Mume wangu 'aki-cheat' nafurahi sana

Mume wangu 'aki-cheat' nafurahi sana

Hahaa.. siyo rahisi kihivyo mkuu, ndiyo maana ata kwenye kuwa leta duniani huwezi wewe uka play part zote lazima tushurikiane me na ke.
Ila kuna ndoa nyngne ngumu jaman..yani ukiona mtu kaamua liwalo na liwe..uende ubaki urudi usirudi shauri yako..ujue hyo mtu kavumilie mengi..sasa anachokiangalia kwa wakati ule ni watoto tu
 
Ndio hawa singo maza wanajifanya wana midomo
Wakija kukuza wanaishia kuwa madanga
Wengi huwaga wanahisi pesa inamaliza kila kitu ila siyo kweli, achilia mbali makudhi ya watoto ata yeye atahitaji mume hawepo around atimize haja zake, Huwezi ukasema kirahis nenda ukichoka rudi.. unless na yeye anataka kuchepuka na mwanamke kwenye ishu izi ukianza kushindana na mwanaume ndoa inakua hakuna na madhara yanakua makubwa.
 
Ila kuna ndoa nyngne ngumu jaman..yani ukiona mtu kaamua liwalo na liwe..uende ubaki urudi usirudi shauri yako..ujue hyo mtu kavumilie mengi..sasa anachokiangalia kwa wakati ule ni watoto tu

Wengi huwaga wanahisi pesa inamaliza kila kitu ila siyo kweli, achilia mbali makudhi ya watoto ata yeye atahitaji mume hawepo around atimize haja zake, Huwezi ukasema kirahis nenda ukichoka rudi.. unless na yeye anataka kuchepuka na mwanamke kwenye ishu izi ukianza kushindana na mwanaume ndoa inakua hakuna na madhara yanakua makubwa.


Njoo huku mdogowangu uone maninja walivyo kwenye ndoa na mahusiano Ulipomfumania Mke/ Mume/ Mpenzi wako Ulichukua hata gani?!
 
Wengi huwaga wanahisi pesa inamaliza kila kitu ila siyo kweli, achilia mbali makudhi ya watoto ata yeye atahitaji mume hawepo around atimize haja zake, Huwezi ukasema kirahis nenda ukichoka rudi.. unless na yeye anataka kuchepuka na mwanamke kwenye ishu izi ukianza kushindana na mwanaume ndoa inakua hakuna na madhara yanakua makubwa.
Wasaidie hao wadogozako me hawataki kunielewa tangu lini shingo ikazidi kichwaa? !
 
Ila kuna ndoa nyngne ngumu jaman..yani ukiona mtu kaamua liwalo na liwe..uende ubaki urudi usirudi shauri yako..ujue hyo mtu kavumilie mengi..sasa anachokiangalia kwa wakati ule ni watoto tu
Ndoa ni nzito...Mungu atuongoze kumshinda shetani anaye leta ugumu wote huo.
 
Wasaidie hao wadogozako me hawataki kunielewa tangu lini shingo ikazidi kichwaa? !
Hahaa.. unafikiri mimi mwenyewe mkubwa sana basi. Hiyo ndoa nasikia story tu kwa jamaa zangu. Ila nimejifunza mengi kwa wazee wangu wako ndani ya ndoa zaidi ya miaka 35 Sasa.
 
Back
Top Bottom