Mkuu umenidhalilisha mimi niliyelelewa na mama. Sinaga kisirani na siendekezi hasira wala kununa, kwanza mwanaume unanunaje!!Duuuhh hiyo tabia ya kike embu mchunguze usikute alilelewa na mamaake sana yaani mtoto wa mama!
Huko ni kumuendekeza yeye ni nani asikosewePole sana mkuu mumeo ni jamii ya watu ambao wapo straight muda wote yani wapo serious!
Utani utani hawana na ukiwaletea ujinga kidogo mnaweza gombana kabisa!
Sasa suluhisho hapo kuwa right muda wote na hayo makosa madogo madogo hakikisha hayatokei.
So baada ya kumsoma unaweza mtreat vzuri...
Ukisema yeye afate vimakosa vyako hiyo ni ngumu...
Inaelekea we ni mzembe maana umeleta hii mada hapa kuungwa mkono wa vimambo vyako hivyo...
You must change to in order meet the needs and requirements of your husband!
hahahhahHiyo miezi 6 anayonuna unakuwa unafanya na nani matusi?!
Usimuudhi tenaJamani mume wangu anakisirani yani ukimkosea kitu kidogo tu anaweza kununa hata miezi sita, hatakula nyumbani, atakublock kwenye mitandao ya kijamii yote na hakuna kitu kitaendelea cha maendeleo mpaka siku ataamua kuacha kununa ndo mtaendelea kuongea.
Yani hii tabia yake nahisi kuichoka natamani mnishauri niishije na Mtu wa namna hii
Atakua ndo huyo huyoNina ndugu yangu ana hilo tatizo, yani namhurumia my wife wake. Wanaweza kukaa six months jamaa limenuna hata kusalimiana na my wife wake tu ni shida.
Huo ni ugonjwa mbaya sana katika saikolojia ya binadamu na mara nyingi watu wa hivyo hawabadiliki. How on earth ukae na dude rohoni kwa miezi sita?
Na anaonekana kuna siku atakimbia moja kwa moja.mwanaume kua na gubu huo ni umama...atakua mwanaume wa dar huyo