Paprika
JF-Expert Member
- Feb 25, 2017
- 5,950
- 9,880
Nenda Clinic, uzazi ni jambo zito sana,huwezi kujua utatoka damu kiasi gani so nenda kafanye vipimo ili kama ni chache wakupe dawa ubalance. Pia mtoto anatakiwa ageuzwe. Mimi kwa uzoefu wangu clinic ni muhimu mno.
Kuhusu Mabadiliko ya mumeo mimi nadhani ni kutokana na hali yako, unajua Mwanamke mjamzito kuishi nae kunataka kujishusha sana na kujitoa ufahamu. Ila ukishamjulia tu wala hakupi taabu. Hivyo huyu Mzazi mwenzio inabidi umkutanishe na mtu anaemuheshimu sana ili amsaidie mawazo jinsi ya kwenda sawa na wewe.


nimekumbuka ujauzito wa kwanza wa dada angu alikuja kuumalizia nyumbani!!! Yaani alituchukia nyumba nzima... Ukiingia kwenye 18 zake unakula matusi mpaka usahau unaitwa nani. Sasa naimagine ndo mtu wa hivyo unaishi nae peke yako tu... Huna ata wakushare nae hiyo chuki!Wanaume mna kazi kweli kuvumilia hicho kipindi! Ndo hapo level ya upendo inapopimwa