Mume wangu 'aki-cheat' nafurahi sana

Mume wangu 'aki-cheat' nafurahi sana

Ujinga wangu uko wapi??we kuku kweli sasa mtu anajisikia kucheat na wengne wananogewa uko..presha za nn? Namuacha acheat..
Ujinga ni kutaka mume aende huko miezi yote
Kweli kiakili wewe bado
Kama bado haujaolewa Mungu akuweke bench Kwanzaa mpaka akili yako ikomae
 
ilitokeaje?, ulikuwa ukitafuta uhakika?, ama ilikuwa supprise?
Nlikuwa naenda kwake Nakaa cku mbili tatu, Baadae nikawa naurafiki na mdada jiran yake ndo akanipaga umbea kuwa Cko mwenyewe
Nika mwambia mke mwenzangu akija unishtue
Cku ya cku nikaambiwa Njoo buanaa mwenzio yupo leo

Nikafika nikawakuta wametoka kuoga, mlango wenyewe waliacha wazi hawakua hata na wacwac

Ikabid nijiondokee tu cku taka kuwaharibia cku
 
Nlikuwa naenda kwake Nakaa cku mbili tatu, Baadae nikawa naurafiki na mdada jiran yake ndo akanipaga umbea kuwa Cko mwenyewe
Nika mwambia mke mwenzangu akija unishtue
Cku ya cku nikaambiwa Njoo buanaa mwenzio yupo leo

Nikafika nikawakuta wametoka kuoga, mlango wenyewe waliacha wazi hawakua hata na wacwac

Ikabid nijiondokee tu cku taka kuwaharibia cku
Ingekuwa ni wewe ningeenda kuwasalimia nimpe hongera bimdogo kwa kukutunzia na kuifanya ndoa yenu idumu
Alafu ungeona jinsi ungemmaliza nguvu mumeo
 
akifa vip itabidi utafute wawili au?maana dah??[emoji180] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Back
Top Bottom