Mume wa mtu huyu mbona haniachi jamani?

Mume wa mtu huyu mbona haniachi jamani?

Habari ndugu zangu,

Nashindwa kuelewa mpaka sasa nimetokea kupendwa na mume wa mtu tangu niingie kwenye mahusiano sijawahi kuwa na mahusiano na mwanaume ambaye yupo single,

Amekuwa akinisaidia sana katika maendeleo yangu mume wa mtu huyu ndie mshauri wangu hata iweje yupo mbele yangu kunijali ananipenda sana mara nyingne nawaza siwezi kufika naye mbali tayari yeye ameshakuwa na familia yake na Mimi nilazima nitakuwa na familia Yangu tutaishi maisha haya mpaka lini na tangu tujuane huu ni mwaka wa 6 najitahidi kumuacha lakini jamaa na yeye anapigana kutokuniacha mke wake mpaka leo hajui kama mume wake ana mchepuko nje, nishaurini nahitaji na Mimi kuwa na maisha yangu nimpata mume wangu nitamtumikia huyu jamaa mpaka lini? Nipeni hata njia mbadala matata ili niachane naye.

Kwa nini wewe usimuache?
 
Amekuwa akinisaidia sana katika maendeleo yangu mume wa mtu huyu ndie mshauri wangu hata iweje yupo mbele yangu kunijali ananipenda
Jingine umesema Anakujazaga mapesa anakusaidia kwa hali na mali unaposema utaendelea kumtumikia hadi lini ilhali unapokea vyake ,ckuelewi ujue mbona usiseme mtatumikiana hadi lini!

Mimi nilazima nitakuwa na familia Yangu tutaishi maisha haya mpaka lini na tangu tujuane huu ni mwaka wa 6 najitahidi kumuacha .

Una uhakika gani kusema ni lazima nitakuwa na familia yangu!Hebu ona miaka 6 unapiga deiwaka kama hajajitokeza akafika bei wewe endelea kupiga kazi na jamaa.

Hahahahah watu mna maneno
Eti miaka 6 anapoga deiwaka


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Najua siyo vyema kula tonge la mtu nimelijua hilo ndio maana nilijitahid kumuacha siyo vyema kabisa Lakin mwanaume ndio mgumu kuniacha nafanya vituko Vingi ili nimuuzi anichoke aondoke kwangu ndio nimeshindwa nikaja kwenu mnishauri

Mblock namba zake kwenye simu yako...
 
kweli adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe !

Kumbuka machozi ya mwanamke ni mabaya!Anahujua husiano wenu upo lakin anasaga goti kwa maombi kwa Mungu wake. Utapata adhabu kama kufiwa na mume wako mapema,kuwa na watoto tahaira,au kukosa kabisa watoto,vifo vyao vya mapema,utapata majanga yatayo tafuna furaha ya maisha yako!
 
Habari ndugu zangu,

Nashindwa kuelewa mpaka sasa nimetokea kupendwa na mume wa mtu tangu niingie kwenye mahusiano sijawahi kuwa na mahusiano na mwanaume ambaye yupo single,

Amekuwa akinisaidia sana katika maendeleo yangu mume wa mtu huyu ndie mshauri wangu hata iweje yupo mbele yangu kunijali ananipenda sana mara nyingne nawaza siwezi kufika naye mbali tayari yeye ameshakuwa na familia yake na Mimi nilazima nitakuwa na familia Yangu tutaishi maisha haya mpaka lini na tangu tujuane huu ni mwaka wa 6 najitahidi kumuacha lakini jamaa na yeye anapigana kutokuniacha mke wake mpaka leo hajui kama mume wake ana mchepuko nje, nishaurini nahitaji na Mimi kuwa na maisha yangu nimpata mume wangu nitamtumikia huyu jamaa mpaka lini? Nipeni hata njia mbadala matata ili niachane naye.

Achana Na Huyo Njoo Kwangu Nitakuoa Tutaanza Familia Yetu
 
Atakuachajee wakatii wampa mpaka tigo. Hehehehe na kwa miakaa 6 hiloo ----- litakuwaa wazi wazi kama lango lakuingiliaa baa. Tafutaaa wakoo.
 
Hapo utakuta una na mshkaji pembeni..mademu wengine nyie dah
Vimada wengi wana watu wengine, ninapoishi kuna sista amezaa na mume wa mtu. Ila anakitembeza kwa jamaa kama wawili hivi. Still, hawara yake anamtimizia kila anachotaka.

