Mario Gomez
JF-Expert Member
- Nov 1, 2011
- 821
- 588
Yawezekana kwa sasa umemunyima kitu muhimu wajua wakati mwingine nyinyi wamama wajawazito kuna wakati hamtaki kubughudhiwa na hivyo kuamua kumunyima tunda.Ninashauri kama ndiyo sababu hii uendelee kumpatia ili mmeo afunguke arudishe mood yake ya kawaida.Nitajishusha najua tu ila kwa sasa roho inasita. Kinachonisikitisha ni jinsi navyojitoa kwake na moyo wote lakin yy kunijali tu kwa huu ujauzito ni ngumu
Otherwise,jaribuni kuongea hasa wewe ujishushe umsemeshe kwa kutaka kujua chanzo cha tatizo ili muongee na kutatua tatizo linalomfanya akuchunie wakati wewe uko katika hali hiyo.
