Mume wangu anacheat nifanyeje?

Mume wangu anacheat nifanyeje?

Fuata ushauri huu ujimalize kabisa.Mie najua unampenda ndiyo maana unaomba ushauri.Je kabla hamjafunga ndoa, hii si ndiyo ilikuwa tabia yake mpaka na wewe akakupata?nauliza tena, sio kwamba mimba ndiyo imemlazimisha kukuoa.Ukiolewa na mwanaume kiwembe, na ndoa yenu ikawa imekuja kwa sababu ya ujauzito, haka ka mchezo ka chovya chovya atachukua muda kukaacha.Sasa kama uliolewa kwa staili hii, pole sana, sijui utafanyaje, maana jamaa ataendelea kuonja na kuacha.Au jamaa kakuchoka ndiyo maana anafanya vituko hivi ili utambae? kwani mna watoto?nadhani hapa maswali ni mengi kabla haujaamua kuondoka.Kucheat ni tabia, kama hujaizoea itakushinda tu.yataka uzoefu, utajiumiza bure kwa kuwa huko utaenda kwa ajili ya kulipiza kisasi na hutakuwa na furaha kamwe.
Pole sana na inaonekana imekuuma... Ushauri, funguka kwake na kwa wakware wake.. Na Kama unao ushahidi wa kutosha anzisha zali kwa wazazi wake... Kumbuka na uwe na Moyo wa kuwa mlango wakuondoka kwako unafunguka nawe usiogope kulikabili Giza la maisha huko mbele, otherwise, anaweza kuua taaratibu kisaikolojia au kimwili..
 
pole mamii, nakushauri kusanya vithibitisho vyote kuwa anacheat then ongea nae ukimpa hatua utakazochukuaa.
1) kama anakuhitaji kama mke aache.
2) mwambie utamshtaki kwa mtu ambe anamuheshimu mfano kaka ake, ustadhi au askofu aliyewafungisha ndoa.n.k.
3) ila ckushauri kuondoka huyo ni mume wako komaa nae hao wa nje wezi tu.
4) pia jichunguze kujua chanzo cha kuchet, ongeza mahanjumati, mtt jipambe, yaan zidisha mambo kunako 6*6.


Nikwambie cri...mm wangu alicheat ckuhizi nimejipanga vibaya..yaan nikimkamata kwa kitanda mpaka analia wakati hakuwahi b4.

ah wapi? Anakuzuga tu huyo. Nani kakwambia ni rahisi kuvunja mahusiano ya nje. Cha msingi ndani amani itawale kama mtu anapiga nje, hiyo ni starehe yake mwenyewe wewe isikupe pressure wala nini! Kama unataka mume wako mwenyewe basi muweke mfukoni.
Midume kibao mihuni na wake zao ni very good wives maskini.
 
Hehehehe nimejikuta nacheka after kuread comments za hii sred, men are men hawahitaji kuwa na reason ili wacheat, woman hata uwe perfect vipi they wil cheat coz cheating is their nature ,they are never satisfied with a single v thats why iwil never get married in my entire life[/QUOTE]

hapo kwa red,nice choice,hususani kama utaweza kuishi maisha yasiyo ya zinaa!i hope you can
 
tatizo ni kwamba watu wengi wanadhani mume au hata mke akicheat then mwenzie ana matatizo. Kwa taarifa yenu, watu hucheat sana tu out of boredom, na kutafuta new vionjo. Kama mtu ana mke portable atatafuta bonge, na kama ana bonge then ataonja nje portable. Period

Sasa kama anacheat, na wewe uko ndani na anakuhudumia kila kitu, ya nini kumfuatilia?
 
Naomba msaada wenu mume wangu anacheat nifanyeje? mbaya zaidi na watu ambao wengine kawatambulisha kwangu,na ilikia hatua nilipokwenda jifungua alileta mpaka ndani nikiuliza tatizo nini hasemi sms kila siku godnight bby love u ukiuliza sina mana ya mapenzi nisaidieni wana jf nianye nini ?nami nianze cheat kama yeye au nifanye nini?

Na wewe anza ku-cheat. Jino kwa jino. Tafuta serengeti boys. You only live once!!! Take note.
 
Pole huyu mume nae, hadi ndani kwenu? hapa fikiria mara mbili mrembo
 
Naomba msaada wenu mume wangu anacheat nifanyeje? mbaya zaidi na watu ambao wengine kawatambulisha kwangu,na ilikia hatua nilipokwenda jifungua alileta mpaka ndani nikiuliza tatizo nini hasemi sms kila siku godnight bby love u ukiuliza sina mana ya mapenzi nisaidieni wana jf nianye nini ?nami nianze cheat kama yeye au nifanye nini?

