Mume wangu amenichunia

Mume wangu amenichunia

tatizo na nyie mkishaanza kuitwa mama K basi madeko huzidi coz mpaka anakuambia unamzeesha manake utakuwa unamtuma sana mara ice cream, mara embe, mara miguu ya kuku, mara papai jeusi, mara supu ya kitimoto na hapo ndo mikausho inapoanza sasa
 
Dah... Mimba ya kwanza Ukiwa na miaka 47 ni kawaida tu... Vumilia tu..... Halafu ukute mtia mimba ana 22
 
worry not, after five years your marriage will be stable...! In the first five years you must pass through a lot of challenges in your house, and then after there you may find only few new cases that may disturb your marriage! otherwise, issues will be repeating.
 
Marahaba jirani,wewe ndiye umemficha kipenzi changu Eli79 ?
Nikueleweje mwanamke, mara Eli ni jirani, na sasa mimi ni jirani tena?
Je! unaudharau uvumilivu wangu kwako?
Ufike pahala umuheshimu akuheshimuye na umpende akupendae.
Kosa langu ni nini hasa?
Mbona wanitesa hivi mtoto wa mwanamke mwenzio?
 
my dia hata nami uwa inanitokeaga sana tena sana kwa mume wangu wa ndoa kabisa, nae ni mtu wa mood sana. kwa hiyo akiuchuna nami nauchuna, nakuwa biz na kazi zangu na wanangu, mi nasema bora jambazi kuliko mwanaume wa mood wanaboa sana, na wakiwa poa wanajua sana kujali, mi yalinishinda nikamwambia mama mkwe wangu, akaniambia ukweli mwanangu akiuchuna nawe uchune atajirudi mwenyewe, kwa hiyo ndo staili uwa natumia.. sasa hivi wala anipi shida.
 
Nikueleweje mwanamke, mara Eli ni jirani, na sasa mimi ni jirani tena?
Je! unaudharau uvumilivu wangu kwako?
Ufike pahala umuheshimu akuheshimuye na umpende akupendae.
Kosa langu ni nini hasa?
Mbona wanitesa hivi mtoto wa mwanamke mwenzio?
Hahaha, QUIGLEY umenichekesha aisee.
 
Wanawake mnasumbua sana. Muda wote mnataka mwanaume awe anahangaika kwa sababu yenu.mnakera sana
 
Wiki 5 zote hizo duh! Mie ningebaki kilo 20 kwa stress,
Huyo chances ni ana mwenzio pembeni mapenzi na attention zimeenda kwake.
Hakuna wanawake mnakera sana.sometimes mtu unaamua kukaa kimya tu siwezi kufa kwa pressure kwa sababu ya mtu
 
Sitaki kukuhukumu, ila nahisi wewe unajifanya kijogoo hapo ndani, na kama ndo tabia yako nakuhakikishia hakuna mwanaume anamvumilia mwanamke wa namna hiyo.

Kiuhalisia mwanaume kukuchukia ni ngumu tena bila sababu? Haiwezekani jitafakari mkuu
 
"...ndoa nyingi zimejaa unafiki,chuki na mambo mabaya sana..."
Winnie Mandela
 
Back
Top Bottom