Mume wangu anacheat nifanyeje?

Mume wangu anacheat nifanyeje?

mfanye kama aha exist vile, na papuchi usimpe, endelea na maisha yako full kupendeza, kula vizuri, vaa vizuri, anzisha hobby mpaya zinzokufurahisha wewe,
 
Naomba msaada wenu mume wangu anacheat nifanyeje?

Mbaya zaidi na watu ambao wengine kawatambulisha kwangu,na ilifikia hatua nilipokwenda jifungua alileta mpaka ndani. Nikiuliza tatizo nini hasemi, SMS kila siku goodnight bby love u ukiuliza sina mana ya mapenzi nisaidieni wana jf nianye nini ?nami nianze cheat kama yeye au nifanye nini?
msamehe mumeo dada yangu na katu usifikirie kutoka nje ya ndoa yako, tamaa ndio huwa inatusumbua wanaume sometime lakini huko nje ya ndoa zetu hakuna laziada tunalolipata.
 
msamehe mumeo dada yangu na katu usifikirie kutoka nje ya ndoa yako, tamaa ndio huwa inatusumbua wanaume sometime lakini huko nje ya ndoa zetu hakuna laziada tunalolipata.

Kama hakuna la ziada nnakwenda kufanya nn? na pia kwann hamuendi moja kwa moja mnarejea kwa wake zenu? hamuoni kuwa mnawaumiza wake zenu wanaokupendeni na kuwajali?
 
Huwa unampa mashine anapohitaji? Wengine mnalalamika humu na kuomba ushauri kumbe mume akitaka vitu usiku unampiga vipepsi kila siku. Toa papuchi, ongeza mautundu halafu uone kama atakwenda nje.
 
Huwa unampa mashine anapohitaji? Wengine mnalalamika humu na kuomba ushauri kumbe mume akitaka vitu usiku unampiga vipepsi kila siku. Toa papuchi, ongeza mautundu halafu uone kama atakwenda nje.

Haa haaaa! SERGIO Wote wanaotoka wamenyimwa papuchi?
 
Last edited by a moderator:
Huwa unampa mashine anapohitaji? Wengine mnalalamika humu na kuomba ushauri kumbe mume akitaka vitu usiku unampiga vipepsi kila siku. Toa papuchi, ongeza mautundu halafu uone kama atakwenda nje.

Haa haaaa! SERGIO Wote wanaotoka wamenyimwa papuchi?
 
Last edited by a moderator:
My bad; l am sorry to you na niliowakwaza lkn sio aliye shauri hiyo kitu. maana kautoa as if it is a normal thing kama vile KUSALI au kuongea naye au kushirikisha wazee.
Kaunga yuko sahihi. Hatuwezi kuanza kubwabwaja mambo ya kitaani humu.
 
Acha nihitimishee
"sleeping with another garl/boy iz not a cheating ...but..falling in love to another garl/ boy iz cheating"
mumewe anakupenda sana dada ila siku atakayo kufukuza na kuleta mwingine jua ndo umecheatiwa thatha...
Hapo tuliopo mjini kitambo tunasema there time f love and tyme f leting G0oo....
Pole bt anazunguka zen anarud pale pale ka kuzuka dunia vile ulipoanzia ndo utakapo ishia...
 
Pole sana ila kamwe usifikirie kuondoka endelea kuvumilia kwa kiwango fulani. Nasema usiondoke kwakuwa wanaume takribani wote ingawa si wote lakini asilimia kubwa wanachiti wasiofahamika si kwamba hawachiti bali hawajakamatwa tu. Ila level ya kuchiti inatofautiana, wale waliomakini na wenye kuhitaji ndoa zao huwa wanaheshimu sana na wanachiti kwa siri kubwa na tahadhali ila ya mume wako ni makubwa kiasi fulani kama hadi anaingiza chumbani kuna shida kubwa. Vumilia na kumuomba Mungu huenda akambadilisha na akachata na hiyo tabia. Pole sana dadangu, pole sana inshallah Allah atakufanyia wepesi ili mradi tu wewe ni mwadilifu na endlea kuwa hivyo pasi nakupoteza uadilifu na utu wako kama mwanamke.

Naomba msaada wenu mume wangu anacheat nifanyeje?

Mbaya zaidi na watu ambao wengine kawatambulisha kwangu,na ilifikia hatua nilipokwenda jifungua alileta mpaka ndani. Nikiuliza tatizo nini hasemi, SMS kila siku goodnight bby love u ukiuliza sina mana ya mapenzi nisaidieni wana jf nianye nini ?nami nianze cheat kama yeye au nifanye nini?
 
Back
Top Bottom