Wanawake waone kama walivyo, wengine ni nyoka aisee..
 
Mara nyingi huwa naandika hapa kuwa ni ngumu sana kumshauri mzinzi, thread hii ni mfano tu wa hiyo nadharia niiandikayo...
 
Una uhakika gani kusema ni lazima nitakuwa na familia yangu!Hebu ona miaka 6 unapiga deiwaka kama hajajitokeza akafika bei wewe endelea kupiga kazi na jamaa.[/QUOTE]

Ha ha ha ha miaka 6 anapiga Deiwaka.
 
atakuachaje na wewe unampa mahaba mazito mfanyie vituko like aje kwako akute mwanaume mwingine
 
Atakuachajee wakatii wampa mpaka tigo. Hehehehe na kwa miakaa 6 hiloo ----- litakuwaa wazi wazi kama lango lakuingiliaa baa. Tafutaaa wakoo.

Sina uhakika kama una miaka zaid ya 23, huna busara hata chembe
 
Najua siyo vyema kula tonge la mtu nimelijua hilo ndio maana nilijitahid kumuacha siyo vyema kabisa Lakin mwanaume ndio mgumu kuniacha nafanya vituko Vingi ili nimuuzi anichoke aondoke kwangu ndio nimeshindwa nikaja kwenu mnishauri

Kwani ulivyokuwa mnaanza mahusiano hukujua kuwa na mme wa mtu?!
 
Baada ya miaka sita yani six 6 unakuja kuomba ushauri leo....
Yani ushakua mchepuko sugu unajua kila kitu madhara ya kuwa na mme wa mtu...amekutimizia kila kitu ndio unakuja hapa kuomba ushauri jinsi ya kumuacha....kwa miaka sita unatembea na mme wa mtu leo unataka kumuacHa.....
I'm sure na wewe una mtu wako ila baada ya kupata yote sasa unataka kutema mzigo...hii dhambi itakuandama tu na kwangu sina cha kukushauri maana cha kufanya unajua......
 
wanaume single wanasumbua sanaaa, we endeleaaaaa (ila ujue huyo ni sumuuuuuuu) ijapokuwa haiui panya coz una-() ya ku-neutralize
 
Shosti unaelekea hujiamini ndio mana unakaa na huyo bwana na pia unapenda vya haramu vya halali huviwezi, ivi unashindwa kuijua thamani yako kua unahitaji mume wako wakujifaragua nae mbele za watu wakajua yule mume wa fulani? tena unasema mkewe hajui ivi anapokuacha usiku yeye yuko kitandani na mkewe wewe unahesabu boriti unajihisi vp au hisia za kike huna?mwenzio anampigia cm mumewe24/7 wewe mpaka kwa wizi...
shosti tafuta wako kijua ndio hiki usipouanika utautwanga mbichi.....
 
Habari ndugu zangu,

Nashindwa kuelewa mpaka sasa nimetokea kupendwa na mume wa mtu tangu niingie kwenye mahusiano sijawahi kuwa na mahusiano na mwanaume ambaye yupo single,

Amekuwa akinisaidia sana katika maendeleo yangu mume wa mtu huyu ndie mshauri wangu hata iweje yupo mbele yangu kunijali ananipenda sana mara nyingne nawaza siwezi kufika naye mbali tayari yeye ameshakuwa na familia yake na Mimi nilazima nitakuwa na familia Yangu tutaishi maisha haya mpaka lini na tangu tujuane huu ni mwaka wa 6 najitahidi kumuacha lakini jamaa na yeye anapigana kutokuniacha mke wake mpaka leo hajui kama mume wake ana mchepuko nje, nishaurini nahitaji na Mimi kuwa na maisha yangu nimpata mume wangu nitamtumikia huyu jamaa mpaka lini? Nipeni hata njia mbadala matata ili niachane naye.

kuwa mke wa pili kama dini inaruhusu kwani mshazoeana sana si vyema mkaachana. Unafanya vibaya kumchepusha mume wa mtu. Mfanye kuwa mume wa watu kwa kuwa mke wa pili
 
kwani ilikuwaje ukammiliki miaka yote hiyo halafu ushindwe kumuondoa kwenye himaya yako. angalia mtiririko mzima tangu mnaanzana mpaka sasa. Kama uliomba kwa mizimu asikuache rudi kaombe akuache hii fanya tu kama huna dini. Ila kama unadini rudi kwa mungu wako muombe avunje nguvu zote za kishetani. Utaona mwenyewe anakwambia muachane tena kwa amani
 
Back
Top Bottom