Mkuu umemaliza kila kitu!!!hayo yote uliyoeleza ndo chanzo cha huyo mume kumchunia mkewe!Hilo ni kawaida kwenye mimba yabkwanza na hata ya pili. Kwanza ulivyobeba ujauzito possibly umebadilika either hujijali, ama unamjibu vibaya ama umekuwa mzembe. Na yawezekana ulikatalia kidude chake cha kuchezea, unajua sisi watoto tunapenda michezo. Na kwa vile ni mimba ya kwanza mume anakuwa hana psychological experience ya mama mwenye mimba. Hivyo mabadiliko hayo ana hisi unamfanyia makusudi, na yawezekana anagegeda nje. Hata mm ilinitokea hiyo tulikuwa tunagombana kila siku. Maana mke alikuwa mkali balaa so nikaona bora niwe narudi usiku sana
Hawa viumbe wa kike huwa yahitaji subira na busara sana kuishi nao kipindi cha ujauzito wa kwanza.
Anaweza kuamka saa saba usiku akasema anataka chips kuku, Au anataka chocolate itoke nakumat supermarket usiku huo!!
Sasa kwa kuwa mume bado Lena kwenye hizo mambo anaona kama anazeeshwa tu akaamua amnunie my wife wake!!
Hatari sana
