje?

Mume wangu anacheat nifanyeje?

kama mmefunga ndoa ya dini mpeleke kwa uongoz imamu au mzee wa dini pia uwe mtaratibu usimkemee kwani inaweza kumfukuza kabisa pia mwombee sana kwa mungu lia sana machoz yako hayata enda bure mmeo atarudi anatembelea magoti kuomba msamaha.
 
Jadilini mjue tatizo liko wapi na kama kunakosa basi sameheaneni muaze safari mpya
 
Naomba msaada wenu mume wangu anacheat nifanyeje? mbaya zaidi na watu ambao wengine kawatambulisha kwangu,na ilikia hatua nilipokwenda jifungua alileta mpaka ndani nikiuliza tatizo nini hasemi sms kila siku godnight bby love u ukiuliza sina mana ya mapenzi nisaidieni wana jf nianye nini ?nami nianze cheat kama yeye au nifanye nini?

Uwe unamwekea Condom mfukoni awe anazitumia
 
Mh, azidishe mapenzi kwa anayemcheat? au ni kwa kujifanya? coz tayari roho unauma, hayo mapenzi yanazidishwaje knowing mtu anakudanganya na hakuheshimu? si ndo atakuona mjinga kabisa?
 
Hehehehe nimejikuta nacheka after kuread comments za hii sred, men are men hawahitaji kuwa na reason ili wacheat, woman hata uwe perfect vipi they wil cheat coz cheating is their nature ,they are never satisfied with a single v thats why iwil never get married in my entire life

Sasa utaishije bila mume? Inawezekana kweli?
 
Naomba msaada wenu mume wangu anacheat nifanyeje? mbaya zaidi na watu ambao wengine kawatambulisha kwangu,na ilikia hatua nilipokwenda jifungua alileta mpaka ndani nikiuliza tatizo nini hasemi sms kila siku godnight bby love u ukiuliza sina mana ya mapenzi nisaidieni wana jf nianye nini ?nami nianze cheat kama yeye au nifanye nini?

Umejichunguza tabia yako? Wanawake wengi wanalalamika hooo mme wangu ana cheat..nk nk. Kwanini acheat baada ya kukuoa? Wengi mnajisahau sana ndo maana waume zenu wanacheat huko nje. Some thread hapa zina ushauri tele..
 
Hehehehe nimejikuta nacheka after kuread comments za hii sred, men are men hawahitaji kuwa na reason ili wacheat, woman hata uwe perfect vipi they wil cheat coz cheating is their nature ,they are never satisfied with a single v thats why iwil never get married in my entire life
yaaa ni kweli ndugu, mi nashangaa wa2 humu mara oooh zidisha manjonjo kitandani nimejikuta nacheka 2. mwanaume ukizidisha manjono atatafuta ambaye hana manjonjo
chezeyaa wanaume ww. bora kutoolewa 2. maisha ya usingle mazurije no stress aiseee.
 
naomba msaada wenu mume wangu anacheat nifanyeje? Mbaya zaidi na watu ambao wengine kawatambulisha kwangu,na ilikia hatua nilipokwenda jifungua alileta mpaka ndani nikiuliza tatizo nini hasemi sms kila siku godnight bby love u ukiuliza sina mana ya mapenzi nisaidieni wana jf nianye nini ?nami nianze cheat kama yeye au nifanye nini?

mh we ushaanza kumcheat pia, acha kuzuga. Anyway, sidhani kama anakucheat, anajipa tu raha ya dunia na kufaidi ujana so u can either join him or simply watch him as he enjoys!
 
Hehehehe nimejikuta nacheka after kuread comments za hii sred, men are men hawahitaji kuwa na reason ili wacheat, woman hata uwe perfect vipi they wil cheat coz cheating is their nature ,they are never satisfied with a single v thats why iwil never get married in my entire life

Kuna ukweli hapa

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
yaaa ni kweli ndugu, mi nashangaa wa2 humu mara oooh zidisha manjonjo kitandani nimejikuta nacheka 2. Mwanaume ukizidisha manjono atatafuta ambaye hana manjonjo
chezeyaa wanaume ww. Bora kutoolewa 2. Maisha ya usingle mazurije no stress aiseee.

mh maisha ya usingle ndo stress mara 2
 
Naomba msaada wenu mume wangu anacheat nifanyeje? mbaya zaidi na watu ambao wengine kawatambulisha kwangu,na ilikia hatua nilipokwenda jifungua alileta mpaka ndani nikiuliza tatizo nini hasemi sms kila siku godnight bby love u ukiuliza sina mana ya mapenzi nisaidieni wana jf nianye nini ?nami nianze cheat kama yeye au nifanye nini?
angekuwa hakupendi angekuacha huyo aliyenaye wakupoozea tu
 
umejichunguza tabia yako? Wanawake wengi wanalalamika hooo mme wangu ana cheat..nk nk. Kwanini acheat baada ya kukuoa? Wengi mnajisahau sana ndo maana waume zenu wanacheat huko nje. Some thread hapa zina ushauri tele..

tatizo ni kwamba watu wengi wanadhani mume au hata mke akicheat then mwenzie ana matatizo. Kwa taarifa yenu, watu hucheat sana tu out of boredom, na kutafuta new vionjo. Kama mtu ana mke portable atatafuta bonge, na kama ana bonge then ataonja nje portable. Period
 
Pole sana, inafurahisha na kutia moyo pale mpenzi/mume anapokuwa amekosea ukagundua anakuwa anajutia kosa na kukuonyesha kuwa kakukosea, lakini sio majibu ya mkato, na ya uongo,huyu anahitaji kupelekwa kwa wazee
 
Back
Top Bottom