Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 19,149
- 43,096
Ndiyo! Are you happy now?
Hahaaaa mkuu Masa... shwari lakini?
Ndiyo! Are you happy now?
kulipiza sio solution
sema nae ujue wapi unakosea!
Naomba msaada wenu mume wangu anacheat nifanyeje? mbaya zaidi na watu ambao wengine kawatambulisha kwangu,na ilikia hatua nilipokwenda jifungua alileta mpaka ndani nikiuliza tatizo nini hasemi sms kila siku godnight bby love u ukiuliza sina mana ya mapenzi nisaidieni wana jf nianye nini ?nami nianze cheat kama yeye au nifanye nini?
Hehehehe nimejikuta nacheka after kuread comments za hii sred, men are men hawahitaji kuwa na reason ili wacheat, woman hata uwe perfect vipi they wil cheat coz cheating is their nature ,they are never satisfied with a single v thats why iwil never get married in my entire life
Ndicho alichofanya mama yako kumkeep baba yako?????
Una hekima sana we mwanamke!
Me lov you sana!
Naomba msaada wenu mume wangu anacheat nifanyeje? mbaya zaidi na watu ambao wengine kawatambulisha kwangu,na ilikia hatua nilipokwenda jifungua alileta mpaka ndani nikiuliza tatizo nini hasemi sms kila siku godnight bby love u ukiuliza sina mana ya mapenzi nisaidieni wana jf nianye nini ?nami nianze cheat kama yeye au nifanye nini?
yaaa ni kweli ndugu, mi nashangaa wa2 humu mara oooh zidisha manjonjo kitandani nimejikuta nacheka 2. mwanaume ukizidisha manjono atatafuta ambaye hana manjonjoHehehehe nimejikuta nacheka after kuread comments za hii sred, men are men hawahitaji kuwa na reason ili wacheat, woman hata uwe perfect vipi they wil cheat coz cheating is their nature ,they are never satisfied with a single v thats why iwil never get married in my entire life
naomba msaada wenu mume wangu anacheat nifanyeje? Mbaya zaidi na watu ambao wengine kawatambulisha kwangu,na ilikia hatua nilipokwenda jifungua alileta mpaka ndani nikiuliza tatizo nini hasemi sms kila siku godnight bby love u ukiuliza sina mana ya mapenzi nisaidieni wana jf nianye nini ?nami nianze cheat kama yeye au nifanye nini?
Hehehehe nimejikuta nacheka after kuread comments za hii sred, men are men hawahitaji kuwa na reason ili wacheat, woman hata uwe perfect vipi they wil cheat coz cheating is their nature ,they are never satisfied with a single v thats why iwil never get married in my entire life
yaaa ni kweli ndugu, mi nashangaa wa2 humu mara oooh zidisha manjonjo kitandani nimejikuta nacheka 2. Mwanaume ukizidisha manjono atatafuta ambaye hana manjonjo
chezeyaa wanaume ww. Bora kutoolewa 2. Maisha ya usingle mazurije no stress aiseee.
angekuwa hakupendi angekuacha huyo aliyenaye wakupoozea tuNaomba msaada wenu mume wangu anacheat nifanyeje? mbaya zaidi na watu ambao wengine kawatambulisha kwangu,na ilikia hatua nilipokwenda jifungua alileta mpaka ndani nikiuliza tatizo nini hasemi sms kila siku godnight bby love u ukiuliza sina mana ya mapenzi nisaidieni wana jf nianye nini ?nami nianze cheat kama yeye au nifanye nini?
umejichunguza tabia yako? Wanawake wengi wanalalamika hooo mme wangu ana cheat..nk nk. Kwanini acheat baada ya kukuoa? Wengi mnajisahau sana ndo maana waume zenu wanacheat huko nje. Some thread hapa zina ushauri tele..
angekuwa hakupendi angekuacha huyo aliyenaye wakupoozea tu