Sijui kwa nini unapata stress za bure. Kama ana cheat na alikuweka ndani, akakujali na kukuoa, aliwaacha wengi akakuchagua wewe, ya nini kumfuatilia kama anakupa kila kitu? Iwapo unakuuma, basi achana nae wapishe wenzako wale!

Kitu cha kujali nia kama anakupenda basi. Ukimfuatilia mwanaume kwa kila kona ni mbaya sana. Alichokosea ni kumleta mwanamke ndani wakati ulipokwenda kujifungua hilo ni kosa kubwa. Lakini la kuwa na kimada, haa weeee!
 
kweli nimeamini kuna wake duniani.
 
my dia hapa tatizo ni moja tu wapo kitandani wanacheza sebene simu zinapigwa za wanawake.
hakyamungu mi hata miguu haipanuki.
hao mahawara zake hawajui kuwa ana mke??? huo ni udhalilishaji
Sijui kwa nini unapata stress za bure. Kama ana cheat na alikuweka ndani, akakujali na kukuoa, aliwaacha wengi akakuchagua wewe, ya nini kumfuatilia kama anakupa kila kitu? Iwapo unakuuma, basi achana nae wapishe wenzako wale!

Kitu cha kujali nia kama anakupenda basi. Ukimfuatilia mwanaume kwa kila kona ni mbaya sana. Alichokosea ni kumleta mwanamke ndani wakati ulipokwenda kujifungua hilo ni kosa kubwa. Lakini la kuwa na kimada, haa weeee!
 
Ndicho alichofanya mama yako kumkeep baba yako?????

Ingawaje hii jibu imeonekana kama jibu la hasira kutokana na alichojibu mhusika mimi nakuunga mkono na mimi nakusaidia swali kwamba ndivyo ilivyokuwa kwa mother ake
 
Naomba msaada wenu mume wangu anacheat nifanyeje? mbaya zaidi na watu ambao wengine kawatambulisha kwangu,na ilikia hatua nilipokwenda jifungua alileta mpaka ndani nikiuliza tatizo nini hasemi sms kila siku godnight bby love u ukiuliza sina mana ya mapenzi nisaidieni wana jf nianye nini ?nami nianze cheat kama yeye au nifanye nini?

Dada dont try kucheat kwani utakuwa unajiharibia zaidi na hii haina tofauti ya kuzima moto kwa kutumia petroli. Tit for tat mara nyingi haina mshindi. Tulia tulia elewa tu wanaume ndio zao na wengi ni wale ambao wanafanya haya mambo kwa siri sana tena wakila hata machangu. usijiumize ukaacha ndoa yako ila anza kufanya maombi na hudhuria strong prayer sessions kumwomba Bwana Yesu ninaamini soething will happen
 
Binti inaonekana pepo wa kucheat nawe amekuingia; sasa kwanza kemea huyo pepo kwako then KAA VIZURI SANA na mmeo muelekeze na jiweke VIZURI uvutie kama mwanzo kabla ya kuzaa. Inaonekana haya yameanza wakati una MIMBA, ebu jiangalie vizuri please kwani wengi wenu huwa mnabadilka sana mkishazaa na hampendi kujiweka vizuri zaidi, na kumbuka jamaa alikupenda kabla hujazaa. Ingawa aliaidi kukupenda milele lakini yeye ni binadamu pia kumbuka... bwana Mungu awe nanyi na kuiponya ndoa yenu....Ubarikiwe sana

I wish kama wanaume wangetambua changamoto ambazo akina mama wanapitia ktk ujauzito hadi kujifungua.

Badala yake baadhi ya wanaume wamekuwa ni watu wa kulalamika sana kipindi hiki pamoja na kutoka nje ya ndoa.. Inaudhi sana pale unaposhindwa kumtia moyo na kumsaidia mwenzio ktk safari hyo na jukumu zito badala yake oo mke wangu ana mauziiii ya ujauzito na blaaa blaaa nying.

Unakaa unasubiri mtoto azaliwe uanze kujishaua.. Wanaume wenye tabia hii badilikeni. Hamjui tu vidonda mnavyowasababishia wenzi wenu..


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
yaaa ni kweli ndugu, mi nashangaa wa2 humu mara oooh zidisha manjonjo kitandani nimejikuta nacheka 2. mwanaume ukizidisha manjono atatafuta ambaye hana manjonjo
chezeyaa wanaume ww. bora kutoolewa 2. maisha ya usingle mazurije no stress aiseee.

Wonders wonders wonders wonders!!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
my dia hapa tatizo ni moja tu wapo kitandani wanacheza sebene simu zinapigwa za wanawake.
hakyamungu mi hata miguu haipanuki.
hao mahawara zake hawajui kuwa ana mke??? huo ni udhalilishaji

Hapo nakubaliana na wewe, ila iwapo mwanaume amekwenda kuoga na wewe ukapekuwa simu yake, hilo ni la kujitakia utakachokiona kwenye sms zake.
 
Back
Top Bottom